Nini kimempata dada aliyeshambuliwa na nyuki? Alipona?

Nini kimempata dada aliyeshambuliwa na nyuki? Alipona?

Muwe mnatoa maelekezo Nini kingefanyika hapo kama siku nyingine ikitokea mtu ajiokoe au aokolewe...
Ule msemo wa kusema ukiona nyuki inabidi ulale chini ukute ndio dada alichokifanya..na nyuki wakalala naye
 
Muwe mnatoa maelekezo Nini kingefanyika hapo kama siku nyingine ikitokea mtu ajiokoe au aokolewe...
Ule msemo wa kusema ukiona nyuki inabidi ulale chini ukute ndio dada alichokifanya..na nyuki wakalala naye
Kwakuwa jamaa walikuwa na gari wangeweza kutumia fire extinguisher zao kuwafukuza hao Nyuki.

Pili kama wangekuwa na kiberiti wangeweza kuchoma hata nyasi na kuwafukuza Kwa Moshi na moto pia
 
Huenda akasurvive, mimi mwaka jana bibi yangu alishambuliwa na nyuki kutoka kwenye mzinga wengi karibu one hour watu walijaribu ikashindikana huko kijijini hadi alipokuja jamaa amejifunga chandarua ndiye alimsaidia na baada ya hapo alikuwa hajitambui hadi kesho yake. dr alisema akisurvive saa 24 basi ndo amepona na alipona mpaka leo yupo japo complications nyingine ziliibuka baada ya tukio hilo ila ni uzee she is 95.
Huko ndo kuna wanaume sasa
 
mpaka anaatolewa alikuwa ashakufa mkuu. Mzee wa toka bhits pancho latino, the latino mafia...
Inasikitisha,Waafrika teknolojia imetujia vibaya sisi tunawasema wazungu wahindi na waarabu wanakumbatia u$enge lakini na sisi tumeyumba pakubwa.

Juzi Facebook niliona kuna kichaa wa Kiganda ali-post video mwandishi mmoja wa Uganda anakata roho juzi nikaona mwengine Mtanzania aka-post mwili wa shangazi yake aliyefariki halafu hata hajasitiriwa yaani inaonekana ndiyo kwanza alikuwa amekata roho mjinga mmoja akaona arekodi airushe mtandaoni hata mdomo na macho ya marehemu havijafungwa.
 
Ungewasha gari lako moto lingefuka moshi nyuki wangesepa halafu MTU MUHIMU KAMA MADEE ANGEKUPA GARI MPYA, mama samia angekupa gari jipya na wananchi kwa ujumla wangekuchangia ungekuwa mr dar es salaam ungekuwa maarufu hatari
 
Kwahiyo unatufananisha wa tz na waganda wanaokula nyama ya tako la binadamu angalia kideo cha Iddi amini dada pls usitufananishe nao
Inasikitisha!

Waafrika teknolojia imetujia vibaya,sisi tunawasema wazungu wahindi na waarabu wanakumbatia u$enge lakini na sisi tumeyumba pakubwa,juzi Facebook niliona kuna kichaa wa Kiganda ali-post video mwandishi mmoja wa Uganda anakata roho juzi nikaona wengine mwengine aka-post mwili wa shangazi yake aliyefariki halafu hata hajasitiri
 
Back
Top Bottom