Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee wameniskitisha sana. hapo ni moto tu. mafala sana hayo mapimbiYaani viberiti vya kuwashia Sigara wanavyo ila wameshindwa kuwasha hata Makaratasi kuwakimbiza hao Nyuki
Hata kama naishi DSM, sitaki hata kusikia Wakiniita Mwanaume wa DSM 🙌
Jamaa wamezingua sanaaisee wameniskitisha sana. hapo ni moto tu. mafala sana hayo mapimbi
Washa moto makaratasi, choma shati ulilovaa punga hewani kimbilia eneo la tukio kamvute umtoe mahala pale. Nyuki watakung'ata ila hautakufa.Katika hali kama hiyo ungemuokoaje?
Wenye wanakuuliza sasa pale tungefanyaje? Nchi hii ina vijana wengi ambao wana upeo mdogo wa kufikiri. Akili za kutoa simu kurekodi anazo ila akili za kumuokoa binadamu mwenzake hana.aisee wameniskitisha sana. hapo ni moto tu. mafala sana hayo mapimbi
Kwakuwa jamaa walikuwa na gari wangeweza kutumia fire extinguisher zao kuwafukuza hao Nyuki.Muwe mnatoa maelekezo Nini kingefanyika hapo kama siku nyingine ikitokea mtu ajiokoe au aokolewe...
Ule msemo wa kusema ukiona nyuki inabidi ulale chini ukute ndio dada alichokifanya..na nyuki wakalala naye
Huko ndo kuna wanaume sasaHuenda akasurvive, mimi mwaka jana bibi yangu alishambuliwa na nyuki kutoka kwenye mzinga wengi karibu one hour watu walijaribu ikashindikana huko kijijini hadi alipokuja jamaa amejifunga chandarua ndiye alimsaidia na baada ya hapo alikuwa hajitambui hadi kesho yake. dr alisema akisurvive saa 24 basi ndo amepona na alipona mpaka leo yupo japo complications nyingine ziliibuka baada ya tukio hilo ila ni uzee she is 95.
Ila comment zako Zina uzito balaaHata kustunt hilo gari hapo wameshindwa au wameogopa tairi zitapasuka
Inasikitisha,Waafrika teknolojia imetujia vibaya sisi tunawasema wazungu wahindi na waarabu wanakumbatia u$enge lakini na sisi tumeyumba pakubwa.mpaka anaatolewa alikuwa ashakufa mkuu. Mzee wa toka bhits pancho latino, the latino mafia...
Akiwa ameishauwawa?Anaendelea vizuri
Inasikitisha!
Waafrika teknolojia imetujia vibaya,sisi tunawasema wazungu wahindi na waarabu wanakumbatia u$enge lakini na sisi tumeyumba pakubwa,juzi Facebook niliona kuna kichaa wa Kiganda ali-post video mwandishi mmoja wa Uganda anakata roho juzi nikaona wengine mwengine aka-post mwili wa shangazi yake aliyefariki halafu hata hajasitiri