Nini kimempata dada aliyeshambuliwa na nyuki? Alipona?

Nini kimempata dada aliyeshambuliwa na nyuki? Alipona?

Kuna umuhimu mkubwa wa sheria mpya itungwe ikiwa mtu atamrekodi mtu anaeshambuliwa na kitu chochote bila kutoa msaada wowote mtu huyo aadhibiwe hata kifungo cha kwanzia miaka mitano jela

Kama huwezi kumsaidia mtu ni bora uache kurekodi, kama ni mpenda content rekodi baada ya kutoa msaada huu ni uwazimu
 
Wenye wanakuuliza sasa pale tungefanyaje? Nchi hii ina vijana wengi ambao wana upeo mdogo wa kufikiri. Akili za kutoa simu kurekodi anazo ila akili za kumuokoa binadamu mwenzake hana.
Akili za ku-google popo kanyea mbingu ngono styles zipo ila ku-google jinsi ya kuokoa uhai wa Mtu aliyevamiwa na nyuki 0.0001% 😢

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hata maharashi wadada wanayojipulizia yanavutia nyuki! Wangechoma moto t-shirt zao nyuki wangesambaratika ila na wao wangechezea miba na wangemuokoa
Nilishavamiwaga na kundi la nyuki nikakimbilia kwenye Banda la muuza chipsi jikoni 2005
Baa nzima hakuna ambaye alisalimika
Huyu nahisi hiyo sababu ya kwanza imechangia.kuna vitu mwilini mwake kama sio mafuta vinawavuta hao nyuki wamfate.hata namana walivyozagaa chini sio kama wamekuja kushambulia Bali Kuna kitu kimewavuta,sema taharuki yake inafanya wamngate.
 
Ila watu wa Dar ifike wakati mjitafakari, nyie kwenye kila jambo utetezi wenu ni "Sasa sisi tungefanyaje?".

Mwenzenu anaporwa na vibaka mnakaa tu mnaangalia, utasikia wapo wengi. Toka lini vibaka wakawa wengi kupita raia?
Malezi ya kimayai mayai "Juniors"ndiyo yanayolemaza akili za vitoto vya 2000 yrs kuwa malaiiini kama biriani ila si Kizazi chetu cha 1920-1980 kilichopitia bakora takatifu kwa Mzazi au jirani yeyote.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kuna umuhimu mkubwa wa sheria mpya itungwe ikiwa mtu atamrekodi mtu anaeshambuliwa na kitu chochote bila kutoa msaada wowote mtu huyo aadhibiwe hata kifungo cha kwanzia miaka mitano jela

Kama huwezi kumsaidia mtu ni bora uache kurekodi, kama ni mpenda content rekodi baada ya kutoa msaada huu ni uwazimu
Ni sahihi.imagine Leo unapoteza mtu wa karibu mf Kwa ajali halafu fala flani anampiga picha anatuma mtandaoni inasambaa.hii ishu lazima itakuathiri kisaikolojia Kila ukikutana na hiyo picha hutopona kamwe.
 
Moto na Moshi Nyuki hawapendi wanakimbia kwa hio hapowangewasha hata magazeti tu ule Moshi tu ni sumu kwa nyuki wakivuta Moshi baadhi wanakufa ndio maana wanakimbia
Nimeona pembeni kuna nyumba za Watu ndiyomaana nilikuwa na wazo hilo hata kama wangechoma nguo ni sawa ilimradi moto ungehusika kwa namna yoyote ile.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hata maharashi wadada wanayojipulizia yanavutia nyuki! Wangechoma moto t-shirt zao nyuki wangesambaratika ila na wao wangechezea miba na wangemuokoa
Nilishavamiwaga na kundi la nyuki nikakimbilia kwenye Banda la muuza chipsi jikoni 2005
Baa nzima hakuna ambaye alisalimika
Baa nzima wote walikufa = Baa nzima hakuna ambaye alisalimika.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Siku hizi binadamu tuko wabinafasi sana.

Ni kwasababu huyo dada hawana ukaribu nae.
Ila kama angekuwa mtu wa karibu lazima wangepata akili.
Hata hawana ukaribu nae.imeandikwa wapi usaidie unaowajua na kushirikiana nao tu ama wenye ukaribu nawe?
Je wewe ungemkuta huyo dada njiani usingemsaidia sababu humjui Wala huna ukaribu nae si ndio?
 
Kuna umuhimu mkubwa wa sheria mpya itungwe ikiwa mtu atamrekodi mtu anaeshambuliwa na kitu chochote bila kutoa msaada wowote mtu huyo aadhibiwe hata kifungo cha kwanzia miaka mitano jela

Kama huwezi kumsaidia mtu ni bora uache kurekodi, kama ni mpenda content rekodi baada ya kutoa msaada huu ni uwazimu
Sheria ipo.

Kanuni ya adhabu inasema kuacha kuokoa uhai nalo ni kosa na adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.

Hawa jamaa ni wazembe na hawana ama hawajui mbinu za mwituni. Ni watu fulani mabishoo wa Mjini.
 
Siamini macho yangu.
Huyo atakufa.
Au atatamani angekufa.
Lakini,on a more calmer note let me say!
Unakumbuka wale Wachina waliokufa kwa nyuki?
Nadhani makaburi yao yapo Ilala mpaka leo.
Wale walikuwa wanajenga reli ya Tazara.
Na sasa huyu mdada anang'atwa na nyuki wakati Rais Samia yupo China anaongea na Rais Xi Jin Ping kuhusu hiyo hiyo TAZARA.
 
Maajabu ya vijana wa Dar yaani hapo badala ya kutoa msaada anatoa excuse eti hajawezatoa msaada wowote. Kweli? Nina mashaka sana na namna yake ya kufikiria. Huyu hata Hilo Gari likipata pancha atampigia simu aliyemnunulia aje arekebishe. Amejifedhehesha sana
 
Back
Top Bottom