Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

Ila bongo ni taifa la watu wa hovyo sijui ni njaa ama umaskini ama vyote kwa pamoja yaan watu mnaengage kwny mada hata hamjui ukweli wa taarifa yenyewe,yaan mtu kasoma juu juu karukia kwny comment anamuona mseven msenge

Wabongo badilikeni jiwekeen utaratibu wa kusoma vitabu acheni uvivu,hii itawasaidia kuvijua vyanzo sahihi vya taarifa
Watanzania wengi si wasomaji. Wanapenda zaidi simulizi. Hata hizo simulizi si wasikilizaji wazuri. Wanaanza kuchangia baada ya sentensi ya kwanza.
 
The problems are Blacks tends to Fake,but whites do it for real.
And that's why early before they called our continent as a black continent,it was not just because of color but was because of our reasoning capabilities,if you stand upright doing things correctly without fear you will be called dictator,your government practicing dictatorship type of leadership.If practicing lazy affair type of leadership you head African persons complaining; brothers and sisters we need to recheck if not to rethinking ourselves where we have mess/we are messing. Africa the head of a bull.
 
Waafrika wengi ni wajinga sana kama wanyama hususani wabongo. Wengi walimsifia Museveni bila kujua nini kilikua kinaendelea Uganda!

Muswada ule haukupelekwq Bungeni na serikali ya Museveni bali ni mbunge mmoja ndie alipeleka mapendekezo hayo kama ambavyo mbunge yeyote anaweza kufanya hapa Tanganyika, baada ya muswada kupita Bungeni ndipo Rais husaini uwe sheria.

Sasa kwakua Muswada ule haukutokea serikalini kinyume na mazwazwa wengi walivyoamini ndipo Museveni kaomba marekebisho kama ilivyotangazwa.

Kuna a very thin line katika uwezo wa kufikiri kati ya mwafrika na mnyama.
Kutokujua muswada ulitoka serikalini au kwa mbunge ndo umetafsiri kuwa asiyejua ni mnyama? Hiyo sababu ni dhaifu sana kuitumia kwa namna ulivyoitumia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mu7 kasalimu amri, haya wafuasi wake waungane nae kukana huo muswadaa.

Alikua ana wachota akili watu, hata yeye alijua uwezo hana kabisaa. Lol
Kuna kitu Mange aliandika wkt anatetea mashoga ila sidhan kama kuna shoga aliyeutia akilin huo mstari.
Alisema"watoto wangu wakichagua kuwa mashoga nitawasapoti ila nitawaambia maisha mliyoyachagua YATAFANYA MUISHI KWA SHIDA NA KUBAGULIWA MAISHA YENU YOTE".

Hata kama kina Noel wameachiwa lkn laiti wasingekua gay wasingefanyiwa unyama waliifanyiwa huko muhimbili.

Pia huyu museveni ni dikteta.Yuko hapo mpaka leo kwa mabavu so kumbuka keahazoea kufanya mengi sirini.Usifurahie anayoyaongea public il asikwazane na mabeberu.Jiulize kwa chuk aliyonayo dhid yenu hakuna akichokipanga cha kimya kimya?
You people mtawindwa waziwaz na sirin sbb watu wanawachukia.

Usifurahi pale mama wa kambo anapoficha fimbo yake sbb kuna wagen wakiona anakuchapa watamvagaa.Usifurahie kuna Noel kuachiwa huwez kujua wamefanywa nin huko hospital na huwez kujua plan B ya serikal ni ipi.

Na hata kama serikal za sasa Zinaogopa ogopa kuna siku atatokea rais kichaa kama Hitler asiyejal beberu wala mtetea mkapangwa pale uwanja wa taifa hlf akaamuru wote mle shaba.

Mange anaboa ila ana akili sana.
Nyie mtaishi kwa shida na hofu siku zote.Umewahi kuwaza hivi ikitokea kundi la panya road ambao wanaua na kudhuru gays tu itakuaje?Hadi serikal iwadhibit ni gays wangap watakua wamekufa au kudhurika?
 
Waafrika wengi ni wajinga sana kama wanyama hususani wabongo. Wengi walimsifia museven bila kujua nini kilikua kinaendelea Uganda!

Muswada ule haukupelekwq Bungeni na serikali ya Museveni bali ni mbunge mmoja ndie alipeleka mapendekezo hayo kama ambavyo mbunge yeyote anaweza kufanya hapa Tanganyika, baada ya muswada kupita Bungeni ndipo Rais husaini uwe sheria.

Sasa kwakua Muswada ule haukutokea serikalini kinyume na mazwazwa wengi walivyoamini ndipo Museveni kaomba marekebisho kama ilivyotangazwa.

Kuna a very thin line katika uwezo wa kufikiri kati ya mwafrika na mnyama.
Muswada kupelekwa bungeni kulichochewa na matamshii makali ya SULTAN MUSEVEN dhidi ya LGBTQ.

Ndipo hapo manyumbu yake aliyoyafuga Bungeni yakainuka na kutunga sheria ya kimihemko ili kumridhisha SULTAN MUSEVEN pamoja na kuwachota akili wananchi wa Uganda ili kuwazubaisha wasijadili mambo ya msingi.

SULTAN MUSEVEN katepeta kama furushi la mchicha. Amebaki kuwahadaa waganda tu kwa vijistori vya KUJIKOSHA.
 
View attachment 2595606

Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.

Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.

La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?

Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.

Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??

Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu
Nadhani hujaipata habari kikamilifu. Nilisoma sehemu jana kuwa mswada unarudishwa bungeni kwa kuwa haujakaza vilivyo juu ya adhabu zitakazotolewa. Sasa sijui kama ni kweli au lugha za kisiasa tu.
 
Museveni hii kitu alikuwa anaitamani sana ila kapigwa na kitu kizito hana namna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilisema humu tangu kitambo... huyu SULTAN WA UGANDA hatoboi...

Anawazuga manyumbu tu.
 
Tatizo yeye kafanya kwa kiki ila mbona bongo wanafinywa miaka 30 kimya kimya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu SAMIA TUMESHAMKANYA aache kuwaonea watu wasio na hatia ili akwepeshe mijadala ya ufisadi.

Mpaka sasa ameshawafunga jela watu wanne wasio na hatia, na wengine wengi anaamuru wakamatwe na kuingiziwa madole kwenye njia za haja kubwa.

Asipokanyika, ATAKANYWA KWA HERUFI KUBWA.
 
Mimi kudharauliwa na mtu wa hovyo kama wewe inanisaidia au inanipunguzia nini? Hao mbwa wenzio unaowaheshimu imewaongezea nini katika maisha yao?

Halafu usininasibishe na hizo jamii za hovyo sijui mangosha na uchafu mwingine.
Kwahiyo kwa hizo dagaa unazokula na mahali pachafu unapolala nawewe unajiona heshima yako kwa watu ina thamani ama? Hahahaha
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
View attachment 2595606

Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.

Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.

La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?

Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.

Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??

Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu
Ukiwa dependent ni vigumu kusimamia msimamo wako. Waarabu uliona kwenye kombe la dunia hawakutikisika hata kidogo kuhusu msimamo wao kwa sababu hawategemei kutembeza bakuri. Sasa unamgomea mtu ambaye kesho unapitiaha bakuri akuchangie akichimba bati unabadili msimamo.
 
Shida ya kukurupuka. Museven kasema hato sign mpaka makali yaongezwe kwenye adhabu kwa mashoga. Adhabu ya kifo
Unajidanganya, MUSEVEN KATEPETA.

Muswada ulishaweka adhabu ya kifo, ndio maana SULTAN MUSEVEN katoroka baada ya kukemewa na mabeberu.
 
Kuna kitu Mange aliandika wkt anatetea mashoga ila sidhan kama kuna shoga aliyeutia akilin huo mstari.
Alisema"watoto wangu wakichagua kuwa mashoga nitawasapoti ila nitawaambia maisha mliyoyachagua YATAFANYA MUISHI KWA SHIDA NA KUBAGULIWA MAISHA YENU YOTE".

Hata kama kina Noel wameachiwa lkn laiti wasingekua gay wasingefanyiwa unyama waliifanyiwa huko muhimbili.

Pia huyu museveni ni dikteta.Yuko hapo mpaka leo kwa mabavu so kumbuka keahazoea kufanya mengi sirini.Usifurahie anayoyaongea public il asikwazane na mabeberu.Jiulize kwa chuk aliyonayo dhid yenu hakuna akichokipanga cha kimya kimya?
You people mtawindwa waziwaz na sirin sbb watu wanawachukia.

Usifurahi pale mama wa kambo anapoficha fimbo yake sbb kuna wagen wakiona anakuchapa watamvagaa.Usifurahie kuna Noel kuachiwa huwez kujua wamefanywa nin huko hospital na huwez kujua plan B ya serikal ni ipi.

Na hata kama serikal za sasa Zinaogopa ogopa kuna siku atatokea rais kichaa kama Hitler asiyejal beberu wala mtetea mkapangwa pale uwanja wa taifa hlf akaamuru wote mle shaba.

Mange anaboa ila ana akili sana.
Nyie mtaishi kwa shida na hofu siku zote.Umewahi kuwaza hivi ikitokea kundi la panya road ambao wanaua na kudhuru gays tu itakuaje?Hadi serikal iwadhibit ni gays wangap watakua wamekufa au kudhurika?
Kabla haujaunda kikundi cha panyarodi, utakuwa umeshasambaratishwa.
 
Nakuhakikishia hatosain anatafuta namna ya kujinasua hapo....
Hapo anacheza na akili za wajinga
Anajaribu kupoteza muda na KUJIKOSHA KOSHA.

Tangu lini LIDIKTETA likawa na akili? DIKTETA ASIYE NA UTAMBUZI.

Bora huyu SAMIA anafanya UHARAMIA KIMYA KIMYA kwa kujificha uvunguni.

Na huyu SAMIA TUMESHAMUONYA, na akishupaza shingo TUTAMUONYA KWA HERUFI KUBWA ZENYE WINO MWEKUNDU.

AMEUNDA KIKOSI CHA WAHUNI CHA KUINGIZIA WATU MADOLE KWENYE MAPURU!

SASA ASIPOACHANA NA HUU UHUNI NA UHARAMIA, ATALAZIMISHWA KUJIHESHIMU.
 
View attachment 2595606

Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.

Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.

La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?

Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.

Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??

Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu
Sasa shoga unamfunga jela ipi maana yeye ni mwanamke na hapohapo ni mwanaume, ukimfunga kwa wanawake tegemea atawatia mimba wote mle, ukimfunga kwa wanaume tegemea watamgonga hadi ashindwe kusimama. Ukitengeneza gereza la peke yao kuna mashoga w engine zinasimama watagongana usiku na mchana
 
.
Screenshot_20230330-164914.jpg
 
Back
Top Bottom