Clepatina
JF-Expert Member
- Apr 8, 2023
- 1,266
- 2,577
Kwa m7 alivyo na chuki na hawa watu lazima ana plan B ya kimya kimya.Nakuhakikishia hatosain anatafuta namna ya kujinasua hapo....
Hapo anacheza na akili za wajinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa m7 alivyo na chuki na hawa watu lazima ana plan B ya kimya kimya.Nakuhakikishia hatosain anatafuta namna ya kujinasua hapo....
Hapo anacheza na akili za wajinga
Ona huyu babu yako Museven anavyoweweseka baada ya kushughulikiwa na mabeberu.Inawezekana ila pia inawezekana isiwezekane
Hana Plan B yoyote huyo dikteta ajuza. Maisha yake yamefika tamati, anasubiri kujifia taratibu.Kwa m7 alivyo na chuki na hawa watu lazima ana plan B ya kimya kimya.
Huyu babu yangu m7 sijawahi kumpenda sbb ni katili sana na ndo mana linapokuja suala la kudeal na mashoga sina wasiwas naeKeshawashuhulikia wengi na bado tunamtegemea ataendelea kuwashuhulikia.Sio mjinga huyu.Ona huyu babu yako Museven anavyoweweseka baada ya kushughulikowa na mabeberu.
Urais wake wenyewe uko kwenye mikono ya CIA.
Kinyago cha kuchonga! View attachment 2595883
Tunachofahamu ni waarabu wengi wanafurahia kuliwa nyuma!Waafrika wengi ni wajinga sana kama wanyama hususani wabongo. Wengi walimsifia Museveni bila kujua nini kilikua kinaendelea Uganda!
Muswada ule haukupelekwq Bungeni na serikali ya Museveni bali ni mbunge mmoja ndie alipeleka mapendekezo hayo kama ambavyo mbunge yeyote anaweza kufanya hapa Tanganyika, baada ya muswada kupita Bungeni ndipo Rais husaini uwe sheria.
Sasa kwakua Muswada ule haukutokea serikalini kinyume na mazwazwa wengi walivyoamini ndipo Museveni kaomba marekebisho kama ilivyotangazwa.
Kuna a very thin line katika uwezo wa kufikiri kati ya mwafrika na mnyama.
Hana Plan B yoyote huyo dikteta ajuza. Maisha yake yamefika tamati, anasubiri kujifia taratibu.
Tulimuonya humu aache kuonea watu wasio na hatia, lakini akatumia muda wake mwingi madarakani kushindana na mashoga.
Alipaswa kuwa na chuki na umasikini, lakini badala yake ameiacha nchi kwenye dhiki na mahangaiko.
Karata ya mwisho aliyobaki nayo ilikuwa kujikosha kwenye swala la mashoga. Na huko pia mabeberu wamemfyeka.
Kilichobaki anasubiri tu kutwaliwa na mwenyezi Mungu akachomwe moto wa milele jehanamu.View attachment 2595888
Hii ni vita iliyopotea.Huyu babu yangu m7 sijawahi kumpenda sbb ni katili sana na ndo mana linapokuja suala la kudeal na mashoga sina wasiwas nae.Anayoyafanya sirin anayajua mwenyewe.
Huyu suala la kuchukia gays sio la kiki au la msimu miaka yote hawapendi.Gays kibao wa uganga wamekimbilia abroad.Kama wewe ni gay ukimuona m7 anakuchekea anza kulia[emoji1787]
Ana wachotaa akili nyie watu, huyo Mu7 hana ubavu wowoteee, na anajua kuwachezesha kidamali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ya kukurupuka. Museven kasema hato sign mpaka makali yaongezwe kwenye adhabu kwa mashoga. Adhabu ya kifo
Haswaaaaaaaah!!!Kwahiyo unafurahia ?
Papa yuko vatikani anasema mashoga ni wana wa Mungu mse7 awezi kumpinga kiongozi wake wa dini kanisa ndilo linalo ongoza dunia atakae pinga ushoga usagaji ukahaba kukionaView attachment 2595606
Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.
Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.
La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?
Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.
Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??
Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu
Papa kasema mashoga ni wana wa Mungu nani apige?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mu7 kasalimu amri, haya wafuasi wake waungane nae kukana huo muswadaa.
Alikua ana wachota akili watu, hata yeye alijua uwezo hana kabisaa. Lol
Museven sio mtu wa kutoa "second chance".Kosa la Mseven ni lipi!? Kawapa second chance kama wana uwezo wa kubadilika wabadilike, kama wanashindwa kubadilika sasa ndo hatua kali zichukuliwe
Huyu SAMIA TUMESHAMKANYA aache kuwaonea watu wasio na hatia ili akwepeshe mijadala ya ufisadi.Hapa bongo wanashughulikiwa kimya kimya wanaenda kutiwa vidole huko muhimbili
Umeeleza mengi sana na umetoa kwa umakini km sio maumivu pia? Hii Dunia hatuwezi kuwa sawa kamweee, kuna kila tabakaa.Kuna kitu Mange aliandika wkt anatetea mashoga ila sidhan kama kuna shoga aliyeutia akilin huo mstari.
Alisema"watoto wangu wakichagua kuwa mashoga nitawasapoti ila nitawaambia maisha mliyoyachagua YATAFANYA MUISHI KWA SHIDA NA KUBAGULIWA MAISHA YENU YOTE".
Hata kama kina Noel wameachiwa lkn laiti wasingekua gay wasingefanyiwa unyama waliifanyiwa huko muhimbili.
Pia huyu museveni ni dikteta.Yuko hapo mpaka leo kwa mabavu so kumbuka keahazoea kufanya mengi sirini.Usifurahie anayoyaongea public il asikwazane na mabeberu.Jiulize kwa chuk aliyonayo dhid yenu hakuna akichokipanga cha kimya kimya?
You people mtawindwa waziwaz na sirin sbb watu wanawachukia.
Usifurahi pale mama wa kambo anapoficha fimbo yake sbb kuna wagen wakiona anakuchapa watamvagaa.Usifurahie kuna Noel kuachiwa huwez kujua wamefanywa nin huko hospital na huwez kujua plan B ya serikal ni ipi.
Na hata kama serikal za sasa Zinaogopa ogopa kuna siku atatokea rais kichaa kama Hitler asiyejal beberu wala mtetea mkapangwa pale uwanja wa taifa hlf akaamuru wote mle shaba.
Mange anaboa ila ana akili sana.
Nyie mtaishi kwa shida na hofu siku zote.Umewahi kuwaza hivi ikitokea kundi la panya road ambao wanaua na kudhuru gays tu itakuaje?Hadi serikal iwadhibit ni gays wangap watakua wamekufa au kudhurika?
Wakija kustukaaa kuwa anachezea akili, watakua wameshachelewa.Nakuhakikishia hatosain anatafuta namna ya kujinasua hapo....
Hapo anacheza na akili za wajinga
Wee zinakufanyajee??Ndugu yangu hizi mada huwa zinakusuuza moyo
Kwani uongo? Waovu wote ni wana wa Mungu, wakitubu wanafika kuume kwa baba, kadri ya maandiko ktk kitabu kitakatifu.Papa kasema mashoga ni wana wa Mungu nani apige?