Nini kimemsibu Mulamula?

Nini kimemsibu Mulamula?

Mambo mengine ya siri tusiyoweza yajua hapa. But God is on her side for stand with nation ethics.

Amekubali ku step down kuepuka Yale anaona kesho yeye atakuwa ndio responsible. Ndio màana husikii neno ametumbuliwa.
Uteuzi umetenguliwa.
Hivi sio kwamba kajiuzulu?
 
Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?

1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?

2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?

Au tuhuma hizi zina ukweli?

View attachment 2375381
View attachment 2375383

Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Sasa kama alicheza -'betting' ya kimataifa na kushinda, shida ipo wapi?
 
Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?

1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?

2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?

Au tuhuma hizi zina ukweli?

View attachment 2375381
View attachment 2375383

Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Uzi wa kijinga kwa sababu una sababu za kijinga....
 
Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?

1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?

2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?

Au tuhuma hizi zina ukweli?

View attachment 2375381
View attachment 2375383

Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Huyo Mama amekaa huko USA muda mrefu sana na wenzetu kule hawana mambo ya kijungu jiko mishe zipo nyingi na malipo ni makubwa sana.
 
Sababu ulizozitoa zote ni sahihi na ongezea na hii, kwa nini alialikwa na Biden na kuandaliwa chakula cha dhifa ya Kitaifa white House juzi Kati yeye kama yeye badala ya VP aliyekuwepo huko au Rais?

Najaribu kuwaza tuu.
Halafu msisahau Mulamula ni msomi ambaye anaweza kurudi UN anytime akiamua. Hana njaa kabisa. Hivi vyeo watishiwe Mawaziri mamburura (wale VIJANA)!
 
Hakuwa na uwezo tangu AINGIE madarakani. Period
 
Back
Top Bottom