Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Tafuta story ya Ouko na Moi.Watanzania ni mabingwa wa kutunga story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta story ya Ouko na Moi.Watanzania ni mabingwa wa kutunga story
Uteuzi umetenguliwa.Mambo mengine ya siri tusiyoweza yajua hapa. But God is on her side for stand with nation ethics.
Amekubali ku step down kuepuka Yale anaona kesho yeye atakuwa ndio responsible. Ndio màana husikii neno ametumbuliwa.
Hii haimaanishi kilichotokea baina yao lazima kitokee TZ. Kutakuwa na jambo zaidi ya hilo.Tafuta story ya Ouko na Moi.
Sasa kama alicheza -'betting' ya kimataifa na kushinda, shida ipo wapi?Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?
1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?
2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?
Au tuhuma hizi zina ukweli?
View attachment 2375381
View attachment 2375383
Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Sasa huyo aliyeingia kwenye basi la skuli na kushikilia bilauli alizuiwa kufanya maamuzi tofauti?Skul bas na Gilasi vimemponza Mulamula
Uzi wa kijinga kwa sababu una sababu za kijinga....Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?
1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?
2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?
Au tuhuma hizi zina ukweli?
View attachment 2375381
View attachment 2375383
Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Huyo Mama amekaa huko USA muda mrefu sana na wenzetu kule hawana mambo ya kijungu jiko mishe zipo nyingi na malipo ni makubwa sana.Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?
1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?
2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?
Au tuhuma hizi zina ukweli?
View attachment 2375381
View attachment 2375383
Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Kwani Mulamula sio? Unadhani mambo yanajiendea endea tu?😅Mambo ya nje Waziri anatakiwa awe miksa, expert wa usalama+ diplomasia.
This make sense atleastView attachment 2375380
Badala ya kuandaa mazingira ya Bi Mkubwa kutinga Jumba Jeupe, kaenda yeye wazee wa fitna na roho mbaya wakaona hili ni kosa kubwa la kiufundi.
Kama yule mchato alivyowapachika ndugu zakeAlikua hajui unafiki wa kusifia ujinga pia nasikia Samia anawapachika ndugu zake katika balozi kubwa na kuwaondoa watanganyika.
Daaa hivi kumbe VP alikuwepo kule?Sababu ulizozitoa zote ni sahihi na ongezea na hii, kwa nini alialikwa na Biden na kuandaliwa chakula cha dhifa ya Kitaifa white House juzi Kati yeye kama yeye badala ya VP aliyekuwepo huko au Rais?
Najaribu kuwaza tuu.
Huyu jamaa hajui kuwa huyu amefanya kazi UN miaka mingi sana?Utachagua wewe umwamini naniView attachment 2375374View attachment 2375375
Halafu msisahau Mulamula ni msomi ambaye anaweza kurudi UN anytime akiamua. Hana njaa kabisa. Hivi vyeo watishiwe Mawaziri mamburura (wale VIJANA)!Sababu ulizozitoa zote ni sahihi na ongezea na hii, kwa nini alialikwa na Biden na kuandaliwa chakula cha dhifa ya Kitaifa white House juzi Kati yeye kama yeye badala ya VP aliyekuwepo huko au Rais?
Najaribu kuwaza tuu.
Sidhani ni issue ya school bus kwasababu marais wote walipandishwa kwenye bus ispokuwa tu kiranja wa dunia alitumia usafiri wake.Itakuwa sikulu basi