Nini kimemsibu Mulamula?

Nini kimemsibu Mulamula?

Nahisi mama akuwa free katika utendaji wake maana ile wizara wapemba wamejaa ndio waliomfitinisha.

Kama rais ameadithiwa vumbi la kongo na mchuzi wa pwezi basi atakuwa bingwa wakusikiliza umbea.
 
Mulamula kilichomuondoa ni kukataa kutii maamuzi yasiyo ya manufaa kwa nchi.yule bibi toka yuko shule kama unaenda kinyume na utaratibu anakuambia bila kupepesa macho ndiyo maana hawajaendana na boss wake
 
Ukiwa na kiongozi kilaza kila siku ujue utapigwa pasi ukionekana unampita uwezo.hasa wanawake
 
JPM alimtumbua kisa alimshinikiza aende kwenye kikao kimojawapo huko ugaaubuni JPM akamwambia nitaenda, muda ukakaribia Mulala akamkumbusha tena JPM kuwa tunaomba hakikisho lako Mhe. Rais kama unaenda au huendi, JPM akamjibu Mlamula kuwa nitakwambis..

Mlala kama mkuu wa protocal ikabidi amshirikishe marehe Che Nkapa, ndo Nkapa akampigia JPM kumuuliza 'Hivi we unajua una kikao nje na kwa we bado Rais mpya inabidi uende lau ujitambulishe huko kwa wenye dunia yao?'

JPM akamjibu Nkapa kwa upole kuwa nitaenda mzee wangu..

Kwa hasira JPM akamgeukia Mlamla..'we umenishtaki kwa Mkapa ili iweje? sasa SIENDI we nend wewe na huyo Mkapa wako na sitaki kufanyakazi na wewe tena na nisikuone hapo Ifisini ahahaha

Nakumbuka usiku ule Mulamula akampigia mkapa yaliyojili ..Mkapa akaogopa akasema we achana naye Mwehu huyo..ahahaha
Magufuli safi sana!

Huyu ndio alikuwa rais siyo hii mirenda
 
Mulamula alitumbuliwa na JPM pia, JPM akaonekana km ana mambo binafsi na huyu mama, Leo tena katumbuliwa na Sa100 itakuwa kuna kitu nyuma ya pazia
Mulamula amewahi kuteuliwa na JPM?? Sikumbuki.....
 
Kukosa Utii, kutoilinda katiba na Mshenzi sio msiri, kimsingi nadhani hapendi ukilaza kwenye baadhi ya mambo Kwa hio akawa anajikana kuonesha msimamo wake
 
Kukosa Utii, kutoilinda katiba na Mshenzi sio msiri, kimsingi nadhani hapendi ukilaza kwenye baadhi ya mambo Kwa hio akawa anajikana kuonesha msimamo wake
Mie nimesikia tafauti. Uijua kuwa mke wa mbowe na tundulissu au watoto wao au wote ni raia wa Marekani? Nasikia huyo mama ndiye alikuwa atumike kuleta sera ya uraiaacha zikiwamo na ghasia zingine za ushoga na usaliti. Pia kuna wakati alimwacha Rais au Makamu wa Rais hotelier yeye akaenda kutoa press Congress kwa rais Obama kwani madogo hayo?
 
Back
Top Bottom