Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

Nilishavuka huko, kipindi naacha kazi serikalini nilifikia ngazi ya ukurugenzi wa idara pale MFA, nikaja huku kwenye international organizations. Siishi maisha ya kupangiwa tena nini cha kufanya. Najipangia mwenyewe na nimejiajiri.
Upo kwenye international org, unajipangia, umejiajiri = umejichanganya
 
Upo kwenye international org, unajipangia, umejiajiri = umejichanganya
Huna akili ya ku comprehend mambo ungekaa kimya.... nimeandika niliacha kazi serikalini nikaja huku kwenye international organizations.... wapi nimesema bado nafanya? Unajua ni lini? Bila aibu unajibu kitu usichokielewa!

Pathetic fool!!
 
Nilikua wa mwanzo ku comment humu wakaja watu wa ngonjera za nina wivu... watanzania wengi ni wajinga sana, hutoa comments kwa vitu wasivyovijua....
Nina watu wanne walikua board members wa NSSF ninaujua uchafu wa huyo bwana nikiuandika hapa utajaa kurasa tatu. Ni mtu wa hovyo sana.
 
Huyu Prof nimepata PF yake kwa mdogo mmoja yupo Viwanda na biashara HQ anasema Jana watu walipiga monde Sana baada ya kutolewa Wizarani pale ameeleza kuwa jamaa kwanza ni Mhaya ujuaji mwingi, shobo,chuki, anabania watu kupata fursa za kimasomo, safari in short all opportunities na alishakalia kuti kavu kitambo Sasa naona mfumo ume m demote akatulie Geita, wakuu Kuna watu changamoto Sana utafikiri wao wameumbwa kuwa juu na hawatambui kuwa inawapasa kuwa viongozi na siyo watawala,
 
Hatari sana
 
Hapo ndo mamlaka zinapokosea ina maana watumishi wa geita ndo wanastahili mizoga?
 
Tapeli
 
Hakika mkuu. Ukipata nafasi kwenye "other side" huwezi Tena kukimbilia teuzi.
Kuna waajiriwa flani napiga nao Consultancy jobs. Unakuta kazi moja ya miezi 2 tu anakunja 8-figure profit.
Humu tunakutana kila mtu yupo na uelewa tofauti, exposure tofauti n.k
 
Hapo ndo mamlaka zinapokosea ina maana watumishi wa geita ndo wanastahili mizoga?
Nchi ni kama inaongozwa na masela kabisa..huwezi kuwa una-recycle watu walioshindwa hapo mwanzo halafu unawaleta tena, serikali gani makini inafanya hivyo? wengine wakitolewa serikalini hawana kazi nyingine za kufanya? au wao kazi pekee wanaweza kufanya zipo serikalini? Nadhani mamlaka za uteuzi zina shida kubwa..ndio maana lazima sasa katiba mpya ije, haya mambo ya kisela yafikie ukomo..kabla mtu hajateuliwa apitie mahojiano na athibitishe kitu maalum kinachofanya ateuliwe.
 
Nilishavuka huko, kipindi naacha kazi serikalini nilifikia ngazi ya ukurugenzi wa idara pale MFA, nikaja huku kwenye international organizations. Siishi maisha ya kupangiwa tena nini cha kufanya. Najipangia mwenyewe na nimejiajiri.
Safi kiongozi,ni watu wachache hasa wasomi kujiamini hivyo na kuwa ktk mtizamo kama wako.
 
Tupe mifano ya hao viongozi bora na wafanyabiashara. Au usomi ni kuwa prof ama udaktari? Au tafsiri yako ya wasomi ni watu wa namna gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…