Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuna namba 9 wangapi pale Simba ambao hawapewi nafasi na muda ? Na kama waliona ilo kwanini walimuacha Freddy na na kumbakisha goalkeeper Ayoub Lakred maana saivi ni useless tu na inawapa shida kuamua nani atokeKwamba mukwala hatoshi kwamba tatizo ni namba 9, au mwalimu kawaambia anataka namba 9 mwingine ili achezeshe double strikers?kama ni maelezo ya mwalimu tena achezeshe double strikers maana ahoua anakosa sifa kadha za kuwa playmaker, hapo sawa, vinginevyo hapa kwetu msimbazi viongozi wapimwe mkojo sasa.
Mkuu umeliona ilo maana siwaelewiViongozi wanazingua
Kama Kibu Dennis hakushiriki preseason ya klabu lakini viongozi wamelazimisha acheze tuHajafanya pre season laZima akwame
Ndio maana nasema viongozi wetu wa simba wakapimwe MKOJO.Mkuu kuna namba 9 wangapi pale Simba ambao hawapewi nafasi na muda ? Na kama waliona ilo kwanini walimuacha Freddy na na kumbakisha goalkeeper Aypub Lakred maana saibi ni useless tu na inawapa shida kuamua nani atoke
Hakika hao viongozi wa Simba wanayumba.Kama Kibu Dennis hakushiriki preseason ya klabu lakini viongozi wamelazisha acheze tu
Hili la Kibu linanifikirisha Sana, kwanini wanalazimisha acheze wakati akiingia hata mchango wake hauonekani?Kama Kibu Dennis hakushiriki preseason ya klabu lakini viongozi wamelazisha acheze tu
Ni tatizo ,na ubaya wanaumia mashabiki ambao wanaitetea clubNdio maana nasema viongozi wetu wa simba wakapimwe MKOJO.
Hii ni inaweza kuwa na sababu nyingi lakini kwangu naona 1-viongozi wanapuuzia maoni ya mashabikiHili la Kibu linanifikirisha Sana, kwanini wanalazimisha acheze wakati akiingia hata mchango wake hauonekani?
Mukwala hajakatiwa tamaa, fredy ndo amekatiwa tamaa na kocha na hayupo kwenye mipango ya mwalimu analetwa mshambuliaji mwingine wa kusaidiana na MukwalaHakika hao viongozi wa Simba wanayumba.
MUKWALA- ni bonge la striker, kwanini wamemkatia tamaa kabla hata hajacheza mechi ya league
Mukwala mchezaji mzuri anahitaji vitu vichache sana kumuongezea awake, ila kwa Freddy na uyo mpya Lionel ndio wasiwasi wangu upo .Mukwala hajakatiwa tamaa, fredy ndo amekatiwa tamaa na kocha na hayupo kwenye mipango ya mwalimu analetwa mshambuliaji mwingine wa kusaidiana na Mukwala
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sautiHii ni inaweza kuwa na sababu nyingi lakini kwangu naona 1-viongozi wanapuuzia maoni ya mashabiki
2-Maslahi binafsi ya viongozi kwa mchezaji
3-Kelele za wachambuzi mchele wa bongo
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sautiMkuu ayo ni mapendekezo au umetoa sababu?? Nafikiri cha kufanyika ni ushirikiano tu na maoni ya mashabaki na wanachama yaheshimiwe na kufanyiwa kazi ipasavyo pia kuweka team sahihi ya scout na kuachana na wachezaji wa kuletewa toka kwa mawakalaNilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sauti
Mangungu nae anamatatizo pia tunajua ilo japo tunamweka kando lakini anahusika kwa asilimia kadhaaMsisahau mliambiwa msimu huu tajiri kaingia sokoni mwenyewe so baadae lawama zisije enda kwa mzee wenu Mangungu
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sauti