Nini kimewapelekea viongozi wa Simba kumsajili mshambuliaji Mcameroon Lionel toka USM Algiers?

Nini kimewapelekea viongozi wa Simba kumsajili mshambuliaji Mcameroon Lionel toka USM Algiers?

Kwamba mukwala hatoshi kwamba tatizo ni namba 9, au mwalimu kawaambia anataka namba 9 mwingine ili achezeshe double strikers?kama ni maelezo ya mwalimu tena achezeshe double strikers maana ahoua anakosa sifa kadha za kuwa playmaker, hapo sawa, vinginevyo hapa kwetu msimbazi viongozi wapimwe mkojo sasa.
Mkuu kuna namba 9 wangapi pale Simba ambao hawapewi nafasi na muda ? Na kama waliona ilo kwanini walimuacha Freddy na na kumbakisha goalkeeper Ayoub Lakred maana saivi ni useless tu na inawapa shida kuamua nani atoke
 
Kama Kibu Dennis hakushiriki preseason ya klabu lakini viongozi wamelazisha acheze tu
Hakika hao viongozi wa Simba wanayumba.
MUKWALA- ni bonge la striker, kwanini wamemkatia tamaa kabla hata hajacheza mechi ya league
 
Mukwala hajakatiwa tamaa, fredy ndo amekatiwa tamaa na kocha na hayupo kwenye mipango ya mwalimu analetwa mshambuliaji mwingine wa kusaidiana na Mukwala
Mukwala mchezaji mzuri anahitaji vitu vichache sana kumuongezea awake, ila kwa Freddy na uyo mpya Lionel ndio wasiwasi wangu upo .
 
Hii ni inaweza kuwa na sababu nyingi lakini kwangu naona 1-viongozi wanapuuzia maoni ya mashabiki
2-Maslahi binafsi ya viongozi kwa mchezaji
3-Kelele za wachambuzi mchele wa bongo
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sauti
 
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sauti
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sauti
Mkuu ayo ni mapendekezo au umetoa sababu?? Nafikiri cha kufanyika ni ushirikiano tu na maoni ya mashabaki na wanachama yaheshimiwe na kufanyiwa kazi ipasavyo pia kuweka team sahihi ya scout na kuachana na wachezaji wa kuletewa toka kwa mawakala
 
Nilisha sema humu na kupendekeza nini kifanyike 1 Tatizo la simba ni wanachama hawana uwezo wa kuwajibishana viongozi na muwekezaja. yaani timu ilishanunuliwa, pia wanachama walisha sahau kuichangia timu kama waliambiwa wasichangie ndiyo sababu ya wanachama kutokuwa na sauti

Mkuu ayo ni mapendekezo au umetoa sababu?? Nafikiri cha kufanyika ni ushirikiano tu na maoni ya mashabaki na wanachama yaheshimiwe na kufanyiwa kazi ipasavyo pia kuweka team sahihi ya scout na kuachana na wachezaji wa kuletewa toka kwa mawakala
 
Back
Top Bottom