Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Mashabiki wa Simba msiwape pressure viongozi wenu ligi bado haijaanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio presha ila ni mdahalo na tunadiliana kwa kutoa maoni pia, Na ni haki kila mtu kutoa mchango wa aina yyt ile kuinusuru klabu na soka kwa ujumla.Mashabiki wa Simba msiwape pressure viongozi wenu ligi bado haijaanza!
Umesoma bila kunielewa kuna mdau alianzisha uzi humu tukatoa mapendekezo nikiipata huyo thread naituma hapaMkuu ayo ni mapendekezo au umetoa sababu?? Nafikiri cha kufanyika ni ushirikiano tu na maoni ya mashabaki na wanachama yaheshimiwe na kufanyiwa kazi ipasavyo pia kuweka team sahihi ya scout na kuachana na wachezaji wa kuletewa toka kwa mawakala
Itakuwa vizuri sana na jambo jema kwa manufaa ya klabu pamoja na soka kwa ujumlaUmesoma bila kunielewa kuna mdau alianzisha uzi humu tukatoa mapendekezo nikiipata huyo thread naituma hapa
Hesabu za mchongo hizoMkuu huelewi mahesabu yake 😂
kwani hilo sio pendekezo la kocha?Na mashaka kama wanashauriana kwenye kusajiri
Sizanikwani hilo sio pendekezo la kocha?
Matatizo makubwa / makuu ya Simba SC kwa sasa ni kama yafuatayo....Ndugu wanasoka wenzagu naomba kuuliza nini kimewafanya viongozi wa Simba kumsajili huyu mchezaji ambae kila nikisoma takwimu zake naona hazimbebi kabisa kuwa chaguo sahihi. Simhukumu ila ningependa kujua tu mapema kabla hatujampa muda klabuni?
Soma Pia:
𝗟𝗜𝗢𝗡𝗘𝗟 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡 𝗔𝗧𝗘𝗕𝗔 🇨🇲
- Usajili wa Simba tangu 2019 hauaminiki
- Dirisha bado halijafungwa, Simba tafuteni mbadala wa Fredy na ngoma tu, halafu kazi imeisha
Douala FC | Cameroon 🇨🇲
◉ 06 - Six months
◉ 16 - Games.
◉ 06 - Goals scored.
◉ 02 - Assist.
USM Alger | Algeria 🇩🇿
◉ 06 - Six months.
◉ 16 - Games.
◉ 01 - Goal scored.
◉ 03 - Assists.
ℹ️ Lionel Ateba katika mashindano yote akiwa USM Alger amecheza mechi (24), amefunga magoli (3) na Assists (7).
🎮 16 ⚽ 1 🎯 3 - Ligi kuu 🇩🇿
🎮 04 ⚽ 2 🎯 2 - FA cup 🇩🇿
🎮 04 ⚽ 0 🎯 2 - CAF Confederations cup.
Key 🔑
_____________
🎮 - Games
⚽ - Goals scored.
🎯 - Assist
Labda makolo wamepumbazwa na ilo jina la LionelNdugu wanasoka wenzagu naomba kuuliza nini kimewafanya viongozi wa Simba kumsajili huyu mchezaji ambae kila nikisoma takwimu zake naona hazimbebi kabisa kuwa chaguo sahihi. Simhukumu ila ningependa kujua tu mapema kabla hatujampa muda klabuni?
Soma Pia:
𝗟𝗜𝗢𝗡𝗘𝗟 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡 𝗔𝗧𝗘𝗕𝗔 🇨🇲
- Usajili wa Simba tangu 2019 hauaminiki
- Dirisha bado halijafungwa, Simba tafuteni mbadala wa Fredy na ngoma tu, halafu kazi imeisha
Douala FC | Cameroon 🇨🇲
◉ 06 - Six months
◉ 16 - Games.
◉ 06 - Goals scored.
◉ 02 - Assist.
USM Alger | Algeria 🇩🇿
◉ 06 - Six months.
◉ 16 - Games.
◉ 01 - Goal scored.
◉ 03 - Assists.
ℹ️ Lionel Ateba katika mashindano yote akiwa USM Alger amecheza mechi (24), amefunga magoli (3) na Assists (7).
🎮 16 ⚽ 1 🎯 3 - Ligi kuu 🇩🇿
🎮 04 ⚽ 2 🎯 2 - FA cup 🇩🇿
🎮 04 ⚽ 0 🎯 2 - CAF Confederations cup.
Key 🔑
_____________
🎮 - Games
⚽ - Goals scored.
🎯 - Assist
Sababu ya 3 ndiyo ya msingi inaweza kutatua sababu zote ulizozitaja na zitakazo kuja, (it is like dealing with silent society), huwezi fanya biashara kwenye jamii iliyo nyamaza yaani jamii mfu,(yes bwana)Matatizo makubwa / makuu ya Simba SC kwa sasa ni kama yafuatayo....
1. 10% kwa Viongozi Wapigaji
2. Upumbavu wa Uongozi uliopo
3. Uwendawazimu na Ushamba wa Sisi Mashabiki wake / wao
4. Usaliti kutokana na kuwa na Virusi wengi Klabuni
5. Timu kuendeshwa Kienyeji / Kiuswahili zaidi
6. Idara mbovu ya Mawasiliano ( Msemaji wa hovyo ) japo Majuha wanamsifia
7. Morali ya Wachezaji kuwa chini huku kukiwa hakuna Mtaalam wa Saikolojia
Nimemaliza.
Mzee Genta umeandika kama mwanachama mwenye uchungu na ujuaye wapi pana vuja,,🙌Tunaanzia wapi kusolve ayo matatizo kuinusuru klabu yako pendwa ??Matatizo makubwa / makuu ya Simba SC kwa sasa ni kama yafuatayo....
1. 10% kwa Viongozi Wapigaji
2. Upumbavu wa Uongozi uliopo
3. Uwendawazimu na Ushamba wa Sisi Mashabiki wake / wao
4. Usaliti kutokana na kuwa na Virusi wengi Klabuni
5. Timu kuendeshwa Kienyeji / Kiuswahili zaidi
6. Idara mbovu ya Mawasiliano ( Msemaji wa hovyo ) japo Majuha wanamsifia
7. Morali ya Wachezaji kuwa chini huku kukiwa hakuna Mtaalam wa Saikolojia
Nimemaliza.
Ambazo ni zipi mkuu orodheshaSababu ya 3 ndiyo ya msingi inaweza kutatua sababu zote ulizozitaja na zitakazo kuja
Jina lake kamili ni Lionel Cristiano Atteba 😂Labda makolo wamepumbazwa na ilo jina la Lionel
Niziorodhesha Zanini mbona zimetajwa na muanzilishi wa uzi huuAmbazo ni zipi mkuu orodhesha
Umeona mchezaji mwingine toka Burundi wanampigia chapuo wapige 10%Niziorodhesha Zanini mbona zimetajwa na muanzilishi wa uzi huu
Ebu mtueleze vizuri hapa; nani anampiga nani kwenye usajili? Pesa anatoa MO. Usajili anasajili MO. Nani anampiga nani?Viongozi wanakurupuka kutokana na presha au upigaji ?
Ebu mtueleze vizuri hapa; nani anampiga nani kwenye usajili? Pesa anatoa MO. Usajili anasajili MO. Nani anampiga nani?
Ebu mtueleze vizuri hapa; nani anampiga nani kwenye usajili? Pesa anatoa MO. Usajili anasajili MO. Nani anampiga nani?
Na pia MO hafanyi usajiri kama wengi ufikiria ,tajiri anajulia wapi wachezaji aache biashara zake ,,ila anatoa pesa tu kwa watu wake na kisha utendeka kama nilivyoeleza apo juuWenye ufahamu watakuja kueleza zaidi , Ila kwa uelewa na kujua kwangu inakuwa ivi, Mfano Kocha anamwambia Tajiri anahitaji striker , Tajiri anampa kazi watu wake either mascout au mafias au wajanja(kama kina Try again,Hanspope,Hersi Said n.k) kutokana na wao wanahitaji 10% wanatafuta mchezaji kisha wanampanga Agent kuwa mchezaji wako ni usd 50k ila weka usd 200k sisi tutamaliza kila kiti iyo ya juu yetu pia mshahara ni 7m ila weka 15m iyo juu itakatwa na sisi kisha wanampelekea tajiri kumshawishi uyu striker anajua na thamani yake ni usd 200k+ mshahara tshs15m basi Tajiri anatoa pesa tu na mshahara unalipwa. Na apo ndio upigaji upo maana uyo mchezaji atafeli na ndio huwa Furaha na fursa yao ya kupiga tena , Nahakika umeelewa apo
Hakika hao viongozi wa Simba wanayumba.
MUKWALA- ni bonge la striker, kwanini wamemkatia tamaa kabla hata hajacheza mechi ya league