MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Kupunguza MadarakA makubwa ya uraisi kama Magufuli avyoamua kujenga uwanja wa ndege chato kijijni mwake
Jawabu katiba mpya
Jawabu katiba mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walio madarakani ni CCM, Serikali ni ya CCM halafu majibu yale yalikuwa ya fedhea ya tungojee, kwanza tupate maendeleo halafu yakipatikana ndio iwekwe mezani? CCM inaogopa nini? na sisemi hivyo kama CCM ni waoga, hawa sio waoga, angalia siku hizo mia moja wamepiga nyuzi 180 bila woga, sasa hili la Katiba ni nini linalowaogopesha?Hii kitu imelipasua taifa kwa muda wa siku kadhaa. Baadhi ya wananchi kupitia vyama vyao wanadai ni lazima wapate katiba mpya. Sababu ile ha mwaka 1977 imekuwa outdated. Na haikidhi mahitaji ya kutatua kero za wananchi.
Waliomadarakani wametoa sababu kuwa nao wanatambua kuwa katiba ya sasa imepwaya. Ila wanataka wawatumikie wananchi kwa kuwaletea maendeleo kwanza. Maendeleo yakipatikana ndio wataleta katiba mpya.
Wananchi wameshazungumza na wangependa kupata Katiba mpya, wananchi hawa wanawakilishwa mezani na Wabunge wao, wabunge, CCM! kuna mkongano hapa kama mashauri yao hayapewi kipaumble na Wabunge wao, mbadala wake uwe kuwachagua Wabunge wenye kujali Wananchi na matakwa yao ya Katiba, ya Kikatiba pamoja na kuilinda Katiba hiyo.Kidhaaa kimezuka baaada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa patachimbika kama watawala hataweka mezani mchakato wa kupata katiba mpya.
Sasa je kupata katiba mpya ni mpaka watawala watake au ni pale wananchi wanapohitaji?
Hivi kweli Kikwete angaliruhusu katiba mpya si angekuwa lupango na familia yake? Je, faida ya katiba mpya kwa watawala unaijua? Hii hapa katika picha na baada ya kuziona ndipo ufanye tafakuri ya swali lako.Hii kitu imelipasua taifa kwa muda wa siku kadhaa. Baadhi ya wananchi kupitia vyama vyao wanadai ni lazima wapate katiba mpya. Sababu ile ha mwaka 1977 imekuwa outdated. Na haikidhi mahitaji ya kutatua kero za wananchi...
Hakuna sheria wala Katiba haizuii shughuli za kisiasa za vyama isipokuwa CCM ndiyo wanawazuia Watanzania kufanya siasa.Katiba na sheria zipi hizi zinazowazuia watu kufanya shughuli za kisiasa nchini?
Huo ni ubovu mojawapo wa Katiba tuliyonayo,kuna kauli hazifai kuwa Sheria maana zinakiuka misingi ya Haki.Hizo nazo ziwe Sheria?Hayo ni mawazo ya kiimla na hayana Tina kwa dunia ya sasa.Stand for your Rights,wakeup!"kauli ya rais ni sheria" nchi zenye ustawi huwezi kuta huu ujinga upo Tanzania tu