Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ni ugojwa wa akili *****!Ni kweli mtakatifu Ritha wa Kashia anasikiliziwa zaidi na mungu au ni Placebo(matibabu ya kutuliza akili kwa kuidanganya) iliyozuka ghafla kwa Wakatoliki wengi wa bongo?
View attachment 3139512
Ni kweli kabisa mimi nimeshuhudiaNi kweli mtakatifu Ritha wa Kashia anasikiliziwa zaidi na mungu au ni Placebo(matibabu ya kutuliza akili kwa kuidanganya) iliyozuka ghafla kwa Wakatoliki wengi wa bongo?
View attachment 3139512
Kabisa kabisa
Sala yake ni nzuri na unajibiwa kwa wakatiUmeshuhudia nini?
Hembu tupe huo ushuhuda wako
Ni kweli ukiamini inakua kila kitu kinaanza na imaniKuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba
Amini Amini nakuambia ...Sala yake ni nzuri na unajibiwa kwa wakati
Ingekuwa simple hv pasingekuwa na tabu dunianiNi kweli ukiamini inakua kila kitu kinaanza na imani
Sio utani hio Novena usione wanaiongelea kiutani utaniDini ni ugojwa wa akili *****!
Amini sio mazungaombwe ni imaniIngekuwa simple hv pasingekuwa na tabu duniani
SubConsious Bain Affirmations WorkNi kweli ukiamini inakua kila kitu kinaanza na imani
Kuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba
Umejuaje?Shida hukuomba MAOMBI uli mlalamikia Mungu 🤣
🤣🤣 Mt Ritha wa kashia amekunyamazia?Kuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba