Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

Kuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba
Pole ndugu jaribu tena

Ukiwa unasali novena jitaid kuacha dhambi wakati unaendelea na mafungo yako

Siyo unasali novena huku unatizama makalio ya wanawake Facebook kama unasali kwa mtindo huo utasugua sana

Novena hazipend uchafu maana zinapitia kwa wakatifu ambao ni wasafi sana
 
Pole ndugu jaribu tena

Ukiwa unasali novena jitaid kuacha dhambi wakati unaendelea na mafungo yako

Siyo unasali novena huku unatizama makalio ya wanawake Facebook kama unasali kwa mtindo huo utasugua sana

Novena hazipend uchafu maana zinapitia kwa wakatifu ambao ni wasafi sana
Sipo perfect, Ila kipindi cha sala nilijitahidi kuachana na mambo hayo
 
Dini ni ugojwa wa akili *****!
Na hao wenye dini wanakushangaa na wewe ulivyo mgonjwa wa akili kupenda kutazama mpira,kulewa pombe bar na kufanya yale mengine yaliyo nje ya utaratibu wao wa kidini ambayo yote mvumbuzi wake hakutokana na ukoo wenu wala bara lako la Africa

Sikiza mzee,hii dunia hakuna siku tutafanana kwa kila kitu wewe utaelewa hiki yule ataelewa kile mimi nitaelewa vile alimradi tuna itikadi tofauti tuna uelewa tofauti tunawaza tofauti kila mmoja wetu so relax acha watu wafanye yale wanayoamini as longer as hawajaja kwako kukugongea mlango kukulazimisha ushiriki.
 
Sipo perfect, Ila kipindi cha sala nilijitahidi kuachana na mambo hayo
Usijal ndugu yangu rudia tena

Kuna mda mwingine huwa kunahitajika connection flan kujiunganisha na kujifungamanisha na hawa watakatifu

Ukishajiungamanisha nao utapenda mwenyewe wanakujaga mpaka mwingine kukutafuta wao wenyewe

Ni wapole sana hata mbingun watakupeleka wakakutembeze

Ila usiombe uamke utalaum sana kwanini wamekuludisha dunian, Kuna raha ya ajabu sana huko mbingun Kuna pilika nyingi sana Kuna aman sana

Mimi Kuna kipindi niliishi maisha ya kumpendeza BWANA YESU KRISTO hakika nilifaidi mtumish

Jaribu umwone BWANA alivyo mwema
 
Na hao wenye dini wanakushangaa na wewe ulivyo mgonjwa wa akili kupenda kutazama mpira,kulewa pombe bar na kufanya yale mengine yaliyo nje ya utaratibu wao wa kidini ambayo yote mvumbuzi wake hakutokana na ukoo wenu wala bara lako la Africa

Sikiza mzee,hii dunia hakuna siku tutafanana kwa kila kitu wewe utaelewa hiki yule ataelewa kile mimi nitaelewa vile alimradi tuna itikadi tofauti tuna uelewa tofauti tunawaza tofauti kila mmoja wetu so relax acha watu wafanye yale wanayoamini as longer as hawajaja kwako kukugongea mlango kukulazimisha ushiriki.
Roho ya mpinga KRISTO inakiendesha sana hiki kizazi

Na roho huyo ana Bomu lake moja linaitwa MZAHA kila akipiga anapukitisha vijana

Tuwaombee kwakweli
 
Huko ndo hua naomba kila siku, ila ngoja nisubiri c unajua tena wakati wa Mungu ndio wakati sahihi.
Saa 9 kuelekea 10 asubuhi achana na aliekwambia saa 9 Alasiri huo muda wa Huruma ya Mungu sali hio kukiwa kumetulia hapo mbingu zinakua zipo wazi shusha maombi yako yote kwa furaha fungua moyo wako ukimaliza rudi kwa bed ukiyazingatia haya few days to come utafurahishwa na mshangao
 
Pole ndugu jaribu tena

Ukiwa unasali novena jitaid kuacha dhambi wakati unaendelea na mafungo yako

Siyo unasali novena huku unatizama makalio ya wanawake Facebook kama unasali kwa mtindo huo utasugua sana

Novena hazipend uchafu maana zinapitia kwa wakatifu ambao ni wasafi sana
Hahaha Acheni haya mambo, Yesu mwenyewe alisema 'Alikuja kwa ajili ya wenye dhambi" sasa ikiwa Novena ni kwa wasafi, mbona unapoteza ladha ya kusali na Kuomba.

Tuna sali kwa kuamini sisi ni binadamu na siyo wakamilifu, tunatenda dhambi za kila aina, na kumbuka hakuna palipoandikwa au kusema kuangalia makalio facebook ni dhambi, ile ni burudani kama mwingine apendavyo beer, au kuangalia mpira. sasa walokole kila msicho kitaka nidhambi.

Tusihukumiane, tuache jukumu la hukumu libaki kwa Mungu, mimi na wewe hatujui ya rohoni/moyoni wala akilini, tunaona yaonekanayo kwa macho tu.
 
Mimi niliambiwa na mtu nikabisha kabla hata sijaanza kuisali usiku nikiwa nimelala nikamuona huyo mama kavaa manguo marefu nilishangaa sana

Asubuh nikaenda kununua vitabu viwili vya novena kimoja mtakatifu Rita kingine mtakatifu Philomena

Ile nafika tu nyumban nikatokewa na kasichana kadogo kazuri kananambia kenyewe Nika mtakatifu Philomena

Niliogopa vibaya


Huyo mtakatifu Philomena ni baraa utakuja kunikumbuka ukibeep ana piga mda huo huo tena hakawii dakika hiyo hiyo
Beira Boy, naomba kama una soft copy ya hivi vitabu unitumie tafadhali.
 
Back
Top Bottom