Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

Nikikumbuka enzi hizo nilivyokuwa mkatoliki konki kijana wa madhabauni Hadi nikanunua kitabu cha mawaridi ya sala ili kilasiku niwe nasali hizo novena natamani kujitandika makofi, akili ilipofunguka niligundua dini ni ubatili na utapeli mtupu sawa na Imani za kishirikina, wanaosali hizo novena hawana tofauti na wale mapoyoyo wavaa kobasi wanao amini kwenye majini.
NB: Hao jamaa wanaonaje wakiunganisha nguvu kwenye hizo novena wawaombe Hao watakatifu washushe gari za mwendo Kasi za kutosha? Taifa litawaweka kwenye vitabu sahihi vya historia, vinginevyo hawatakuwa na utofauti na wale wafuasi wa kinjekitile walio amini watapambana na mkoloni kwa kutamka Tu maji maji
 
Nikikumbuka enzi hizo nilivyokuwa mkatoliki konki kijana wa madhabauni Hadi nikanunua kitabu cha mawaridi ya sala ili kilasiku niwe nasali hizo novena natamani kujitandika makofi, akili ilipofunguka niligundua dini ni ubatili na utapeli mtupu sawa na Imani za kishirikina, wanaosali hizo novena hawana tofauti na wale mapoyoyo wavaa kobasi wanao amini kwenye majini.
NB: Hao jamaa wanaonaje wakiunganisha nguvu kwenye hizo novena wawaombe Hao watakatifu washushe gari za mwendo Kasi za kutisha? Taifa litawaweka kwenye vitabu sahihi vya historia, vinginevyo hawatakuwa na utofauti na wale wafuasi wa kinjekitile walio amini watapambana na mkoloni kwa kutamka Tu maji maji
Wewe unaandika porojo tuu, Mungu hafanyi kazi kwa namna hiyo na

usifananishe Kanisa Katoliki na wengine. Kama uliamua kuiacha Imani
tulia kwani ya dunia yalikuzidi. Hata maandiko yanasema Roho iiradhi
ila mwili ni dhaifu.
 
Ushuhuda ni mwingi , kama imani yako inaruhusu, fanya
20241031_073249.jpg
 
Wewe unaandika porojo tuu, Mungu hafanyi kazi kwa namna hiyo na

usifananishe Kanisa Katoliki na wengine. Kama uliamua kuiacha Imani
tulia kwani ya dunia yalikuzidi. Hata maandiko yanasema Roho iiradhi
ila mwili ni dhaifu.
Wewe ndio Una job description ya mungu?? Kama ya dunia hayajakuzidi kwa nini usiwe unasali hizo novena siku nzima bila kujishughulisha ili hao watakatifu wakushushie baraka ukiwa unatamka tu hizo porojo za novena??!!
 
Nilikua na kimeo cha Tsh 80m. Nilisali Ile Novena mpaka kitabu kikachakaa. Nilikua nasafiri nacho kitabu kila ninapokwenda. Matokeo sikupelekwa Polisi wala Mahakamani. Siwezi kufafanua zaidi ya hapo( I am sorry)
Tukiunganisha nguvu kwenye novena tunaweza fanya deni la taifa lifutike 😀😀😀, tatizo la afya ya akili ni kubwa sana
 
Kuombewa na Watakatifu ni imani ya Wakatoliki, kama vile kuombewa na wachungaji, mitume na manabii kwa Waprotestanti. Kila mtu abaki na imani yake, kila mtu aombewe na anayemuamini 😂😂😂
Uko sawa hata Mimi ni mkatoriki ila siwezi omba Kwa mtakatifu yoyote nikiwa na maombi yangu private
 
Kuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba
Salini muda wote sio hadi ufikwe na nyakati ngumu ndio usali na zikijibiwa uache, weka utaratibu wa kuwa ni sehemu ya maisha yako usingoje yakufike ndio ukimbilie kusali.

Lamomy Jirani yangu jumamosi jumuiya tunasali wapi?
 
Ni kweli ukiamini inakua kila kitu kinaanza na imani
Kosa mnalofanyaga ndo hili...mnakera... kubalini prayer doesn't work...Kuna watu ma atheists hawasali hata dakika moja ya mwaka na wana mafanikio...prayer ni bahati nasibu kama biko tu...so ikifeli kubalini ikifeli usimlaumu aliyeomba...yesu kasema Chochote muombacho mtapewa mkiamini mmekipata wewe mtu kakosa unaanza kumlaumu we upo akilini mwake au...unajuaje Hana Imani...

Acheni hizi
Nothing fails like prayer
 
naona watu mnatoa ushuda jinsi mizimu ya rita inavyojibu haraka, nawashauri mwaminini Yesu Kristo yeye ndiye mwenye haki miliki ya kuomba chochote kwa MUNGU.
Yohana 14:13-14 Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
Matendo 4:12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo,ila jina la YESU.
 
Mimi niliambiwa na mtu nikabisha kabla hata sijaanza kuisali usiku nikiwa nimelala nikamuona huyo mama kavaa manguo marefu nilishangaa sana

Asubuh nikaenda kununua vitabu viwili vya novena kimoja mtakatifu Rita kingine mtakatifu Philomena

Ile nafika tu nyumban nikatokewa na kasichana kadogo kazuri kananambia kenyewe Nika mtakatifu Philomena

Niliogopa vibaya


Huyo mtakatifu Philomena ni baraa utakuja kunikumbuka ukibeep ana piga mda huo huo tena hakawii dakika hiyo hiyo
Mnaabudu mizimu ya kizungu iliyoundwa na simenti
 
Back
Top Bottom