Nikikumbuka enzi hizo nilivyokuwa mkatoliki konki kijana wa madhabauni Hadi nikanunua kitabu cha mawaridi ya sala ili kilasiku niwe nasali hizo novena natamani kujitandika makofi, akili ilipofunguka niligundua dini ni ubatili na utapeli mtupu sawa na Imani za kishirikina, wanaosali hizo novena hawana tofauti na wale mapoyoyo wavaa kobasi wanao amini kwenye majini.
NB: Hao jamaa wanaonaje wakiunganisha nguvu kwenye hizo novena wawaombe Hao watakatifu washushe gari za mwendo Kasi za kutisha? Taifa litawaweka kwenye vitabu sahihi vya historia, vinginevyo hawatakuwa na utofauti na wale wafuasi wa kinjekitile walio amini watapambana na mkoloni kwa kutamka Tu maji maji