Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapaswa uwe mtakatifu Kwa mwenendo siyo uwe mtakatifu Kwa Cheo,yaani hata fungu limekushinda kuelewa?,Mbuzi wewe1Pet 1:15-16
bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.
N muda mrefu sasa nimeweka utaratibu wa kusali, japokuwa mara chache hua nazembea.Salini muda wote sio hadi ufikwe na nyakati ngumu ndio usali na zikijibiwa uache, weka utaratibu wa kuwa ni sehemu ya maisha yako usingoje yakufike ndio ukimbilie kusali.
Lamomy Jirani yangu jumamosi jumuiya tunasali wapi?
Mtu akishakuwa na Dhehebu tu huyo tayari ni .....chukizo la uhalibifu lililo simama patakatifu...Ni kweli mtakatifu Ritha wa Kashia anasikiliziwa zaidi na Mungu au ni Placebo(matibabu ya kutuliza akili kwa kuidanganya) iliyozuka ghafla kwa Wakatoliki wengi wa bongo?
View attachment 3139512View attachment 3139514
Unaweza ukawa sahihi mkuu na ndio maana nimeandika hapo na mimi kuwa wengi hawafahamu kuhusu maombi na kwasasa nimejikita sana kwenye hili zoezi la kutafit katika maandiko.Mnafahamu hata maana ya maombi? Wengi wanadhani maombi ni kumuomba Mungu akutane na haja zao. Maombi ni mawasiliano ya kiroho na Mungu na ni jambo endelevu. Ukijizoeza kuwasiliana na Mungu muda wote ndipo na sauti yake utaisikia na hutahitaji kumwambia mahitaji yako maana yanajibiwa tu automatic. Kama Wakristo tunachopaswa kuombea ni Agenda za Ufalme wa Mungu.
Dini ni Imani mkuu.Dini ni ugojwa wa akili *****!
Duh,pole mkuuNdio ndio mkuu
Kasome Tena! Nakusisitiza kasome Tena. Ule Uzi nilikuwa nipo katika process ya kuoa na nilikuwa nawiwa kuoa msabato. Ni kama muda wa miezi kaza nafatilia Hilo na kanisani naenda.Mkuu kuna Uzi ulileta ulisema wewe ni Msabato ulikua kwenye makambi. Leo umekua Mkatoliki?
Hiyo muvi inaoneshwa kwenye chaneli gani?Ni kweli mtakatifu Ritha wa Kashia anasikiliziwa zaidi na Mungu au ni Placebo(matibabu ya kutuliza akili kwa kuidanganya) iliyozuka ghafla kwa Wakatoliki wengi wa bongo?
View attachment 3139512View attachment 3139514
Yesu hakuweka conditions mapastor wako wamekuwekea conditions ili ikibuma wazuge...Yan mkuu umechanganya kila kitu humo.
Mara atheists, mara wengine hawaombi ila wanafanikiwa, mara Yesu kasema ombeni, mara nothing fails like prayers..🤣🤣.
Mkuu umevurugwa na nini? 😆.
Wewe msimamo wako ni nini??
Ila nakubaliana na wewe jambo moja, maombi kuna namna wengi tunashindwa kuyaelewa ndio maana wengine yasipojibu wanaanza kulaumu.
Na kutoelewa huku ni kunafanya maombi yaonekane kama bahati nasibu flani.
Nimekuja kugundua kuwa maombi yana conditions zake. Si kila maombi yana qualify kujibiwa. Kuna mambo yanapaswa kuambatana na maombi na kuna mambo yanapaswa kuambatana na muombaji.
Maombi ni kitu serious sana na kiko very complicated na wengi bahat mbaya tunakibeba jumla jumla hatu take time kuki study na kujua tunabaki kuomba omba kwa kubahatisha ndio maana yakijibiwa unakosa kujua why yamejibiwa ili next time uombe yajibiwe tena na tena na tena. Au yasipojibiwa ujue why hayajajibiwa.
Wengi hatufanyi hii kazi ya kuchunguza. Na mimi nimeanza kuifanya recently.
Kama inatupa Raha na amani acha tuugue tu, EE Mungu baba zidi katika maisha yangu ,maana kuwepo kwako katika maisha yangu hunipa kuugua kunakonipa afya,amani na utulivu wa roho, na wagonjwa wenzangu mseme aminaDini ni ugojwa wa akili *****!
Ni kweli mtakatifu Ritha wa Kashia anasikiliziwa zaidi na Mungu au ni Placebo(matibabu ya kutuliza akili kwa kuidanganya) iliyozuka ghafla kwa Wakatoliki wengi wa bongo?
View attachment 3139512View attachment 3139514
Kumwita mwenzio mbuzi ndio matendo ya utakatifu, au sio? Hoja huwa haijibiwi kwa kufanya personal attacksInapaswa uwe mtakatifu Kwa mwenendo siyo uwe mtakatifu Kwa Cheo,yaani hata fungu limekushinda kuelewa?,Mbuzi wewe
Wewe una tofauti gani na Mbuzi?,tena Mbuzi tu anakuzidi akili,hata Mbuzi hawezi kumuita Mbuzi mwenzie mtakatifu,ila wewe na akili zako unamuita mtu ambaye alikuwa akipiga au kupiga mikunyubenga mtakatifu,utakuwa mzima kichwani kweli?Kumwita mwenzio mbuzi ndio matendo ya utakatifu, au sio?
Ulisema Mtakatifu ni Mungu pekee. Kwa hiyo huo mwenendo mzuri uliotajwa kutakiwa ufanyike katika hicho kifungu, ni wa wanadamu au Mungu?Inapaswa uwe mtakatifu Kwa mwenendo siyo uwe mtakatifu Kwa Cheo,yaani hata fungu limekushinda kuelewa?