Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nuksi zako ulizonazo na Laana za ukubwa wa Mlima Kilimanjaro ulidhani kweli na Wewe ukiisali kabisa Utatoboa?Kuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba
Unaandika huu upuuzi na usikute unaenda kwa maprophetDini zilikuja Kwa watu waliovurugwa Tyr. Sasa ushindwe kuomba direct Kwa Mungu unaomba Kwa Rita ama Nyerere hii imekaaje asee? Mimi naomba Kwa Mungu direct. Kila mtu na Mungu wake na Imani yake
Wewe kama unaona mimi kuomba kwa mungu direct ni upuuziUnaandika huu upuuzi na usikute unaenda kwa maprophet
RITA ni Malaya kama Malaya wengine huko makanisani kwenu,MTAKATIFU ni MUNGU peke yake!1. Waebrania 13:24 - "Wasalimuni wote wanaowaongoza ninyi na watakatifu wote. Wale wa Italia wanawasalimu."
2. 1 Petro 1:15-16 - "Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa sababu imeandikwa, ‘Mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.’"
3. Warumi 16:15 - "Wasalimuni Fileologi na Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa, na watakatifu wote pamoja nao."
4. Waefeso 1:1 - "Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu."
5. Wafilipi 4:21-22 - "Wasalimuni watakatifu wote katika Kristo Yesu. Ndugu walio pamoja nami wanawasalimu. Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wao walio wa nyumbani mwa Kaisari."
6. Zaburi 16:3 - "Watakatifu walioko duniani, ndio walio bora, ndio ambao napendezwa nao."
Je hao walio itana watakatifu hawakuwa na dhambi ?
Mtukufu Rais Ali Hassan MwinyiEndeleeni kujidanganya ng'ombe nyie!
MAANA YA MTAKATIFU
1.Mtakatifu ni Mungu mwenyewe kwasababu Hana dhambi,hajawahi kutenda dhambi.
2.Haki,isiyo na mawaa mbele za Mungu,isiyotenda dhambi,kufikiri dhambi,isiyo na hila!
3.Kufungamanishwa au kutengwa mbali na dhambi!
Nyie mbugila mnapaswa mkae kwenye hizo sifa 2,hiyo ya kwanza Niya Mungu mwenyewe!
Kuitwa mtakatifu maana yake huyo aitwaye ni mtu mwema asiye na dhambi hata tone!
Sasa huyo Malaya wenu mnaye muita mtakatifu hakuwahi Kuwa na dhambi?
Yesu alisema mwenyewe mtu mwenye Imani ya mbegu ndogo duniani anaweza akasali mlima ukainuka ukajitupa baharini...wewe Leo hii mtu ana Imani unamuambia Hana Imani kisa sala zimebuma...Unaongea mitazamo yako binafsi zaid na kilr unachokiamin wewe, sasa hbaya mi siwez kukushawishi otherwise
Hapo anazungumzia Watakatifu walio hai, siyo wafu1. Waebrania 13:24 - "Wasalimuni wote wanaowaongoza ninyi na watakatifu wote. Wale wa Italia wanawasalimu."
2. 1 Petro 1:15-16 - "Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa sababu imeandikwa, ‘Mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.’"
3. Warumi 16:15 - "Wasalimuni Fileologi na Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa, na watakatifu wote pamoja nao."
4. Waefeso 1:1 - "Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu."
5. Wafilipi 4:21-22 - "Wasalimuni watakatifu wote katika Kristo Yesu. Ndugu walio pamoja nami wanawasalimu. Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wao walio wa nyumbani mwa Kaisari."
6. Zaburi 16:3 - "Watakatifu walioko duniani, ndio walio bora, ndio ambao napendezwa nao."
Hiyo imeshapita mzee,kwani baada ya wewe kuondoka kuna kilichobadilika?Nikikumbuka enzi hizo nilivyokuwa mkatoliki konki kijana wa madhabauni Hadi nikanunua kitabu cha mawaridi ya sala ili kilasiku niwe nasali hizo novena natamani kujitandika makofi, akili ilipofunguka niligundua dini ni ubatili na utapeli mtupu sawa na Imani za kishirikina, wanaosali hizo novena hawana tofauti na wale mapoyoyo wavaa kobasi wanao amini kwenye majini.
NB: Hao jamaa wanaonaje wakiunganisha nguvu kwenye hizo novena wawaombe Hao watakatifu washushe gari za mwendo Kasi za kutisha? Taifa litawaweka kwenye vitabu sahihi vya historia, vinginevyo hawatakuwa na utofauti na wale wafuasi wa kinjekitile walio amini watapambana na mkoloni kwa kutamka Tu maji maji
Unakijua kiswahili kweli?,Yaani unashindwa kutofautisha kati ya mtukufu na mtakatifu?Mtukufu Rais Ali Hassan Mwinyi
Laana ulinipa ww baada ya kukukula auKwa Nuksi zako ulizonazo na Laana za ukubwa wa Mlima Kilimanjaro ulidhani kweli na Wewe ukiisali kabisa Utatoboa?
Natumia Mac computer ya AppleHiyo simu unayo kama pambo?,kwanini usiingie google ukapata elimu kidogo?
Kama ndivyo inapaswa umuombe bikira mariamu aje akusaidie maana hata hiyo apple yenyewe unashindwa kunitumia!😁😁😁Natumia Mac computer ya Apple
Kukutumia tena? Soma BSc. kwanza...maana hata hiyo apple yenyewe unashindwa kunitumia!
Nenda kasome BsoMathematics kenge wewe!Kukutumia tena? Soma BSc. kwanza
Watu wengi sana wanalalamika tu mbele za Mungu, hawaombi. Ndo maana majibu hakuna, Wasome kitabu Cha Nabii habakuki. Aliliona shida ni mfumo kulalamika kukakoma Akaanza kuomba.Kampotezea! Badala ya kupeleka maombi, anapeleka malalamiko huku akili ikiwa kulee! Mbaga Jr.
Unamlalamikia Mungu! Hata umtukane hana cha kupoteza. We are always the losers if we don't do it properly.Watu wengi sana wanalalamika tu mbele za Mungu, hawaombi. Ndo maana majibu hakuna, Wasome kitabu Cha Nabii habakuki. Aliliona shida ni mfumo kulalamika kukakoma Akaanza kuomba.
hiyo ndo hoja ya msingi, hayo yote uliyoandika mwanzo ni porojo tupu na chuki dhidhi ya wanaomba kupitia watakatifu!Dini zilikuja Kwa watu waliovurugwa Tyr. Sasa ushindwe kuomba direct Kwa Mungu unaomba Kwa Rita ama Nyerere hii imekaaje asee? Mimi naomba Kwa Mungu direct. Kila mtu na Mungu wake na Imani yake