Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Shida yako wewe ulienda kumjaribu! Hakika huwezi kusikilizwa! Hizo nguvu zinaitwa super natural power ambazo kwa Wakristo Wakatoliki wanaamini ziko kwa Yesu na Watakatifu wake! Waislamu wanaamini ziko kwa Mtume Mohamed (S.A)Kuna mtu humu JF aliwahi kunisogezea hy sala kutokana na changamoto fulani za kikazi, nikafanya kama ilivyotakiwa kufanywa ila nimegonga mwamba