Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

Hahaha Acheni haya mambo, Yesu mwenyewe alisema 'Alikuja kwa ajili ya wenye dhambi" sasa ikiwa Novena ni kwa wasafi, mbona unapoteza ladha ya kusali na Kuomba.

Tuna sali kwa kuamini sisi ni binadamu na siyo wakamilifu, tunatenda dhambi za kila aina, na kumbuka hakuna palipoandikwa au kusema kuangalia makalio facebook ni dhambi, ile ni burudani kama mwingine apendavyo beer, au kuangalia mpira. sasa walokole kila msicho kitaka nidhambi.

Tusihukumiane, tuache jukumu la hukumu libaki kwa Mungu, mimi na wewe hatujui ya rohoni/moyoni wala akilini, tunaona yaonekanayo kwa macho tu.
Ni kweli YESU KRISTO alikuja kuwaita wenye dhambi huo ni ukweli kabisa

Lakin ukisha mpokea ni lazima uache dhambi

Kuwa na YESU KRISTO mtakatifu huku wewe ukiendelea na maovu machukizo ni kazi bure mtumish na mbigu haipo kwa ajili ya wadhambi
Amin hivyo
Asante
Hahaha Acheni haya mambo, Yesu mwenyewe alisema 'Alikuja kwa ajili ya wenye dhambi" sasa ikiwa Novena ni kwa wasafi, mbona unapoteza ladha ya kusali na Kuomba.

Tuna sali kwa kuamini sisi ni binadamu na siyo wakamilifu, tunatenda dhambi za kila aina, na kumbuka hakuna palipoandikwa au kusema kuangalia makalio facebook ni dhambi, ile ni burudani kama mwingine apendavyo beer, au kuangalia mpira. sasa walokole kila msicho kitaka nidhambi.

Tusihukumiane, tuache jukumu la hukumu libaki kwa Mungu, mimi na wewe hatujui ya rohoni/moyoni wala akilini, tunaona yaonekanayo kwa macho tu.
 
Kosa mnalofanyaga ndo hili...mnakera... kubalini prayer doesn't work...Kuna watu ma atheists hawasali hata dakika moja ya mwaka na wana mafanikio...prayer ni bahati nasibu kama biko tu...so ikifeli kubalini ikifeli usimlaumu aliyeomba...yesu kasema Chochote muombacho mtapewa mkiamini mmekipata wewe mtu kakosa unaanza kumlaumu we upo akilini mwake au...unajuaje Hana Imani...

Acheni hizi
Nothing fails like prayer
Yan mkuu umechanganya kila kitu humo.
Mara atheists, mara wengine hawaombi ila wanafanikiwa, mara Yesu kasema ombeni, mara nothing fails like prayers..🤣🤣.
Mkuu umevurugwa na nini? 😆.
Wewe msimamo wako ni nini??

Ila nakubaliana na wewe jambo moja, maombi kuna namna wengi tunashindwa kuyaelewa ndio maana wengine yasipojibu wanaanza kulaumu.
Na kutoelewa huku ni kunafanya maombi yaonekane kama bahati nasibu flani.
Nimekuja kugundua kuwa maombi yana conditions zake. Si kila maombi yana qualify kujibiwa. Kuna mambo yanapaswa kuambatana na maombi na kuna mambo yanapaswa kuambatana na muombaji.

Maombi ni kitu serious sana na kiko very complicated na wengi bahat mbaya tunakibeba jumla jumla hatu take time kuki study na kujua tunabaki kuomba omba kwa kubahatisha ndio maana yakijibiwa unakosa kujua why yamejibiwa ili next time uombe yajibiwe tena na tena na tena. Au yasipojibiwa ujue why hayajajibiwa.

Wengi hatufanyi hii kazi ya kuchunguza. Na mimi nimeanza kuifanya recently.
 
Siku mtakapoacha kuwaomba maiti wawasogezee maombi yenu ndio wakati huo mtakuwa mmeelewa ushirikina ni nini, unamuombaje mtu ameshasagika mifupa?! kwani hamsikiwi maombi yenu bila kupitia kwa maiti ambao hawatambui hata kama mnawaomba?.
 
Biblia imekataza sana kufuatilia wafu. Hizo ni ibada za minimum. Yesu yuko hai na tunapaswa kuomba kwa jina lake. Kuomba kwa majina mengine ni ushirikina.
Hata kumuomba yesu ni ushirikina, kwanini usiombe moja kwa moja unapitia kwa mtu kama wewe asiyejua hata kama umemuomba ili iweje? what is so special with yesu kwamba iwe imeruhusiwa kuomba kupitia kwake, ni utovu wa adabu kuamini kuwa hatusikiwi maombi yetu moja kwa moja.
 
Yan mkuu umechanganya kila kitu humo.
Mara atheists, mara wengine hawaombi ila wanafanikiwa, mara Yesu kasema ombeni, mara nothing fails like prayers..🤣🤣.
Mkuu umevurugwa na nini? 😆.
Wewe msimamo wako ni nini??

Ila nakubaliana na wewe jambo moja, maombi kuna namna wengi tunashindwa kuyaelewa ndio maana wengine yasipojibu wanaanza kulaumu.
Na kutoelewa huku ni kunafanya maombi yaonekane kama bahati nasibu flani.
Nimekuja kugundua kuwa maombi yana conditions zake. Si kila maombi yana qualify kujibiwa. Kuna mambo yanapaswa kuambatana na maombi na kuna mambo yanapaswa kuambatana na muombaji.

Maombi ni kitu serious sana na kiko very complicated na wengi bahat mbaya tunakibeba jumla jumla hatu take time kuki study na kujua tunabaki kuomba omba kwa kubahatisha ndio maana yakijibiwa unakosa kujua why yamejibiwa ili next time uombe yajibiwe tena na tena na tena. Au yasipojibiwa ujue why hayajajibiwa.

Wengi hatufanyi hii kazi ya kuchunguza. Na mimi nimeanza kuifanya recently.
Mnafahamu hata maana ya maombi? Wengi wanadhani maombi ni kumuomba Mungu akutane na haja zao. Maombi ni mawasiliano ya kiroho na Mungu na ni jambo endelevu. Ukijizoeza kuwasiliana na Mungu muda wote ndipo na sauti yake utaisikia na hutahitaji kumwambia mahitaji yako maana yanajibiwa tu automatic. Kama Wakristo tunachopaswa kuombea ni Agenda za Ufalme wa Mungu.
 
Uzuri wakatoliki hatunaga muda wa kubishana au kuutetea ukatoliki.
Unajipa makasiriko ya bure tu...
Si bora mtu anayewaza kuna watu wamejitahidi kwa ukamilifu kuliko mtu anayewaza kwenda kuoa mabikra 72...
Unawezaje Kuiita Maiti iliyoko Kaburini MTAKATIFU?,yaani uache kumuita MUNGU aliyeko hai MTAKATIFU wewe ukaiite maiti?,Utakuwa mzima kweli?
 
Back
Top Bottom