Sawa mwambaSawa tufanye itachukua miaka 15, au hata 20!
Lakini usikatae ndio investment inayowafaa zaidi watumishi.
Naona una'oversimplify' mambo.. Hizo tenda zinapatikana kirahisi hivyo?
Ukweli ni huu : kama ni muajiriwa inakuwia ngumu mno kufanya biashara zinazotaka muda na ambazo ni very risky. The safe investment na ya muda mrefu kwa waajiriwa inabaki kuwa real estate!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi wanatamani kufanya biashara wengine wana mitaji kabisa sababu unakuta yeye ni mtumishi hela sio swala la kuuliza ila when it comes to starting a business anajikuta anasita sita au kupatwa na uoga na jakamoyo!
Ijapokuwa kujiajiri na biashara ndio kitu ambacho kinaaminika kuleta utajiri katika maisha ya raia. Ni kipi kinakufanya au kilikufanya uogope kufungua biashara?
Kwahiyo avatar uliyoweka leo sina shaka watu wamehack account yako..Don't let fear and anxiety paralyse you,feel the fear and do it anyway
Ameniuma ghafla..!kipenz chetuKwahiyo avatar uliyoweka leo sina shaka watu wamehack account yako..
Wewe sio Wangari Maathai , mrudishie mwenyewe account yake la sivyo nakuripoti kwa mods
Wacha ujingaš¤£š¤£š¤£Ameniuma ghafla..!kipenz chetu
Nafanyaje sasa mkuu...hii amepiga kbs magoti..lolWacha ujingaš¤£š¤£š¤£
š¤Ameniuma ghafla..!kipenz chetu
Mzee alikuwa mnafiki sana. Sema watu wengine roho mbaya wameumbiwa, yaani ndivyo walivyo.Nafanyaje sasa mkuu...hii amepiga kbs magoti..lol
Ameenda ananuka damu...Mzee alikuwa mnafiki sana. Sema watu wengine roho mbaya wameumbiwa, yaani ndivyo walivyo.
Unaweza kuona mtu katili lakini mwenyewe anajiona yuko sawa tu.
Mimi naona bora hiyo nyumba uigeuze guest tu kidoogo upepo unasoma vizuriReal Estate sio biashara ya mtu anaelipwa laki 8 Gross mjomba! Ni biashara ya watu walio stabilize kiuchumi likely billionaires!
Tuelezane ukweli tu la sivyo utawalisha sana watoto matembele bila sababu! Sisi wavivu wa kufikiria jinsi ya kuextend vyanzo vya mapato ndio tunaokimbilia less risky businesses kama kujenga tunyumba twa kupanga kwa mikopo ya kuunga unga ambako payback period ni miaka ya mtoto kuzaliwa mpaka kumaliza form 4!
Unakopa 100M unajenga nyumba mbili za kukupa laki 6 kila mwezi! Mwenzako hela hio hio ananunulia mtambo wa kufanyia kazi za printing na kutengeneza mabango. Akichukua tender kadhaa za makampuni yanayojielewa ndani ya miez 6 hela imerudi! Wewe kila mwaka ndio upate 7.2M mpaka ifike 100M ni lini?
Unajenga nyumba kwa kuacha maskio wakati mwenzio anapandisha floor 10 hewani huku ananunua apartments zingine Mikocheni na hayumbi!
umewahi kupiga hesabu ya uwekezaji huo na return yake jumlisha na muda?Mtumishi ajenge nyumba za wapangaji ale kodi ndio biashara simple kwake
serious? pole sanaNaogopa hasara tu kama ikienda tofauti na matarajio
hivi fear inaweza ikakukwamisha kabisa?