Nini kinamkwamisha Harmonize kufikia malengo anayoyatamani?

Nini kinamkwamisha Harmonize kufikia malengo anayoyatamani?

Dogo, nimekwambia mimi siyo Domo anayekuchezea. Mimi nakula UDAGA.

Unaujua Udaga ?
Me binafsi Napenda mtu ambaye ni mpambanaji hii tabia yakutafuta huruma kwa watu ni kielelezo Cha udhaifu kama unampenda Sana harmo mshauri afocus kwenye kazi hata huyo Diamond karibia media zote hazipigi Ngoma zake lakini umemuona anatia huruma au anawasujudu hizo media?

Figisu ngapi kafanyiwa lakini umemuona anatia unyonge au ameshuka? Na still anafanya vizuri kuliko wasanii wote Ngoma zao zinazopigwa media karibia zote.Sifa kuu ya mwanaume yoyote ni kupambana na kujituma mambo mengine tuwaachie wanawake.
 
Me binafsi Napenda mtu ambaye ni mpambanaji hii tabia yakutafuta huruma kwa watu ni kielelezo Cha udhaifu kama unampenda Sana harmo mshauri afocus kwenye kazi hata huyo Diamond karibia media zote hazipigi Ngoma zake lakini umemuona anatia huruma au anawasujudu hizo media? Figisu ngapi kafanyiwa lakini umemuona anatia unyonge au ameshuka? Na still anafanya vizuri kuliko wasanii wote Ngoma zao zinazopigwa media karibia zote.Sifa kuu ya mwanaume yoyote ni kupambana na kujituma mambo mengine tuwaachie wanawake.
Na wewe jitahidi kupambana kuzungusha hilo UNO jeupe, utaachwa.
 
Kuna watu wanatumia degree zao vibaya sana
Vichwa vyao ni kama tissue dispenser
 
Na wewe jitahidi kupambana kuzungusha hilo UNO jeupe, utaachwa.
Me siwezi kukasirika kwa hayo maneno kwasababu hayabadilishi chochote kwenye maisha yangu ila nakushauri punguza chuki uliobeba kwenye moyo wako ili uwe na amani.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Me siwezi kukasirika kwa hayo maneno kwasababu hayabadilishi chochote kwenye maisha yangu ila nakushauri punguza chuki uliobeba kwenye moyo wako ili uwe na amani.
Narudia tena, mimi nakula Udaga, utashonwa nyuzi 500. Jiangalie.
 
Me binafsi Napenda mtu ambaye ni mpambanaji hii tabia yakutafuta huruma kwa watu ni kielelezo Cha udhaifu kama unampenda Sana harmo mshauri afocus kwenye kazi hata huyo Diamond karibia media zote hazipigi Ngoma zake lakini umemuona anatia huruma au anawasujudu hizo media? Figisu ngapi kafanyiwa lakini umemuona anatia unyonge au ameshuka? Na still anafanya vizuri kuliko wasanii wote Ngoma zao zinazopigwa media karibia zote.Sifa kuu ya mwanaume yoyote ni kupambana na kujituma mambo mengine tuwaachie wanawake.
Media zote?..acha uongo wewe Clouds,Efm,na EaRadio ndo media pekee bongo?..

Nchi hii ina vijiredio uchwara mikoani huko zaidi ya vitatu..na hivyo havipigi ngoma zake?
 
Media zote?..acha uongo wewe Clouds,Efm,na EaRadio ndo media pekee bongo?..

Nchi hii ina vijiredio uchwara mikoani huko zaidi ya vitatu..na hivyo havipigi ngoma zake?
Nafikiri ujaelewa content ya comment yangu umekurupuka kunijibu
 
Nafikiri ujaelewa content ya comment yangu umekurupuka kunijibu
Wewe si umesema karibia Media zote?..acha kuhamisha goli.

Ungekuwa specific..

Bado Diamond anachezwa kwenye hivo viredio vya mikoani ambavyo vina coverage kubwa huko mikoani kuliko hizi redio zinazotoka dsm.
 
Aggrey nasikia umetekelekeza familia upareni sasa hivi unapuyanga kukata mauno kwenye mashughuli Kinondoni[emoji1787]

Zee zima halafu sukule. Kesho tena kuna mtiti kati Domokaya na CDM utachagua tena CDM au utakaa upande wa muhogo wako ?

Aisee hii dunia[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila aggrey yule ni baraha khaaah
 
Unamfananisha mwanaume rijali anayesimamia majukumu yake na mwanamke anayefugwa ndani, siku anayemfuga akimfukuza ndio uje na tathimini zako,

Btw! Wewe umefanikiwa kwa lipi katika maisha yako? Isije kua unafatilia maisha ya mwanaume mwenzio ukiwa kibarazani kwa mume wa dada yako.
Inauma
 
Alipanda Zaid kimataifa baada ya kupigwa ban na hizo media na hao watu wa mitandaoni,ikatumika nguvu kubwa kumuinua na kweli akainuka.At the last akasaliti na matusi/dharau juu.
Akaenda kea wale wale walomkataa na kumsagia kunguni.
Hao watu ni wanamsupport Ili kumtumia kumuumiza adui yao Diamond na WCB,ndo Mana hawana ajenda ya kudumu.Wao silaha yoyote wanabeba kupambana na WCB.Ndo Mana leo wapo kwa Ali KIBA,kesho mara kea harmonize,kesho kutwa utakuta wapo kwa Darassa.Mradi waokoteze.

Bado naendelea kuamini Harmonize Fan base yake ilikua ni WCB tu na Wamakonde walio wengi sanaaa.
Kwa huko nje nafikiri mameneja alokua nao bado ni local sana na hawana connection,hata ukiangalia harmonize collabo bado anapiga na kina SKALES na Yemi Alade ambao wote aliwapata wakati yupo WCB.
JEMBE ni JEMBE hawezi kabisaaa,bora hata MR.PUAZI labda kidooogo alitoka naye sana nje kipindi cha WCB.

Support inayoendelea kwa Ali KIBA pia itamcost sanaa na ataijua Zaid base yake ilikua wapi.
Na kiba akikaza Zaid ndo ntoleee.

Music mgumu sana nje ya connection,unahitaji watu Zaid mtegemeane na si wakutegemee,Sasa pale Kondeboy ndo wamtegemee yeye Kila kitu aaah tabu sanaaa.

All in All atulize akili aachane na nyimbo za kiki kwa Sasa maana hazimjengi Zaid tu ya kuonekana kituko.
Washauri wake wamueleze ajijenge Zaid yeye na si Sasa wanavyojarbu kutafuta watu kwa ajili ya kuleta upinzani kuwatag baadhi ya wasanii;

Ibrah to Rayvany.
Angela to Zuchu.
Ili yeye Abaki ashindanishwe na Diamond.
Kazi anayo.
Sa hv anasubir diamond aachie Albam na yeye aachie vinyimbo uchwara, aisee style yake mshikaj ni ngumu Sana Ila yeye mwenyewe anajua jinsi anavyopata joto ya Jiwe 😀 wapambe wake hawajui anachokipitia soon kitasikika kilio cha mtu mzima ... Mond naye alivyo Fala anamtaja taja Kiba mpaka akina mange wehamia Kwa Kiba😀😀😀😀
 
Sa hv anasubir diamond aachie Albam na yeye aachie vinyimbo uchwara, aisee style yake mshikaj ni ngumu Sana Ila yeye mwenyewe anajua jinsi anavyopata joto ya Jiwe [emoji3] wapambe wake hawajui anachokipitia soon kitasikika kilio cha mtu mzima ... Mond naye alivyo Fala anamtaja taja Kiba mpaka akina mange wehamia Kwa Kiba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hao ndiyo ma-icon wa Muziki Bongo Mkuu. Tuone kawaida tu inapotokea Diamond akimtaja Ali kiba au Alikiba akimtaja Diamond. Ni kama ambavyo Messi10 kumtaja CR7 au CR7 kumtaja Messi10 maana wao ndiyo wafalme wa Mpira kwa Dunia ya Leo, so naona ni kawaida hiyo...

Hata wasipotajana wao kwa wao still mashabiki wao, waandishi wa habari na midea mbalimbali zitawaja kwa namna tofauti. Mfano: kwa mazuri wanayoyafanya kwenye kazi zao za muziki ikiwemo kulinganishwa nyimbo zao, life style, deals wanazoingia na makampuni mbalimbali, etc etc etc...
 
Sa hv anasubir diamond aachie Albam na yeye aachie vinyimbo uchwara, aisee style yake mshikaj ni ngumu Sana Ila yeye mwenyewe anajua jinsi anavyopata joto ya Jiwe [emoji3] wapambe wake hawajui anachokipitia soon kitasikika kilio cha mtu mzima ... Mond naye alivyo Fala anamtaja taja Kiba mpaka akina mange wehamia Kwa Kiba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sa hv anasubir diamond aachie Albam na yeye aachie vinyimbo uchwara, aisee style yake mshikaj ni ngumu Sana Ila yeye mwenyewe anajua jinsi anavyopata joto ya Jiwe 😀 wapambe wake hawajui anachokipitia soon kitasikika kilio cha mtu mzima ... Mond naye alivyo Fala anamtaja taja Kiba mpaka akina mange wehamia Kwa Kiba😀😀😀😀
🤣🤣🤣 Mondi akili kubwa sanaaa
 
Sa hv anasubir diamond aachie Albam na yeye aachie vinyimbo uchwara, aisee style yake mshikaj ni ngumu Sana Ila yeye mwenyewe anajua jinsi anavyopata joto ya Jiwe [emoji3] wapambe wake hawajui anachokipitia soon kitasikika kilio cha mtu mzima ... Mond naye alivyo Fala anamtaja taja Kiba mpaka akina mange wehamia Kwa Kiba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Uyo mange Ni shabiki wa kiba siku zote ukisema karudi alienda wapi ?
 
Wewe si umesema karibia Media zote?..acha kuhamisha goli.

Ungekuwa specific..

Bado Diamond anachezwa kwenye hivo viredio vya mikoani ambavyo vina coverage kubwa huko mikoani kuliko hizi redio zinazotoka dsm.
All in all bado alikuwa amefinywa na wanaojiita giants lakini against all the odds ndiyo akawa juu kuliko wote na bado ana maintain, dogo ni mpambanaji na mbunifu.
 
Sa hv anasubir diamond aachie Albam na yeye aachie vinyimbo uchwara, aisee style yake mshikaj ni ngumu Sana Ila yeye mwenyewe anajua jinsi anavyopata joto ya Jiwe 😀 wapambe wake hawajui anachokipitia soon kitasikika kilio cha mtu mzima ... Mond naye alivyo Fala anamtaja taja Kiba mpaka akina mange wehamia Kwa Kiba😀😀😀😀
Yani Harmo ana wakati mgumu sana
Unajua shida ni nn?

Fans wake ni wale wanaomchukia TU Diamond.
Ili kuwamantain ni lazima ahakikishe anaforce uadui na Naseeb.
Yani kwa post ,kwa trending, kwa kila kitu.
Ili awake hawa fans raha na waendelee kumuona mwanamuziki mzuri.

Kitu ambacho kinampoteza kimuziki mana kweli anafanikiwa kukua kama ADUI NAMBA MOJA WA DIAMOND PLATNUMZ, very true.

Ila kimuziki hakui, anazidi kupoteza hana muda wa kutafuta content zuri za muziki.mzuri, mashairi mazuri, video nzuri , mavazi mazuri, mwonekano mzuri wa kistar, lifestyle ya kimwanamuziki wa kimataifa.
Yeye amekomaa na kufeed ego za hawa tunaokutana nao humu wanaomwambia kuwa yeye ni BOOOOONGE LA MWANAMUZIKI, ili ti wasikie raha kuwa sifa hii hawajampa Diamond


Atakuja kuamua kubadilika when it is too late.
Anjela yule now anatengeneza platform yake peke yake, atasimama vizur kuliko Harmonize.
Tukiwa hapa!!

Na usifikir yeye hili halioni!
Analiona, analijua.
Ila sasa ndo atafanyaje, LAZIMA APROVE HIS FANS RIGHT!
by kuwaamini wanachomwambia hata kama yeye ndani yake anajua HAWAMAANISHI from his angle, bali Naseeb hating corner.
Ndo mana ya kuwa na watu kama Hbaba kama wasemaji wakuu wa muziki wake na kundi lake.

He is busted nakwambia, basi tu.
 
Back
Top Bottom