TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
Sasa Redio mchambawima zenji ina impact gani katika muziki wa bongo na wewe!!!,au Redio Mazingira Mara ina impact gani katika muziki wa bongo??..tunapoongelea media tunaongelea biggest Entertainment medias ambazo kwa namna moja au nyingine zina impact katika muziki wa Tanzania..usijitoe ufahamuMedia zote?..acha uongo wewe Clouds,Efm,na EaRadio ndo media pekee bongo?..
Nchi hii ina vijiredio uchwara mikoani huko zaidi ya vitatu..na hivyo havipigi ngoma zake?