Nini kinamkwamisha Harmonize kufikia malengo anayoyatamani?

Nini kinamkwamisha Harmonize kufikia malengo anayoyatamani?

Mlidhani Harmonize atakuwa kama Rich Mavoco...pumbavuuuu zenu.
Unajua kuna vitakata vinatamani kila jambo zuri na jema liwe lao.

Dunia haijaumbwa hivyo hata siku moja.
 
Unamfananisha mwanaume rijali anayesimamia majukumu yake na mwanamke anayefugwa ndani, siku anayemfuga akimfukuza ndio uje na tathimini zako,

Btw! Wewe umefanikiwa kwa lipi katika maisha yako? Isije kua unafatilia maisha ya mwanaume mwenzio ukiwa kibarazani kwa mume wa dada yako.
Umepiga pale pale penyewe, halafu panapouma sasa.
 
Nilikuwa kusini, ambako ndiyo nyumbani kwa Harmonize......nilichokutana nacho nilishangaa sana. yaani habari kubwa huko ni Diamond na alikiba, Harmonize yuko mbali kidogo kutoka kwa hao jamaa. kabla nilifikiri atakuwa na maelfu ya mashabiki kuwazidi wote kwakuwa anatoka huko.

Yote kwa yeto, anajitahidi sana maana kuendelea kuwepo tu mpaka muda huu ni ushindi tosha kwake....wafikiriwe tu waliochemka. Tatizo lake tu kuwa anapenda mno kujitutumua kwa huyo diamond kitu ambacho si chema sana kwani mwenzake yupo kitambo sana

Kwangu mimi, heshima pekee imuendee huyu alikiba.....jamaa ni wa tofauti sana aisee; yupo sana tu, utamsikiliza utamchukia baadae unarudi tena kumsikiliza mwenyewe. wengine wote watapita na watamuacha amesimama pale pale. tusubiri tu!
Hii uliyoipiga hapa chini kwenye hip hop tunaita punch line.umeua Sana very smart
 
Point ni moja tu! Hajui kuimba ma nyimbo zake hazina viwango vya kutizamwa Nigeria,Sudan,Ivory coast,Chad n.k hana colabo yoyote ya kumtambulisha kimataifa,hana tuzo yoyote ya kimataifa,hana ubunifu wowote zaidi ya kumuiga Diamond. sasa huyu anatofauti gani na Best Nasso??
 
Tatizo la Harmonize ni kupenda kujifanyisha na Diamond, halafu anapenda sn kutafuta huruma za mashabiki akipuyanga. Na hii inachangiwa na media zenye bifu na Diamond. Media nyingi zimeshaona Kiba amenyoosha mikono kwenye vita na Diamond na sasa amekuwa Mzee wa kuvizia, Ila konde ameonyesha dhahiri anahitaji bifu na Diamond lihamie kwake.

Kwangu Mimi Rayvan ndy anapaswa kuwa mshindani wake badala ya domo
Sio kwa Harmonize huyu wa leo.
Yule harmonize aliyeimba Aiyola na Bado ,sawa.

Sa hiz sielewi Harmonize anaimba vitu gani.
Trust me, hata yeye haelewi
Zile post zake za insta now mnamuona kabisa hata yeye hii hali inamstress.
Na hajajua afanye nn , na hatajua tu.

Basi wacha tu aendelee kuongeza nyama za tumbo.
 
Sio kwa Harmonize huyu wa leo.
Yule harmonize aliyeimba Aiyola na Bado ,sawa.

Sa hiz sielewi Harmonize anaimba vitu gani.
Trust me, hata yeye haelewi
Zile post zake za insta now mnamuona kabisa hata yeye hii hali inamstress.
Na hajajua afanye nn , na hatajua tu.

Basi wacha tu aendelee kuongeza nyama za tumbo.
Sahihi kabisa
 
Sahihi kabisa
Aggrey nasikia umetekelekeza familia upareni sasa hivi unapuyanga kukata mauno kwenye mashughuli Kinondoni🤣

Zee zima halafu sukule. Kesho tena kuna mtiti kati Domokaya na CDM utachagua tena CDM au utakaa upande wa muhogo wako ?

Aisee hii dunia🤣
 
Aggrey nasikia umetekelekeza familia upareni sasa hivi unapuyanga kukata mauno kwenye mashughuli Kinondoni🤣

Zee zima halafu sukule. Kesho tena kuna mtiti kati Domokaya na CDM utachagua tena CDM au utakaa upande wa muhogo wako ?

Aisee hii dunia🤣
Mbona unamshambulia mwenzio wakati wewe pia ni wale wale
 
Back
Top Bottom