Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Magufuli akasema kama mwanaume kweli utabaki Dar. Wanaume tumekomaa naye humu humu, wanawake na wanaume wa uongo wakakimbilia mikoani huko.

Sasa Rais mwenyewe kashadeclare wanaume watabaki wapi wewe na hotspot yako ya kijiji inayowashwa kwa dakika nne nne unataka kusema nini?
 
Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??

Uzi tayari.
Kwani shida ipo wapi? Hayo ni maamuzi ya mtu binafsi, kwani kuna sheria inayolazimisha kuwa ni lazima ukifikisha miaka 40 uwe na mtoto/watoto?
 
Magufuli akasema kama mwanaume kweli utabaki Dar. Wanaume tumekomaa naye humu humu, wanawake na wanaume wa uongo wakakimbilia mikoani huko.

Sasa Rais mwenyewe kashadeclare wanaume watabaki wapi wewe na hotspot yako ya kijiji inayowashwa kwa dakika nne nne unataka kusema nini?
Meko mwenyewe kahamia Dom, Dar imemshinda. Aje atamke kuwa naye si mwanaume, wenye jiji lao walimwambia umetukuta na utatuacha hapa hapa.
 
Back
Top Bottom