Nini kipo nyuma ya Mkataba wa miaka 100 ya ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World?

Nini kipo nyuma ya Mkataba wa miaka 100 ya ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World?

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata.

Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa kuna wanaoitwa Wadau wameitwa kwaajili ya kujadili kwa haraka halafu itaingizwa kwenye maelezo ya Serikali kuwa wadau walishiriki na walikubali mkataba huo.

Kwanini kuna siri sana kwenye kukubaliana na hii kampuni ya DP World? Mbona Mkuu wa nchi haongelei hili jambo? Bunge nalo linapokea maoni kwa haraka kuna nini hapa? wanakwepa nini?
1686115192968.png

1686078275135.png

1686078035784.png

1686076435966.png

1686076982521.png

1686077942493.png


1686076229089.png
1686076364710.png
1686076379803.png
1686076424168.png
1686078275135.png
1686077942493.png
1686078035784.png

Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
 

Attachments

Twendeni tukampigie Magoti Ndugai!


Hii nchi siyo kwamba watu wema hawapo, wapo ila kila wakijaribu kutuzindua tunaungana na majangili kumshambulia, mfano Ndugai.

Yani tz ni mapumbavu sana
 
Mkiambiwa CCM ni tatizo nambari wani Tanzania muwe mnatuelewa. Haiihitaji ubishi.

Siasa ni maisha yako/yenu. Take it very serious. Tukitaja hapa kashfa na ufisadi dhidi ya rasilimali zetu chini ya CCM, server ya JF inaweza zima!

Siasa sio ushabiki. Siasa inagusa uhai, uchumi, maisha na haki zako za msingi.
Mkiambiwa Katiba Mpya inahitajika sasa sikilizeni na muelewe; ni kwa faida yenu na vizazi vyenu na pia kwa ulinzi na unufaikakaji wa rasilimali zote Mwenyezi Mungu alizotupa.

Baada ya muda mtasahau (na wanawajua sana). Mtaletewa (wananchi) vitu vya kipuuzi, halafu mtadandia na kuachana na mambo muhimu kama hilo la bandari, kama mlivyofanya kwa ripoti ya CAG, mikataba ya madini, wizi wa mali za umma, mikataba mibovu, ufisadi Nishati, Ardhi, Ujenzi na mengine mengi.

Watawala wanalijua hilo, wanawajua maungo yenu.
 
Ndio sasa mtambue na kujua umuhimu wa kuwa na Katiba bora sio bora Katiba.
Na pia mlipe gharama za kushabikia wizi mkongwe wa kura unaofanywa na CCM tangu 1995.

CCM haiwajali, haiwaogopi na inadhani hamna cha kuifanya. Amkeni!

Chukueni hatua sasa
 
Moyo wangu unaniuma. Mtu mzima ninalia machozi. Ninaumia, ninaumia. Ninaona kuipoteza identity yangu muda si mrefu. Ngoja nilale
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata.

Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa kuna wanaoitwa Wadau wameitwa kwaajili ya kujadili kwa haraka halafu itaingizwa kwenye maelezo ya Serikali kuwa wadau walishiriki na walikubali mkataba huo.

Kwanini kuna siri sana kwenye kukubaliana na hii kampuni ya DP World? Mbona Mkuu wa nchi haongelei hili jambo? Bunge nalo linapokea maoni kwa haraka kuna nini hapa? wanakwepa nini?
View attachment 2648347
View attachment 2648339
View attachment 2648301
View attachment 2648312
View attachment 2648337

Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Watanzania ni waoga wa kutupwa haoa ikiitishwa Maandamani hakuna atakae toka nje, tuache ujinga wacha wauze, sioni shida
 
Ndio sasa mtambue na kujua umuhimu wa kuwa na Katiba bora sio bora Katiba.
Na pia mlipe gharama za kushabikia wizi mkongwe wa kura unaofanywa na CCM tangu 1995.

CCM haiwajali, haiwaogopi na inadhani hamna cha kuifanya. Amkeni!

Chukueni hatua sasa
Watanzania ni nyumbu wala hayaelewi umuhimu wa katiba mpya.

Yatabaki kulalamika milele.
 
Twendeni tukampigie Magoti Ndugai!


Hii nchi siyo kwamba watu wema hawapo, wapo ila kila wakijaribu kutuzindua tunaungana na majangili kumshambulia, mfano Ndugai.

Yani tz ni mapumbavu sana
Wanaojadili ni wehu wa ccm,waliopitishwa na mwehu mwenzao magufouli
kwenye uchaguzi wa 2020.hayatuhusu
 
Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata.

Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa kuna wanaoitwa Wadau wameitwa kwaajili ya kujadili kwa haraka halafu itaingizwa kwenye maelezo ya Serikali kuwa wadau walishiriki na walikubali mkataba huo.

Kwanini kuna siri sana kwenye kukubaliana na hii kampuni ya DP World? Mbona Mkuu wa nchi haongelei hili jambo? Bunge nalo linapokea maoni kwa haraka kuna nini hapa? wanakwepa nini?
View attachment 2648347
View attachment 2648339
View attachment 2648301
View attachment 2648312
View attachment 2648337

Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Mambo kama haya yanayosababisha sintofahamu kubwa hivi kwa nini mkurugenzi asitoe ufafanuzi kwa umma ili wananchi tuelewe then tu judge kutokana na maelezo yao.
Sio kimya kimya kama hivi kila mtu anasema lake.
Mm napenda maendelea sana na naamini ili tuendelee lazima tushirikiane na sekta binafsi tena sanasana ila lazima ushirikiano uwe ni win win na sio win lose
 
Moyo wangu unaniuma. Mtu mzima ninalia machozi. Ninaumia, ninaumia. Ninaona kuipoteza identity yangu muda si mrefu. Ngoja nilale
Aise! God of mercy save us oooh!
 
Back
Top Bottom