Nini kipo nyuma ya Mkataba wa miaka 100 ya ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World?

Nini kipo nyuma ya Mkataba wa miaka 100 ya ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World?

Hii taarifa inapotoshwa kwa makusudi, kinachobinafsishwa ni kitengo cha kontena gati namba 5 mpaka 7. Kwa miaka thelathini kilikuwa chini TiCTS. Na sio Bandari yote.

TICTS mkataba haujaendelezwandio hao DP wanaingia.
Ni sawa nakusema umpe mwanaume mwenzio mamlaka ya kumuhudumia mkeo na watoto wako afu wewe utatekeleza majukumu mengine.Kwann serikali isiendeleze Kisha ikapa faida maradufu.!?
 
Mkiambiwa CCM ni tatizo nambari wani Tanzania muwe mnatuelewa. Haiihitaji ubishi.

Siasa ni maisha yako/yenu. Take it very serious. Tukitaja hapa kashfa na ufisadi dhidi ya rasilimali zetu chini ya CCM, server ya JF inaweza zima!

Siasa sio ushabiki. Siasa inagusa uhai, uchumi, maisha na haki zako za msingi.
Mkiambiwa Katiba Mpya inahitajika sasa sikilizeni na muelewe; ni kwa faida yenu na vizazi vyenu na pia kwa ulinzi na unufaikakaji wa rasilimali zote Mwenyezi Mungu alizotupa.

Baada ya muda mtasahau (na wanawajua sana). Mtaletewa (wananchi) vitu vya kipuuzi, halafu mtadandia na kuachana na mambo muhimu kama hilo la bandari, kama mlivyofanya kwa ripoti ya CAG na mengine mengi.

Watawala wanalijua hilo, wanawajua maungo yenu.
CCM na wanasiasa wake ni malaya malaya
 
Hii taarifa inapotoshwa kwa makusudi, kinachobinafsishwa ni kitengo cha kontena gati namba 5 mpaka 7. Kwa miaka thelathini kilikuwa chini TiCTS. Na sio Bandari yote.

TICTS mkataba haujaendelezwandio hao DP wanaingia.
Weka wewe kidichopotoshwa full documents tuzione mboni mnazifichaficha mnataka kupiga Nini, unakumbuka bagamoyo ?
 
Jamani Naomba muangalie Vizuri huo Mkataba..!

Hawajaongeza Sifuri Kweli ?

Badala ya miaka 10, Wameweka 100? Maana UsiFanye Mchezo Miaka 100...ni Vizazi Vitatu hapo..! Wengi wetu Hapa itakuwa Mungu Kashatupenda Zaidi..!
 
Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata.

Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa kuna wanaoitwa Wadau wameitwa kwaajili ya kujadili kwa haraka halafu itaingizwa kwenye maelezo ya Serikali kuwa wadau walishiriki na walikubali mkataba huo.

Kwanini kuna siri sana kwenye kukubaliana na hii kampuni ya DP World? Mbona Mkuu wa nchi haongelei hili jambo? Bunge nalo linapokea maoni kwa haraka kuna nini hapa? wanakwepa nini?
View attachment 2648347
View attachment 2648339
View attachment 2648301
View attachment 2648312
View attachment 2648337

View attachment 2648294View attachment 2648297View attachment 2648299View attachment 2648300View attachment 2648347View attachment 2648337View attachment 2648339
Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Trilioni 12 ni fedha nyingi sana kwa mwaka, inakaribia nusu ya bajeti ya nchi, kumbe hii nchi kuna kikundi cha wezi wachache wanatuibia na wanajulikana ila utawafanya nini wana kinga.
 
Heshima yako Mkuu Maxence Melo

Naomba unisaidie nakala ya mkataba wa DP world na Serikali ya jamhuli ya muungano wa Tanzania. Maana mpaka muda huu siijapata bado na nashindwa kuchangia chochote kwenye mijadala hii inayoendelea humu ndani ya mtandao pendwa na Jamii forums na hata nje ya jamii forums.

Nimefanya jitihada za dhati kuomba kwa members wenzangu humu ikiwemo FaizaFoxy ila mpaka sasa bado sijapata mafanikio. Yote ni kwa sababu sitaki kuwa mlopo kwa kuchangia nilocho ambiwa au kusikia. I want information from the horse's mouth.

Natumai ombi langu litashughulikiwa

Wako mtiifu

Sa 7 mchana

UPDATEs: Nimepata mzigo huu hapa
.View attachment 2661040
 
Back
Top Bottom