Mbota Matari
Member
- Dec 25, 2018
- 29
- 24
Ni sawa nakusema umpe mwanaume mwenzio mamlaka ya kumuhudumia mkeo na watoto wako afu wewe utatekeleza majukumu mengine.Kwann serikali isiendeleze Kisha ikapa faida maradufu.!?Hii taarifa inapotoshwa kwa makusudi, kinachobinafsishwa ni kitengo cha kontena gati namba 5 mpaka 7. Kwa miaka thelathini kilikuwa chini TiCTS. Na sio Bandari yote.
TICTS mkataba haujaendelezwandio hao DP wanaingia.
CCM na wanasiasa wake ni malaya malayaMkiambiwa CCM ni tatizo nambari wani Tanzania muwe mnatuelewa. Haiihitaji ubishi.
Siasa ni maisha yako/yenu. Take it very serious. Tukitaja hapa kashfa na ufisadi dhidi ya rasilimali zetu chini ya CCM, server ya JF inaweza zima!
Siasa sio ushabiki. Siasa inagusa uhai, uchumi, maisha na haki zako za msingi.
Mkiambiwa Katiba Mpya inahitajika sasa sikilizeni na muelewe; ni kwa faida yenu na vizazi vyenu na pia kwa ulinzi na unufaikakaji wa rasilimali zote Mwenyezi Mungu alizotupa.
Baada ya muda mtasahau (na wanawajua sana). Mtaletewa (wananchi) vitu vya kipuuzi, halafu mtadandia na kuachana na mambo muhimu kama hilo la bandari, kama mlivyofanya kwa ripoti ya CAG na mengine mengi.
Watawala wanalijua hilo, wanawajua maungo yenu.
Weka wewe kidichopotoshwa full documents tuzione mboni mnazifichaficha mnataka kupiga Nini, unakumbuka bagamoyo ?Hii taarifa inapotoshwa kwa makusudi, kinachobinafsishwa ni kitengo cha kontena gati namba 5 mpaka 7. Kwa miaka thelathini kilikuwa chini TiCTS. Na sio Bandari yote.
TICTS mkataba haujaendelezwandio hao DP wanaingia.
Mama ameyapa bandari ma ndugu zake
Trilioni 12 ni fedha nyingi sana kwa mwaka, inakaribia nusu ya bajeti ya nchi, kumbe hii nchi kuna kikundi cha wezi wachache wanatuibia na wanajulikana ila utawafanya nini wana kinga.Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata.
Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa kuna wanaoitwa Wadau wameitwa kwaajili ya kujadili kwa haraka halafu itaingizwa kwenye maelezo ya Serikali kuwa wadau walishiriki na walikubali mkataba huo.
Kwanini kuna siri sana kwenye kukubaliana na hii kampuni ya DP World? Mbona Mkuu wa nchi haongelei hili jambo? Bunge nalo linapokea maoni kwa haraka kuna nini hapa? wanakwepa nini?
View attachment 2648347
View attachment 2648339
View attachment 2648301
View attachment 2648312
View attachment 2648337
View attachment 2648294View attachment 2648297View attachment 2648299View attachment 2648300View attachment 2648347View attachment 2648337View attachment 2648339
Pia soma: Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam
Barikiwa sana mkuu