Sasa kamba zangu ziko wapi?Acha kutufunga kamba na wewe bwana. Waislam huko china ni chini ya 1% na wakristo ni 2% ya population nzima. Ina mqana ukiwajumlisha wote ni around 3% ya population nzima. Hao 97% hawaabudu hizo dini. Na hata hao 3% wengi ni raia wa nchi nyingine wanaoishi China au wahamiaji. View attachment 1987087
Habari [emoji1480]
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Mistari michache ila migumu sana kuelewa, kwa maana kama dini haileti mema ktk jamii inabakia kuwa utamaduni tu..au sijElewaDini ni miiko iliyo katika mstari wa mema nje ya hapo ni utamaduni tu.
Kwani utamaduni ndo unaoleta mabaya tu?Mistari michache ila migumu sana kuelewa, kwa maana kama dini haileti mema ktk jamii inabakia kuwa utamaduni tu..au sijElewa
Bila shaka wewe sio mzimaUnatia huruma.
Kutokuwa na dini wewe ni bora ukae kimya halafu tungekujua vizuri kabisa ili ukifa tushuhudie unazikwaje???!!Yakikukuta mambo gani hayo?
Kwahiyo unamaanisha unaamini dini sababu ya uoga wa maisha?
Wewe utakufa kabla yangu hivyo usihangaike kunijua au lini nitakufa.Kutokuwa na dini wewe ni bora ukae kimya halafu tungekujua vizuri kabisa ili ukifa tushuhudie unazikwaje???!!
Wewe utakufa kabla yangu hivyo usihangaike kunijua au lini nitakufa.
Na kwani kuzikwa ni nini zaidi ya kuchimbiwa shimo na kufukiwa?
Na anayezikwa kidini kwa kuombewa anatofauti gani na aliyechimbiwa shimo na kufukiwa
Yetu macho tatizo hujulikani
Wewe kiboko. Zingejaa mende kwenye masinagogi.Dini hizi zingeanza kufundishwa ukubwan sijui ingekuaje
Acha kutukana watu HAKUNA mtu asiye na diniHabari 👋🏾
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
[emoji16][emoji38]Makanisani siyo sehemu tena ya kupata faraja. Ila pia watu wengi wamekuwa wanareason kila kitu tofauti na zamani watu walikuwa na reasoning power ndogo so wanaona inayoendelea kule ni miyeyusho miyeyusho tu.