ππHata anachofanya polepole kupokea matatizo ya watu kwenye simu channel ten ni utopolo mtupu jengeni mifumo imara itakayosimamia kwa haki sheria na taratibu za nchi kinyume na hapo ni sifa za kijinga mnataka kujipatia.
Vuta picha nchi itakuwaje bila yeyeAtachaguliwa Rais mwingine...
Ndiyo uvute picha Sasa kitatokea nini kipindi hicho?Una maana gani kusema akistaafu? Si mpaka astaafu sasa..
Exactly umeliweka vizuri sana. Kwa mtazamo wangu kipindi cha Awamu ya 5 ndiyo kina UPIGAJI wa hela ya umma kuliko Awamu yeyote. Ila kwenye Awamu ya 5 magazeti na vyombo vingine haviko huru kuandika kwa kuwa wanaogopa kufutwa au kuzushiwa kesi za kutakatisha fedha.Tutaendelea kama kawaida, maana kama rushwa bado ipo, kama ufisadi bado upo sema shida ni kwamba tofauti na kipindi cha JK bunge haliwezi kuyaongelea, Tanzania imejitoa kwenye uwazi hivyo mikataba siku hizi ni siri hatutakiwi kujua yaliyomo. Vyombo vya habari vimepigwa ganzi hakuna tena ile mijadara ya wazi na uandishi chokonozi.
Utashangaa mambo yatakayoibuka baada ya jamaa kumaliza awamu yake watu wakapata uwezo wa kuanza kuongea. Wale wale waliokuwa wanampamba kikwete aendelee leo hii ndiyo wanasema awamu iliyopita ilikuwa mbovu sana. Kila zama na mfalme wake.
So sad RIP MagufuliExactly umeliweka vizuri sana. Kwa mtazamo wangu kipindi cha Awamu ya 5 ndiyo kina UPIGAJI wa hela ya umma kuliko Awamu yeyote. Ila kwenye Awamu ya 5 magazeti na vyombo vingine haviko huru kuandika kwa kuwa wanaogopa kufutwa au kuzushiwa kesi za kutakatisha fedha.
Ni kweli MkuuAtazikwa kisha tutamsahau ila ukatili na roho mbaya yake vitabaki mioyoni mwetu
Hatimaye historia imejiandika sasa ... Unashukuru?Kihistoria haijawahi kutokea Rais wa Nchi akapatwa na umauti akiwa madarakani. But ikitokea tutashukuru [emoji24]
GarbageUshujaa wake kwangu ni kuweza kutikisa nchi wakati:
1)matajiri wapo,
2)wasomi wapo,
3)wanasiasa wabobezi wapo,
4)kundi la wajinga wajinga wengi tuu wapo,
Nchi imetulia kama maji ya mtungi, kelele mfyuuuuuuu.
Tunataka shujaa mwingine kama yeye lakini aangalia haki za binadamu na utawala bora.
Wenye tabia za Kina kikwete hatuwataki nchi hii tena.
Na moja ya vitu vinavyo fanya nimeheshimu mwenyekiti Mbowe. Ni discipline Chamani, akitamka hata vitu vyenye maswali mengi Chama kinatulia hakuna kelele. Sio mwenyekiti kasema , na wengine wanatoa kauli, na waliojaribu walifukuzwa Chadema bila msamaha. Ni mwendo wa kutii tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kipindi mpaka astaafu hakitokuja kutokeaNdiyo uvute picha Sasa kitatokea nini kipindi hicho?
Tuyasahau yote, hayo yamepangwa na MunguAtazikwa kisha tutamsahau ila ukatili na roho mbaya yake vitabaki mioyoni mwetu
Bila shaka ushaona kimetokea niniHicho kipindi mpaka astaafu hakitokuja kutokea
Unamaanisha jalala?Garbage
Neno la Mungu linasema shukuruni kwa kila jambo, yeye hutoa na kutwaa kwa wakati wake.Hatimaye historia imejiandika sasa ... Unashukuru?
Safi sanaNeno la Mungu linasema shukuruni kwa kila jambo, yeye hutoa na kutwaa kwa wakati wake.
Nisije kuambiwa nikufuru kama alivyoambiwa Ayubu wakati ule anapitia majaribu nikamkosea Bwana Mungu.
Muhimu kama Taifa, Tushukuru kwa kila Jambo [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Khaaaa!!!Asipotoka Mungu atamtoa kwa aibu!