Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Hata anachofanya polepole kupokea matatizo ya watu kwenye simu channel ten ni utopolo mtupu jengeni mifumo imara itakayosimamia kwa haki sheria na taratibu za nchi kinyume na hapo ni sifa za kijinga mnataka kujipatia.
👍👍
 
Tutaendelea kama kawaida, maana kama rushwa bado ipo, kama ufisadi bado upo sema shida ni kwamba tofauti na kipindi cha JK bunge haliwezi kuyaongelea, Tanzania imejitoa kwenye uwazi hivyo mikataba siku hizi ni siri hatutakiwi kujua yaliyomo. Vyombo vya habari vimepigwa ganzi hakuna tena ile mijadara ya wazi na uandishi chokonozi.

Utashangaa mambo yatakayoibuka baada ya jamaa kumaliza awamu yake watu wakapata uwezo wa kuanza kuongea. Wale wale waliokuwa wanampamba kikwete aendelee leo hii ndiyo wanasema awamu iliyopita ilikuwa mbovu sana. Kila zama na mfalme wake.
Exactly umeliweka vizuri sana. Kwa mtazamo wangu kipindi cha Awamu ya 5 ndiyo kina UPIGAJI wa hela ya umma kuliko Awamu yeyote. Ila kwenye Awamu ya 5 magazeti na vyombo vingine haviko huru kuandika kwa kuwa wanaogopa kufutwa au kuzushiwa kesi za kutakatisha fedha.
 
Exactly umeliweka vizuri sana. Kwa mtazamo wangu kipindi cha Awamu ya 5 ndiyo kina UPIGAJI wa hela ya umma kuliko Awamu yeyote. Ila kwenye Awamu ya 5 magazeti na vyombo vingine haviko huru kuandika kwa kuwa wanaogopa kufutwa au kuzushiwa kesi za kutakatisha fedha.
So sad RIP Magufuli
 
Ushujaa wake kwangu ni kuweza kutikisa nchi wakati:
1)matajiri wapo,
2)wasomi wapo,
3)wanasiasa wabobezi wapo,
4)kundi la wajinga wajinga wengi tuu wapo,

Nchi imetulia kama maji ya mtungi, kelele mfyuuuuuuu.

Tunataka shujaa mwingine kama yeye lakini aangalia haki za binadamu na utawala bora.
Wenye tabia za Kina kikwete hatuwataki nchi hii tena.

Na moja ya vitu vinavyo fanya nimeheshimu mwenyekiti Mbowe. Ni discipline Chamani, akitamka hata vitu vyenye maswali mengi Chama kinatulia hakuna kelele. Sio mwenyekiti kasema , na wengine wanatoa kauli, na waliojaribu walifukuzwa Chadema bila msamaha. Ni mwendo wa kutii tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Garbage
 
Hatimaye historia imejiandika sasa ... Unashukuru?
Neno la Mungu linasema shukuruni kwa kila jambo, yeye hutoa na kutwaa kwa wakati wake.

Nisije kuambiwa nikufuru kama alivyoambiwa Ayubu wakati ule anapitia majaribu nikamkosea Bwana Mungu.

Muhimu kama Taifa, Tushukuru kwa kila Jambo 🙏🙏🙏🙏🙏
 
Neno la Mungu linasema shukuruni kwa kila jambo, yeye hutoa na kutwaa kwa wakati wake.

Nisije kuambiwa nikufuru kama alivyoambiwa Ayubu wakati ule anapitia majaribu nikamkosea Bwana Mungu.

Muhimu kama Taifa, Tushukuru kwa kila Jambo [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Safi sana
 
Back
Top Bottom