Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Kafa na Mambo yamekuwa Mazuri zaidi
 
Kafa na Mambo yamekuwa Mazuri zaidi
Mambo yapi ??
Wakati wa Rais Magufuli sheria za nchi zilikuwa zinavunjwa na watu wachache ila tangu magufuli atutoke ni kama wimbi la wahalifu limefunguliwa kutoka kifungoni.


Mama Samia needs to work very very hard
 
Tutamzika chato porini kwake alafu tutanya tutasonga mbele bila dictotor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…