MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
YaaniMagufuli amestaafishwa kibabe sana
Uliona nini Mkuu?ila wale jamaa ni noma.
niliiona hiyo mkuu.
Uliona nini Mkuu?ila wale jamaa ni noma.
niliiona hiyo mkuu.
Kafa na Mambo yamekuwa Mazuri zaidiHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kijamii, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Mtu kama bashiru ally anatakiwa kutoa maelezo ya kina sana kuhusu kifo za bwana magufuliYaani
Mambo yapi ??Kafa na Mambo yamekuwa Mazuri zaidi
Sukuma Gang kufeni Mumfuate huyo Lucifer wenuMambo yapi ??
Wakati wa Rais Magufuli sheria za nchi zilikuwa zinavunjwa na watu wachache ila tangu magufuli atutoke ni kama wimbi la wahalifu limefunguliwa kutoka kifungoni.
Mama Samia needs to work very very hard
Atoe maelezo ya nn? Kama alihusika tumpe zawadiMtu kama bashiru ally anatakiwa kutoa maelezo ya kina sana kuhusu kifo za bwana magufuli
Zawadi ya kummaliza mzalendo ?Atoe maelezo ya nn? Kama alihusika tumpe zawadi
Mzalendo wa Chato siyo?Zawadi ya kummaliza mzalendo ?
Kwenda wapiNimeanza kuona mwelekeo wa nchi
Nchi Iko vizuri sana, namkubali sana mama yetu anafanya kazi nzuri japo anamakosa madogo madogo.Nimeanza kuona mwelekeo wa nchi
Mambo mchanganyo. Kuna dalili ya uzembe maofsini, upigaji na kwa upande mwingine, Mama Samia anaendeleza vizuri miradi ya kijamii.Kwenda wapi
Labda atoke kwa kifo
Haujambo??Duh! Aisee
Kuna watu maneno yao huumbaDuh! Aisee
Tutamzika chato porini kwake alafu tutanya tutasonga mbele bila dictotorHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kijamii, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?