Huwezi kujua maana media imebanwaSidhani Kama Kuna ufisadi sikuizi
Shikilia hapo hapo.Ndiyo
Sema jambo mkuu wangu 'tindo', maanake jahazi hili ni letu sote. Linapozama, sote tunakunywa maji.Mkuu, mi nadhani umeipaka bendera yetu rangi nzuri kuliko uhalisia wenyewe. Twende taratibu kidogo kidogo, pengine tutafika huko tunakokupenda sote hatua kwa hatua.
Uwanja wa chato kuota nyasi na mbuga ya buriji kuwa zoo ya mtu binafsiHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
sitaki kukulisha maneno ila lisemwalo lipoMbona tupo pamoja mkuu, au hukuelewa nilichoandika hapo?
Nashukuru wewe umepata muda mzuri wa kufafanua mkakati mzima. Huyu hana mpango wa kutoka hapo alipo kwa hiari yake.
Kwa bahati nzuri au mbaya mkuu, hili halinishtui kabisa kwani nalitarajia siku yoyote litokee.sitaki kukulisha maneno ila lisemwalo lipo
tuweke akiba ya maneno, na tujiandae kisaikolojia
View attachment 1690638
Afanye hivyo kwa walimu na vyuo na shule binafsi ili tujue kama yeye ni mzalendo kweliNchi itakuwa kwenye madeni makubwa
Nchi itakuwa kwenye umasikini.
Magufuli anaua uwekezaji, anaua ajira nchini kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi huyu mwekezaji hapa chini kosa lake ni nini?
View attachment 1690196
Jiandae kufa njaa lofa wewe kwani hakutakuwa na makalio ya kulambwa!Majizi chadema watashangilia sana
Kaka kapicha na maneno uliotoa unaonekana mnaendana halafu utakuwa chadema tena kutoka mbeyaNchi itakuwa kwenye madeni makubwa
Nchi itakuwa kwenye umasikini.
Magufuli anaua uwekezaji, anaua ajira nchini kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi huyu mwekezaji hapa chini kosa lake ni nini?
View attachment 1690196
Wananchi kupitia Katiba,kama hii katiba haiwezi kufanya hivyo kuna haja ya kuandika nyingine maana huo ndiyo msingi wa nchi.Sijui kama umeuliza hili swali ukitaka kupata jibu!
Wewe unadhani ni nani anayo madaraka ya kumwamulia. Huyo mtu anazo bunduki na mabomu na mapolisi?
Wanaisema CHADEMA ni Wachagga ndio waje kwetu MbeyaKaka kapicha na maneno uliotoa unaonekana mnaendana halafu utakuwa chadema tena kutoka mbeya
Kaka kapicha na maneno uliotoa unaonekana mnaendana halafu utakuwa chadema tena kutoka mbeya
Katiba ya nchi inayo majibuHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Majizi ya ccm ndiyo yatatwaa chama na kukifanya genge ya mafisadi kuliko sasa. Kwa sasa wanaoruhusiwa kuiba ni inner circe ya bwana mkubwa tu. Wengine marufuku. Zamani kila mwanaccm alikuwa mwizi. Wizi kwa sasa umekuwa restricted kwa watu fulani fulani tuMajizi chadema watashangilia sana
Mi ninachojua huyu jamaa harudi kamwe akimaliza muhula wake...Wewe ndiye huwajui kabisa ccm! Zanzibar waligwaya Kamando alipotaka kubadilisha katiba aendelee. Jahazi likaokolewa na baba wa taifa.
2015 ccm unayozungumzia ilizikwa rasmi na Twende kupiga kura asiyetaka na abaki. Ccm ambayo haijasema kilichomtokea Mangula hadi leo! Wako pamoja wote hawako wote pamoja! Dhana ya chukua chako mapema ni sasa. Ccm ya watu sio watu wa ccm. Inatumiwa tu kwa maslahi. Hakuna mfia ccm tena.
Cha kwanza ni kumtupa rupango DAB kwa kutumia vyeti fekiHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Tutaanza chato tunaondoa taa zote za barabarani,tutafunga maofisi yote, chato airport italimwa mbogambogaNchi itakuwa kwenye madeni makubwa
Nchi itakuwa kwenye umasikini.
Magufuli anaua uwekezaji, anaua ajira nchini kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi huyu mwekezaji hapa chini kosa lake ni nini?
View attachment 1690196
LOoo, mkuu Gellangi, umenimaliza nguvu kabisa na haya mawazo yako hapa.Wananchi kupitia Katiba,kama hii katiba haiwezi kufanya hivyo kuna haja ya kuandika nyingine maana huo ndiyo msingi wa nchi.
Majizi chadema watashangilia sana
Atagombana na mrithi wake kwa kuwa hana kifua cha kuvumilia vijembe vya Wapambe wa Rais ajae.
Cyprian Musiba wa Awamu ya 6 atakuwa anam provoke nae 'atajaaa'.
JK alitumia busara na subira ya hali ya juu sana kukwepa kuchonganishwa na Mrithi wake, sijui kama Yeye atakuwa na hicho kifua kama cha Jk