mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
Na mimi huwa najiuliza je, waliokuwa wanamsifia kama kina pole×2 wataendelea kumsifia? Na je kwakuwa watu wamefungwa midomo kwa kuogopa utawala wake je kama akitoka madarakani (sina uhakika) atakuwa na uvumilivu wa kupigwa spana ?[emoji4][emoji4]. NA JE WABUNGE WALIOPITA BILA KUPINGWA JE WATAPATA MTU WAKUWAPA FAVOUR AU LIFT YA KUPITA BILA KUPINGWA? haya ni maswali huwa najiuliza sana mara kwa mara.