Outerspace ni nje ya Dunia kwa hiyo kila kitu kilichoko Duniani kitarushwa kuelekea nje ya Dunia ambako sisi waswahili tunapaita mawinguni.Kutokea hapa ardhini tulipo huko outerspace ndio uelekeo upi mkuu?Yaani kama kuelekea mawinguni huko au?
Umeandika vyema sana. Na hii ndio kazi ya great thinkers. To think in imagination.Mkuu, wanasema think outside the box. Sio mbaya tukifikiri nje ya mipaka yetu, tunazipa akili zetu mazoezi ya kutokulemaa kwa kufikiria ndani ya mipaka. Hii ni hypothetical situation.
Nimecheki google, dunia inajizungusha anticlockwise. Maana yake inazunguka ikitokea kushoto kuelekea kulia. Jamaa yuko sahihi, tutavurumishwa kwenda space zingine maana hapa tunapoongea, dunia inajizungusha ktk mhimili wake na pia inalizunguka jua ingawa hatuhisi huo mzunguko. Hivyo tuko ktk movement. Ikisimama ghafla ile movement itaturusha mbali sana maana spi ya kuzunguka ni kubwa sana.Kutokea hapa ardhini tulipo huko outerspace ndio uelekeo upi mkuu?Yaani kama kuelekea mawinguni huko au?
Kwa hiyo mkuu unasemaje? Mleta uzi hakutakiwa kuleta huu uzi au?Sawa mkuu, ila huoni kwamba ukianza kufikiri hapo karibu ndio itakupa mwanga zaidi wa kufikiri nje ya box? Na huenda tunaweza kupata jibu la uhakika kabla hatujaanza kufikiri nje ya box.
Wewe umenielewa vizuri sana mkuu. Safi sana.Nimecheki google, dunia inajizungusha anticlockwise. Maana yake inazunguka ikitokea kushoto kuelekea kulia. Jamaa yuko sahihi, tutavurumishwa kwenda space zingine maana hapa tunapoongea, dunia inajizungusha ktk mhimili wake na pia inalizunguka jua ingawa hatuhisi huo mzunguko. Hivyo tuko ktk movement. Ikisimama ghafla ile movement itaturusha mbali sana maana spi ya kuzunguka ni kubwa sana.
Mfando mchukue sisimizi kisha muweke ktk mpira unaoelea hewani na unajizungusha. Tufanye mpira huu ndio dunia. Uwe unazunguka kwa spidi sana alafu ghafla unausimamisha. Sisimizi atatupwa huko, kama kuna mpira mwingine atatua huko.
Pia kwa scenario hii nafikiri na maji ya bahari, maziwa na mito zitatupwa mbali na dunia.
Uliponiambia tu pale kuwa tutavurumishwa sababu ya movement kusimamishwa ghafla, nikapata picha sahihi.Wewe umenielewa vizuri sana mkuu. Safi sana.
Hoja yangu ni kuwa tunatakiwa tupate uhakika wa kutokea tukio analolisema mleta mada halafu ndio tuanze kuzungumzia endapo likitokea nini kitafuata.Kwa hiyo mkuu unasemaje? Mleta uzi hakutakiwa kuleta huu uzi au?
assume Dunia imepunguaa mwendoo kidg kdgoSisi binadamu na vitu vilivyomo Duniani tutarushwa kwa kasi kubwa kutoka Duniani kuelekea kwenye outer space au hata kwenye other planets huko.
Ni sawa na ukawa kwenye gari lenye mwendokasi mkubwa then ghafla lifunge breki ilhali nyinyi hamna sehemu ya kujishikiza wala kushikilia na mmepanda kwenye nyuma ya pickup... Mtajikuta mmerushwa kutoka nyuma mlipokaa hadi nje ya gari mlilopanda.
Hili ni la kwanza.
Do I make sense?
Its just that simple mkuu. Haitaji akili kubwa saana kuelewa hizi phenomena.Uliponiambia tu pale kuwa tutavurumishwa sababu ya movement kusimamishwa ghafla, nikapata picha sahihi.
Ikipungua mwendo kidogo kidogo then we are safe... Ni sawa na gari kusimama haisimami ghafla inasimama kwa kukanyaga breki kwa kubalance kidogo kidogo ndio maana inasimama salama but ikipiga breki ya ghafla.. Ni hatari! Sote tutajikuta Mars au Venus.assume Dunia imepunguaa mwendoo kidg kdgo
Tukisubiri kupata uhakika wa kutokea ndio tujadili, hatutapata fursa ya kujadili sababu hili tukio kwa sasa ni la kufikirika. Jua halitazima in billion of years to come, ila endapo litazima, hicho ndicho kitakachotokea sababu umuhimu wa jua kwa ulimwengu unajulilana without any reasonable doubt.Hoja yangu ni kuwa tunatakiwa tupate uhakika wa kutokea tukio analolisema mleta mada halafu ndio tuanze kuzungumzia endapo likitokea nini kitafuta.
Baadhi yetu humu wanatoa hitimisho/wanafikiria kitakachofuata baada ya tukio kutokea ilihali hakuna uhakika wa kutokea.
Swali zuri. Hapa sijui tutadondokea wapi? Alafu tukumbuke dunia ni oval na sisi kama tanzania tupo katikati huku kwenye oval, sio kule juu.assume Dunia imepunguaa mwendoo kidg kdgo
Kwa nini ikweta tubaki salama? Sidhani. Kwa sasa tuko ikweta na ikweta ndio sehemu ambayo jua inamulika moja kwa moja ndio maana tuna joto sana ila kama jua likizima maana yake hata wa ikweta wataisoma namba maana jua halipigi tena.Ni kwamba hakutakuwa na maisha kwa baadhi ya sehem za dunia, zingine joto litazidi maradufu hadi viumbe wote watakufa, na ule upande ambao jua halijamulika kutakuwa na baridi mpaka watu wafe. Ila kuna zone za ikweta tutabakia salama.
Mnachokifikira ni kizuri sana maana kinapanua wigo wa ujuzi wa mambo mbalimbali kisayansi/kiunajimu.Tukisubiri kupata uhakika wa kutokea ndio tujadili, hatutapata fursa ya kujadili sababu hili tukio kwa sasa ni la kufikirika. Jua halitazima in billion of years to come, ila endapo litazima, hicho ndicho kitakachotokea sababu umuhimu wa jua kwa ulimwengu unajulilana without any reasonable doubt.
Uko sahihi. Hizi zote ni mada za brainstorming.Mnachokifikira ni kizuri sana maana kinapanua wigo wa ujuzi wa mambo mbalimbali kisayansi/kiunajimu.
Tunapaswa kujiuliza maswali kadhaa juu ya jambo kama hili la Dunia kujizungusha katika mhimili wake na kuzunguka jua.
Je, ni kipi kinasababisha Dunia ijizungushe kwenye mhimili wake? Tukipata hilo jibu ndio tutaweza kufikiri ambacho kinaweza kusababisha Dunia isijizungushe kwenye mhimili wake.
Je, ni kipi kinaweza kusababisha Dunia isizunguke Jua, yaani ibaki imetulia huku ikiendelea/kutoendelea kujizungusha kwenye mhimili wake? Tukipata hilo jibu tufikiri pia nini kimesababisha hilo kutokea.
Tukijua mambo kama hayo ndio tunaweza kufikiri pia namna ya uwezekano wa tukio alilolisema mleta mada na mwishowe tutahitimisha kitakachotokea baada ya hilo tukio
(1)hadi dunia iache kuzunguka Jua means gravitational pull kati ya dunia na jua haipoo...ko Dunia itavutwaa kuelekea kwenye kitu chengine...kikubwaa kilichopo karibuu...ko sio ajabuu tukaanza izunguka Jupiter ....that's it mzee baba...note:hamna namna ambayo gravitational pull kati ya dunia na jua itaondokaa.. refer Newton's law of universal gravitation...Habari zenu tena.
Kama kichwa cha uzi kisemavyo, nini kitatokea endapo dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na kulizunguka jua ghafla na kutulia tuli, nini kitatokea? Wale wajuao in advance, please share nasi!
More to come!
Sawa mkuu.Uko sahihi. Hizi zote ni mada za brainstorming.