Pre GE2025 Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha Upinzani kitakuwa na fedha za kampeni sawa na walizonazo CCM?

Pre GE2025 Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha Upinzani kitakuwa na fedha za kampeni sawa na walizonazo CCM?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijui kama wachambuzi wa siasa na chaguzi zetu wameangazia vya kutosha suala la FEDHA na RASILIMALI wanazokuwa nazo CCM wakati wa kampeni.

Vyama vya Upinzani siku zote vimekuwa vikifanya kampeni kwa kuunga-unga na kuzidiwa kwa kiwango kikubwa na CCM.

Sasa sijui mazingira hayo yanachangia kwa kiwango gani[ asilimia ngapi] kushindwa kwa vyama vya upinzani ktk mapambano yao dhidi ya CCM.

Hivyo basi nimewaza kuhusu uchaguzi wa 2025. Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha upinzani kitakuwa na kiwango sawa cha fedha walizonazo CCM? Je, mazingira hayo yatachangia kwa kiwango gani kupata matokeo mazuri zaidi ya tuliyoyazoea?
Hata wakiwa sawa kifedha bado wenzao watawazidi kwa kuwa wana Dola 😳🙄🙌
 
CCM has unlimited resources kuanzia wajinga wengi
Pesa
Vitisho etc

Ukiona ni mpinzani na kawashinda CCM jua watu wa eneo hilo wanajitambua
 
Sijui kama wachambuzi wa siasa na chaguzi zetu wameangazia vya kutosha suala la FEDHA na RASILIMALI wanazokuwa nazo CCM wakati wa kampeni.

Vyama vya Upinzani siku zote vimekuwa vikifanya kampeni kwa kuunga-unga na kuzidiwa kwa kiwango kikubwa na CCM.

Sasa sijui mazingira hayo yanachangia kwa kiwango gani[ asilimia ngapi] kushindwa kwa vyama vya upinzani ktk mapambano yao dhidi ya CCM.

Hivyo basi nimewaza kuhusu uchaguzi wa 2025. Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha upinzani kitakuwa na kiwango sawa cha fedha walizonazo CCM? Je, mazingira hayo yatachangia kwa kiwango gani kupata matokeo mazuri zaidi ya tuliyoyazoea?
Fedha haina maana kama mwenzako anamiliki vyombo vyote vya dola ikiwa ni pamoja na tume ya uchaguzi
 
Sijui kama wachambuzi wa siasa na chaguzi zetu wameangazia vya kutosha suala la FEDHA na RASILIMALI wanazokuwa nazo CCM wakati wa kampeni.

Vyama vya Upinzani siku zote vimekuwa vikifanya kampeni kwa kuunga-unga na kuzidiwa kwa kiwango kikubwa na CCM.

Sasa sijui mazingira hayo yanachangia kwa kiwango gani[ asilimia ngapi] kushindwa kwa vyama vya upinzani ktk mapambano yao dhidi ya CCM.

Hivyo basi nimewaza kuhusu uchaguzi wa 2025. Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha upinzani kitakuwa na kiwango sawa cha fedha walizonazo CCM? Je, mazingira hayo yatachangia kwa kiwango gani kupata matokeo mazuri zaidi ya tuliyoyazoea?
Hakuna chama kutakacho fikia ccm kwa sababu hawa wengine ni wachumia tumbo
 
Hakuna chama kutakacho fikia ccm kwa sababu hawa wengine ni wachumia tumbo

..Ccm kuna wachumia tumbo wengi zaidi kuliko vyama vya upinzani. Unapoambia " Ccm Baba lao " unaelewa nini?
 
Fedha haina maana kama mwenzako anamiliki vyombo vyote vya dola ikiwa ni pamoja na tume ya uchaguzi


..lakini ukiwa na fedha unaweza kuwafikia na kuwalainisha watu wengi hata walioko ktk vyombo vya dola.
 
..Ccm kuna wachumia tumbo wengi zaidi kuliko vyama vya upinzani. Unapoambia " Ccm Baba lao " unaelewa nini?
Vyama pinzani vimezidi maana pesa inapatikana huliwa kilaina maana hata wahasibu havina
 
Vyama pinzani vimezidi maana pesa inapatikana huliwa kilaina maana hata wahasibu havina

..ukiona wapinzani wanatafuna fedha za umma, basi ujue Ccm wanatafuna zaidi yao.

..ukiona wapinzani wanakuwa rushwa, basi ujue Ccm wanakula rushwa zaidi yao.
 
Back
Top Bottom