Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3016896

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Masoud ajikite zaidi katika mambo ya bajeti. Lipumba kaiua cuf wananchi wa kijijini wamefaidika na nini?
 
View attachment 3016896

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Mchoro bora wa kipanya ni ule IGP anaelezea Mo alivyopatikana.


Hapa anamaanisha huko CHADEMA shida iko kwa wanaoongoza chama wako na itikadi tofauti hawaelewani.
 
Toka Lissu arejee toka ubelgiji, chadema Utulivu umekwisha, imepoteza mwelekeo, kazi ya Lissu ni umwamba wa kishamba, vision ya mbali hakuna, chadema meng'emeng'e, imepasuka wamepoteana, "" LISSU ONDOKA CHADEMA IPONE ""
 
Basi limekatika mbele. Hao viongoz/ maderva washapasua gari.. lisuu yuko kivyake na mbowe kivyake. Na hao ndo madereva wa chama, kule nyuma kwq maamuma kama Erythrocyte kunaonekana hakuna shida. Hapo CDM ndo kwishinehi- nehi nehi
story kama hizi za zidi ya miaka 2 sasa zipo humu Jf. lkn siku ya siku utasikia kikao cha kamati kuu kimekaa na kimeamliza bila ya mgogoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…