Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Yaani unampangia jamaa?😎Masoud ajikite zaidi katika mambo ya bajeti. Lipumba kaiua cuf wananchi wa kijijini wamefaidika na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unampangia jamaa?😎Masoud ajikite zaidi katika mambo ya bajeti. Lipumba kaiua cuf wananchi wa kijijini wamefaidika na nini?
Hasara ya kuwaingiza wachungaji na mapadri katika vyama. Dkt SLAA vs Mchungaji msigwa. athari yake utaiona miaka 10 ijayo
Dogo tuko bize na bajeti
Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.
Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Hivi hapa Duniani kuna mtu mwenye akili akashabikia mbowe? Hoja inawekwa mezani inapanguliwa kwa hoja.Wewe ni team lissu au team dikteta mbowe?
Kuna ujinga mwingi pale chamani, tumbo wanaliweka mbele sana. Hakuna maslah ya chamade pale.. mm nasemaga mtu ambaye haoni uzur wa CCM bora afungue chamade chake, sio kuiamin CDM. Kwa sasa siasa za bongo zimekita mizizi na lile gepu limekuwa advanced. Wa huku wa huku wa kule wa kulestory kama hizi za zidi ya miaka 2 sasa zipo humu Jf. lkn siku ya siku utasikia kikao cha kamati kuu kimekaa na kimeamliza bila ya mgogoro.
naamisha mapadri na wachungaji katika siasa hawaaminiki, ndio maana hata harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika walikaa pembeni. masheikh ndio walioongoza. rejea dk slaaUnamaanisha mnataka viongozi wawe walutheri peke yake ni chama cha walutheri?
Hiyo ni bendera ya Russia 🇷🇺
Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.
Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
kwisha habari yao 😂️😂️😂️😂️😃️😃️
Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.
Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
92 Trillion, so reasonable, kumbe bado tunaweza kukopa zaidi na zaidi. / TUKUMBUKE UPO WAKATI HATUTAHITAJI KUKOPA TENA NA LITAKALOBAKIA LITAKUWA NI KULIPA TU.Dogo tuko bize na bajeti
Mikopo imefika tril92
Na kikotoaa ni 40%
Hayo mambo ya chadema ni madogo sana watayamaliza wenyewe
Chadema inapasuka
Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.
Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Toka Machadema yameanza kuropoka yamesaidia Nchi hii?Masoud ajikite zaidi katika mambo ya bajeti. Lipumba kaiua cuf wananchi wa kijijini wamefaidika na nini?
Mmlikopa mmefamya Nini?92 Trillion, so reasonable, kumbe bado tunaweza kukopa zaidi na zaidi. / TUKUMBUKE UPO WAKATI HATUTAHITAJI KUKOPA TENA NA LITAKALOBAKIA LITAKUWA NI KULIPA TU.