Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hasara ya kuwaingiza wachungaji na mapadri katika vyama. Dkt SLAA vs Mchungaji msigwa. athari yake utaiona miaka 10 ijayo
Unamaanisha mnataka viongozi wawe walutheri peke yake ni chama cha walutheri?
 

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Dogo tuko bize na bajeti
Mikopo imefika tril92
Na kikotoaa ni 40%

Hayo mambo ya chadema ni madogo sana watayamaliza wenyewe
 
story kama hizi za zidi ya miaka 2 sasa zipo humu Jf. lkn siku ya siku utasikia kikao cha kamati kuu kimekaa na kimeamliza bila ya mgogoro.
Kuna ujinga mwingi pale chamani, tumbo wanaliweka mbele sana. Hakuna maslah ya chamade pale.. mm nasemaga mtu ambaye haoni uzur wa CCM bora afungue chamade chake, sio kuiamin CDM. Kwa sasa siasa za bongo zimekita mizizi na lile gepu limekuwa advanced. Wa huku wa huku wa kule wa kule
 
images.png
Bendera ya ufaransa
 
Dogo tuko bize na bajeti
Mikopo imefika tril92
Na kikotoaa ni 40%

Hayo mambo ya chadema ni madogo sana watayamaliza wenyewe
92 Trillion, so reasonable, kumbe bado tunaweza kukopa zaidi na zaidi. / TUKUMBUKE UPO WAKATI HATUTAHITAJI KUKOPA TENA NA LITAKALOBAKIA LITAKUWA NI KULIPA TU.
 
Kwamba chadema kuna mgogoro hayo mambo utayasikia hukoo Lumumba na kwamba LISSU KAMTUKANA MBOWE hayo maneno utakuta kwa tlaatlaa, mwashambwa, samia2025 and Co. Ukiwauliza mbona hatujasikia hayo matamshi toka kwa mhusika au malalamiko ya mtendwa utasikia wakikwambia ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom