Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mie hata sio kamanda wala kada....mie Mtanzania tu raia wa kawaida.

Siasa niliacha kuzipenda 2015, yani kila nikikumbuka kile kisauti cha jaji lubuva akitangaza matokeo....mwili wote unapata ganzi😹 nilipata homa.

1: Anna Elisha Mghwira ACT amepata kura 876 sawa na asilimia 0.0008
2: Edward Ngoyai Lowasa CHADEMA amepata kura laki 2 sawa na asilimia 2.2
3: John Pombe Joseph Ccm....


Sina hamu na hiki kisauti 🤣🤣
Kwahiyo bora alivyokufa tu eti? 🫢😂😂
 
Mmlikopa mmefamya Nini?
Au kwenda kutalii Korea na wasanii
Dirisha wizara ya fedha lipo wazi kabisa, kwa maswali yako yote juu ya matumizi ya kila senti inayokopwa, watanzania wana mgando kwenye akili zao, kila infos inapatikana kwa wepesi kabisa, endapo unataka kufahamu kama mwananchi na mtanzania, dogo mliberali
N. B, SEREKALI IKOPE NA IJENGE MIUNDOMBINU IMARA MFANO, BARABARA ZA ZEGE ZITAKAOZOWEZA KUDUMU KWA MIAKA 100-150 BILA KUHITAJI REPEAR ZA KILA WAKATI, ILI WAKATI TUNAPOKOPA TUPATE MUDA WA KULIPA BILA KUJISHUGHULISHA NA KUZIRIPEA KILA MSIMU WA MVUA!
CC-BASH
CC-KAMATI YA BUNGE MIUNDOMBINU.
CC-WIZARA YA FEDHA.
 
Toka maccm yawe madarakani yamesaidia nini kupunguza umasikini wa nchi licha ya rasilimali lukuki tulizo nazo?
Mbona umaskini umepungua Hadi 26%?

Mbona life expectancy imeongezeka Hadi 67%?

Mbona vifo vya Watoto Kwa Kila vizazi hai 1,000.vimepungua?

Mbona njaa imekwisha Nchini?

Mbona kiwango Cha Elimu yaani literacy imeongezeka?

Kiufupi CCM imefanya kazi kubwa ndio maana Nchi imetoka kuwa LDC na Sasa Iko uchumi wa kati.

Uliza Kingine.
 
Hivi kwa mfano CCM ukiwaambia wapige kura kati ya Lissu na Mbowe nani awe m/kiti kura nyingi zitaenda kwa Mbowe, sababu ana siasa za maridhiano. Lissu ni usipotoa kwa heri utatoa Kwa Shari.
20240410_001348.jpg
 

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
AYAAAAAA CHADEMA KWISHA KAZI YAO YAAAANI WAMEGAWANYIKA HIVI??? DUUU HATUNMA UPINZANI KABISA HAPA TZ WAPI ERYTHROCYTE NJOO HUKU UONE KIPANYA ANA WAZO
 
Basi limekatika mbele. Hao viongoz/ maderva washapasua gari.. lisuu yuko kivyake na mbowe kivyake. Na hao ndo madereva wa chama, kule nyuma kwq maamuma kama Erythrocyte kunaonekana hakuna shida. Hapo CDM ndo kwishinehi- nehi nehi
ERYTHROCYTE ATAKUJA KUBISHA HAPA
 

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
umetambuaje kwamba ni mchoro bora kama hujaelewa anamaanisha nini....

ficha kaupumbavu kako ka kuzaliwa
 
Back
Top Bottom