Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Pre GE2025 Nini maana ya huu mchoro wa Kipanya wenye bendera ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Kwamba chama kilikuwa kimefungwa hivyo wanahitaji hewa safi toka nje. Soma uzuri wa mfumo usioruhusu nguvu toka nje na uzuri wa mfumo unaokaribisha nguvu toka nje.

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Inatuonyesha kwamba imefika wakati Chama kinatakiwa kikubali nguvu toka nje ya chama, na sio kuwa na mfumo wa kupata nguvu toka ndani ya chama Tu.
 

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Anaashiria kwamba kutatokea Chadema Asili na Chadema maslahi. !

Kama vile itakavyotokea kwa CCM pia 😳
Just a

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
 
Unakuwaje mchoro bora ikiwa haujui maana yake?. Nilitarajia ufafanue wewe kila kona ya ubora wake. Sasa imekuwa ndivyo sivyo.
 

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
Mchoro huo unaashiria soon kutatokea Chadema Asili na Chadema maslahi 🙄

Then sooner or later kutatokea CCM Asili na CCM maslahi 😳👍

Just a matter of time !
Muda ni Mwalimu mzuri 👁🤠
 
Suppose Akili kubwa ya watu wa Chadema imeset a trap 🪤 kwa CCM ili waingie kichwa kichwa wakidhani jamaa watagombana kumbe hiyo ni janja janja tu 🙄🙄🙄🙄😳. ???

Nimeanza na neno Suppose !!
So you can take it or leave it.
It’s none of my business 🛫🍾📡🧠
 
Mie hata sio kamanda wala kada....mie Mtanzania tu raia wa kawaida.

Siasa niliacha kuzipenda 2015, yani kila nikikumbuka kile kisauti cha jaji lubuva akitangaza matokeo....mwili wote unapata ganzi😹 nilipata homa.

1: Anna Elisha Mghwira ACT amepata kura 876 sawa na asilimia 0.0008
2: Edward Ngoyai Lowasa CHADEMA amepata kura laki 2 sawa na asilimia 2.2
3: John Pombe Joseph Ccm....


Sina hamu na hiki kisauti 🤣🤣
Umenikumbusha mbali sanaa! Ata mm sionagi umhimu wa kupiga kura! Nitaanza kupiga kura nikiona tume huru ya uchaguzi umewekwa. Bila hivyo sionagi sababu!
 
Bora mbowe angempoteza Lissu kama alivyopanga kwenye ile ishu ya risasi Dodoma
 
Tamaa za Mbowe..
Mwenyekiti Wa Manisha.
 
Mitikisiko nijambo Bora ili kujua ubora wa taasisi!! Hivi basi wakishuka abiria wenyemakelele ndiyo kusema basi limepasuka??
...hata Lissu atoke na watu milioni ngapi chama hakijapasuka ni wameshuka tuu wanafiki tatizo waandishi wetu wavivu kufikiri.
Kwani Lowassa alipotoka Ccm chama kilipasuka?? Vipi alipotoka Tena chadema na kurudi Ccm CHADEMA ilipasuka??
LISSU hana robo ya ushawishi kama alokuwanao Lowassa so wajinga waache kutapatapa
 
Chama kikubwa kama Chadema kwenye kukua na kuimarika kwake lazima kipitie misuko suko.
Ni ujinga kudhani Chadema hakiwezi kupitia joto la ndani kwa ndani.
Mbowe achukue maamuzi magumu kuinusuru Chadema
 
Chama kikubwa kama Chadema kwenye kukua na kuimarika kwake lazima kipitie misuko suko.
Ni ujinga kudhani Chadema hakiwezi kupitia joto la ndani kwa ndani.
Mbowe achukue maamuzi magumu kuinusuru Chadema
Unamaanisha kuramba asali ni misukosuko?
 

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake.

Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?

IMG_20240614_201633.jpg
Ni mtazamo tu mchora katuni kabla ya huo kulikuwepo na huu pia. 🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom