EEM M
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 459
- 937
Kijana wa ovyo kabisa huyu 😂😂Imesababisha nisilipie king'amuzi kuangalia taifa cup Sasa naangalia dadaz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana wa ovyo kabisa huyu 😂😂Imesababisha nisilipie king'amuzi kuangalia taifa cup Sasa naangalia dadaz
Wao watajua wenyewe ila naona wengi tunaongoja ni Crdb sijajua shida ni Nini!?Nasikia
Crdb hua inachelewaga alwaysWao watajua wenyewe ila naona wengi tunaongoja ni Crdb sijajua shida ni Nini!?
Adai kwani yeye hajui kuwa mshahara umecheleweshwa? Maana taarifa za mshahara wanazo wasiowatumishi sikuzote,umbea umewaacha🙄Mi Kuna mtu ananidai bila shaka anajua situation maana haongei
Jana ilibidi nimpange kabisa kuwa ni hadi waweke
Nimehama Niko star tv DW wanakipindi kizuriKijana wa ovyo kabisa huyu 😂😂
Safari hii wamezidi huwa Kuna delay ya masaa ila Leo naona inachungulia siku nzimaCrdb hua inachelewaga always
Sipendi kabisa kuonana na afisa utumishi maana hawana majibu maombi yangu ni by 6 mchana wawekeAdai kwani yeye hajui kuwa mshahara umecheleweshwa? Maana taarifa za mshahara wanazo wasiowatumishi sikuzote,umbea umewaacha🙄
Usenegal sana wanataka gen y tuamke hawatatuweza😂
Umefungua biashara Yako au umefunga kama wenzako!?Kila dakika uzi
Njaa mbaya sana
Hope mda si mrefu wanatupia
HayakuhusuUmefungua biashara Yako au umefunga kama wenzako!?
Pole mdauHayakuhusu