Nini madhara ya kuoa binti kutoka familia fukara?

Nini madhara ya kuoa binti kutoka familia fukara?

Asante kwa maoni yako! Lakini kiufupi binti wa asili kama hiyo kiwango chake cha ufahamu automatically ni cha chini. Kuna pia changamoto ya kutojua mechanism ya kanuni ya maisha kutakakopelekea kuvutwa upande wa kwao na huyo binti kujaribu kuwasaidia kwa gharama za kipato cha familia ya mme wake! Mwisho wa siku nao wataburuzwa kwenye umasikini!
Unasema binti wa asili hiyo automatically kiwango chake cha ufahamu kipo chini kivipi?wewe kiwango cha ufahamu cha mtu unakipima vipi labda?What if umeoa mwanamke ambaye kwao ni tajiri halafu akawa ni Slayqueen anawaza kubadilisha viwanja tu vya starehe itakusaidia nini?
Kwenye kuhusu familia yao kuegemea upande wako sioni tatizo as long as wewe umetokea kwenye familia yenye pesa au wewe mwenyewe binafsi uko vizuri.
Chukulia kwa mfano wewe kwa mwezi kipato chako ni 1500000Tsh.
Ukampa mkeo laki 3 hii ni ya matumizi yake yote ya nyumbani pamoja na vipodozi vyake vyote humohumo hiyo kwake ni nyingi sana atafurahi na kuipangilia vizuri sana baada ya hapo muongeze laki 2 hii unamwambia ni ya dharura sijui bibi anaumwa sijui mjomba kameza shoka sijui mama mkwe kaanguka chooni ukweni gunia la sembe/maharage limeisha hiyo laki 2 itasolve hayo wewe wasikusumbue tena.
Baada ya hapo wewe utakuwa umebakiwa na 1000000Tsh kwa ajili ya miradi yako.
Sasa njoo upande wa mke aliyetokea familia ya kitajiri mpe laki 3 ya matumizi ya nyumbani baada ya wiki 2 imeisha anataka nyingine,wakati unajisachi umuongezee hela ya misosi hujakaa sawa anataka Iphone 15 pro au 14 promax wakati unajikongoja uanze kumake na kusave umnunulie iphone 15 pro anakwambia wikiendi hii unitoe outing twende samaki samaki halafu tukimalize tuingie Mlimani city tufanye shopping utapasuka kichwa😄😄😄😄
Ndio maana kuna watu unakutana nao mtu anafanya kazi nzuri kwenye vitengo vizuri na mshahara mzuri let say mtu anapokea mshahara wa 5m miaka hata 10 na hana nyumba wala kiwanja usishangae sababu ni mambo kama haya.
 
mtu unakuta babu mzaa babu yake alikuwa masikini hoehae hadi anakufa hajamiliki hata ng'ombe wala mbwa wa kwake mwenyewe. Babu mzaa babaake ikawa ivoivo. Babaake nae akapita mulemule. Leo ww ndo unajifanya mkombozi wa kubeba msalaba kama jizazi. c'mon! utakufa mdomo wazi. apo kuna laana ya vizazi inatembea kaa mbali sana. moto mbaya uo.
Vijana wa Gen Z mnachekesha sana.
Eti babu yake hajawahi kumiliki hata mbwa😄😄😄😄😄
 
Yaani kumudu Milo mitatu na hako Kavitz ka mkopo tayar unaona wezio mafukara🤒Africa bhana
Bongo nyoso.
Mtu anavyoita watu mafukara unaweza ukadhani labda angalau anamiliki kiwanda na kaajiri watu.
Kumbe kisa babaake anamiliki Raum moja na yeye labda kamaliza chuo kaunganishiwa kikazi mahali akanunua vitz au passo tayari anajiona tajiri mwenyewe.
Wakati wakina Bakhresa na Mo dewji hatujawahi kuwasikia wakiwaita watu maskini au mafukara😄😄😄😄😄
 
mtu unakuta babu mzaa babu yake alikuwa masikini hoehae hadi anakufa hajamiliki hata ng'ombe wala mbwa wa kwake mwenyewe. Babu mzaa babaake ikawa ivoivo. Babaake nae akapita mulemule. Leo ww ndo unajifanya mkombozi wa kubeba msalaba kama jizazi. c'mon! utakufa mdomo wazi. apo kuna laana ya vizazi inatembea kaa mbali sana. moto mbaya uo.
Nacheka kama mazuri
 
Bahati nzuri mwanaume ni source ya nguvu za utajiri kwa kaya zilizonyingi! Mwanaune ushawishi wa historia ya umasikini au utajiri wa kwenu inaisha ukifika 30 wewe ndo unakuwa historia
Sasa kama huyo mkeo ana kaka yake si ndio na yeye atafanya hiyo kazi ya kubadilisha historia ya nyumbani kwao kama wewe unavyobadilisha historia ya kwenu.
 
Bongo nyoso.
Mtu anavyoita watu mafukara unaweza ukadhani labda angalau anamiliki kiwanda na kaajiri watu.
Kumbe kisa babaake anamiliki Raum moja na yeye labda kamaliza chuo kaunganishiwa kikazi mahali akanunua vitz au passo tayari anajiona tajiri mwenyewe.
Wakati wakina Bakhresa na Mo dewji hatujawahi kuwasikia wakiwaita watu maskini au mafukara😄😄😄😄😄
Mwambie huyo MO au Bakhressa aje aoe kwenu! Atakunyanyapaa sababu kubwa ni umasikini! Usikumbatie umasikini broh!
 
Hilo hawataki kukwambia ila kwa WANAWAKE inaonekana sawa

Huwezi kufanikiwa Bila kuwa na mtu SAHIHI awe TAJIRI au FUKARA

wangapi waliachiwa UTAJIRI na WAZAZI wao na wakaupukutisha wote Tena Kuna wale walioachiwa mari zisizoamishika MAJUMBA/MASHAMBA na wakauza yote now MAFUKARA wa kutupwa

Na Kuna waliozariwa katika familia zenye UFUKARA mkubwa now wapo katika MAISHA manzuri kabisa

Kuomba kusaidiwa na MWANAO SI shida je wewe unajua huyo Baba mtu aliangaika kiasi gani kumkuza mwanae mpk Leo ukali9na Hilo TAKO na BABY FACE

Mwanamke ANATENGENEZWA na MWANAUME KISHA ANAKUWA MWANAMKE KAMILI
Inatia SHAKA UANAUME wako ikiwa unaogopa jambo kama Hilo

UMASIKINI SI KILEMA YULE UNAYEMDHALAU WEWE NOW HUJUI KESHO ATAKUAJE
jiulize wewe MIAKA 5 nyuma ulikuwaje now upo wapi angalia SHILOLE miaka 10 nyuma tulikuwa tumamshikashika MATAKO komakoma pale kwenye KIPUB chake Leo yuko wapi
SHILOLE pamoja na mapungufu yake ila MAFANIKIO yake hayakutokana na UMALAYA ni kujituma bila kujari watu wamjaji vipi
MAISHA ni PROCESS bro hakuna aliyependa kuzariwa FUKARA inatokea tu HVYO juhudi zakondo zitakufikisha UNAPOPATAKA

MASIKINI ni WEWE(najua fika ni wewe ila umenifanya Kuna mtu)
MASIKINI NI WEWE ULOKOSA AKILI UKAPATA HIVYO VIJIMALI
HAKIKA BORA UKOSE MALI UPATE AKILI

Mimi NINGEKUWA wewe ningechukua JIKO ningeweka Ndani mara 1

Rickross anasema yeye aombwi ela na NDUGU zake na WAZAZI wake 7bu wote now ni milionea
7bu alivyofanikiwa aliwawezesha kuwafungulia BIASHARA na alitumia JINA lake kuhakikisha BIASHARA zao zinakuwa na kufikia MALENGO
Unavyotetea umasikini? Khaaa? Fanyakazi ongeza kipato utathaminiwa! Umasikini ni laana utanyanyapaliwa hata na mafukara wenzako!
 
Mwambie huyo MO au Bakhressa aje aoe kwenu! Atakunyanyapaa sababu kubwa ni umasikini! Usikumbatie umasikini broh!
Mo ana damu ya kihindi akioa mwenzake mwenye damu ya kihindi siwezi kumlaumu.
Ila kama mtu baba yake ni mbantu,mama yake ni mbantu kisha wamependana na dada yangu kisha baadae penzi linavunjwa eti kwa sababu ya umaskini hapo nitalaumu na sio fair.
Umaskini hauvalishwi kama ngozi,umaskini unaweza kuondolewa muda wowote kwa kubadilisha fikra tu,pesa inakuja na kuondoka maana yake tajiri akibadilisha fikra zake zikaja fikra mbovu anaweza kufilisika na kuwa maskini na maskini anaweza kubadilisha fikra zake kuwa chanja akatajirika.
Sasa sijui nyinyi mnatafsiri vipi neno umaskini/ufukara?
 
Haha trust me Mzee baba,wahindi hawajawahi kua wabaguzi kuzidi mtu mweusi,..always huwa tuna play "race card" ikiwa mtu mweusi against Races nyingine..

Mtu huna hata ka laki unaita watu masikini
Operation pinga umasikini!
 
Hapa mtaani kuna dada mmoja anafanyakazi mjini (nadhani kariakoo) amejenga nyumba yake. Sasa huyu dada ana msichana wa kazi mzuri anaridhisha sura, umbo, na chura. Umri wake kama miaka 17 kuelekea 18 na anaanza kujitambua. Sasa kuna jamaa (kijana in his late 20s and early 30s) anajiweza yuko vizuri kiasi na kavutiwa na huyo binti kuchukua jiko.

Baada ya kuongea na huyo msichana kutaka kujua ABC kagundua mama yake aliachana na baba yake na hakuwahi kumuona hila anasikia bado yupo. Baba yake ni mvuvi huko kanda ya ziwa. Huyo bosi wake anayemfanyiakazi anadai ni ndugu wa karibu alimchukua kumsaidia kulea mwanae!

Kilichomshitua jamaa ni kuona baba yake analialia kwa mwanae amtumie chochote anachokipata huko mjini kuonyesha kwa jinsi gani choka mbaya.

Sasa akaja kuniomba ushauri kuhusu kuoa binti aliyetoka familia duni kama hiyo hata kama ni mzuri si atakuwa na yeye kajidumbukiza kwenye ufukara?
Bado una akili za kitotokitoto sana.Tanzania au Afrika familia au koo nyingi ni za kimasikini tu.Angalia ujenzi,ulaji hata uvaaji.Ni wa aina moja na unafanana.Kutaka kuoa tajiri ni aina ya uzembe wa kukwepa majukumu.Kama unaupenda sana utajiri,uutafute wewe na siyo kunyemelea mabinti wa matajiri.Utaishia kuwa mtumwa wa ngono maisha yako yote.
 
Mo ana damu ya kihindi akioa mwenzake mwenye damu ya kihindi siwezi kumlaumu.
Ila kama mtu baba yake ni mbantu,mama yake ni mbantu kisha wamependana na dada yangu kisha baadae penzi linavunjwa eti kwa sababu ya umaskini hapo nitalaumu na sio fair.
Umaskini hauvalishwi kama ngozi,umaskini unaweza kuondolewa muda wowote kwa kubadilisha fikra tu,pesa inakuja na kuondoka maana yake tajiri akibadilisha fikra zake zikaja fikra mbovu anaweza kufilisika na kuwa maskini na maskini anaweza kubadilisha fikra zake kuwa chanja akatajirika.
Sasa sijui nyinyi mnatafsiri vipi neno umaskini/ufukara?
Mbona hapo umeongea vizuri? Umasikini haukubaliki!
 
Bado una akili za kitotokitoto sana.Tanzania au Afrika familia au koo nyingi ni za kimasikini tu.Angalia ujenzi,ulaji hata uvaaji.Ni wa aina moja na unafanana.Kutaka kuoa tajiri ni aina ya uzembe wa kukwepa majukumu.Kama unaupenda sana utajiri,uutafute wewe na siyo kunyemelea mabinti wa matajiri.Utaishia kuwa mtumwa wa ngono maisha yako yote.
Umenena mkuu,huyu anaonekana bado ana akili za kitoto au hana exposure angetembea kidogo tu aende hata Nairobi tu aangalie watu gari wanazotumia,aina ya ujenzi,uvaaji na lifestyle yote kwa ujumla angefungua macho kidogo
 
Bado una akili za kitotokitoto sana.Tanzania au Afrika familia au koo nyingi ni za kimasikini tu.Angalia ujenzi,ulaji hata uvaaji.Ni wa aina moja na unafanana.Kutaka kuoa tajiri ni aina ya uzembe wa kukwepa majukumu.Kama unaupenda sana utajiri,uutafute wewe na siyo kunyemelea mabinti wa matajiri.Utaishia kuwa mtumwa wa ngono maisha yako yote.
Unaishi wapi na mitaa hipi bwashee kusema watu wote masikini? Watu wengi wameishaondoka huko! Wamesoma! Wamefanyakazi na biashara na kutengeneza vitegauchumi na kumiliki thamani! Endelea kukaa kwenye umaskini wako kalaghabaoh!
 
Hilo hawataki kukwambia ila kwa WANAWAKE inaonekana sawa

Huwezi kufanikiwa Bila kuwa na mtu SAHIHI awe TAJIRI au FUKARA

wangapi waliachiwa UTAJIRI na WAZAZI wao na wakaupukutisha wote Tena Kuna wale walioachiwa mari zisizoamishika MAJUMBA/MASHAMBA na wakauza yote now MAFUKARA wa kutupwa

Na Kuna waliozariwa katika familia zenye UFUKARA mkubwa now wapo katika MAISHA manzuri kabisa

Kuomba kusaidiwa na MWANAO SI shida je wewe unajua huyo Baba mtu aliangaika kiasi gani kumkuza mwanae mpk Leo ukali9na Hilo TAKO na BABY FACE

Mwanamke ANATENGENEZWA na MWANAUME KISHA ANAKUWA MWANAMKE KAMILI
Inatia SHAKA UANAUME wako ikiwa unaogopa jambo kama Hilo

UMASIKINI SI KILEMA YULE UNAYEMDHALAU WEWE NOW HUJUI KESHO ATAKUAJE
jiulize wewe MIAKA 5 nyuma ulikuwaje now upo wapi angalia SHILOLE miaka 10 nyuma tulikuwa tumamshikashika MATAKO komakoma pale kwenye KIPUB chake Leo yuko wapi
SHILOLE pamoja na mapungufu yake ila MAFANIKIO yake hayakutokana na UMALAYA ni kujituma bila kujari watu wamjaji vipi
MAISHA ni PROCESS bro hakuna aliyependa kuzariwa FUKARA inatokea tu HVYO juhudi zakondo zitakufikisha UNAPOPATAKA

MASIKINI ni WEWE(najua fika ni wewe ila umenifanya Kuna mtu)
MASIKINI NI WEWE ULOKOSA AKILI UKAPATA HIVYO VIJIMALI
HAKIKA BORA UKOSE MALI UPATE AKILI

Mimi NINGEKUWA wewe ningechukua JIKO ningeweka Ndani mara 1

Rickross anasema yeye aombwi ela na NDUGU zake na WAZAZI wake 7bu wote now ni milionea
7bu alivyofanikiwa aliwawezesha kuwafungulia BIASHARA na alitumia JINA lake kuhakikisha BIASHARA zao zinakuwa na kufikia MALENGO
5⭐ comment.

Watu wapuuzi kweli.
 
Unaishi wapi na mitaa hipi bwashee kusema watu wote masikini? Watu wengi wameishaondoka huko! Wamesoma! Wamefanyakazi na biashara na kutengeneza vitegauchumi na kumiliki thamani! Endelea kukaa kwenye umaskini wako kalaghabaoh!
Bado una changamoto. Sijatumia neno "wote" ila nimetumia "nyingi".Soma kwa utu na utulivu uelewe.
 
Operation pinga umasikini!
Sikia my favorite qoute off all time inasema " There’s no nobility in poverty" alisema Jordan Belfort katika kitabu Cha maisha yake na movie The Wolf of wall street,.

Unaweza kumuoa unaetaka kumuoa,ila sio vizuri kumdiss mtu kutokana na hali yake,wote hatukuzaliwa na fursa sawa,..

Equality is the result of human organization .we are not Born equal
 
Back
Top Bottom