[emoji57][emoji57][emoji57]Ndoa ni hasara sana.
Hebu tazama mwanaume mwenzetu anavyopata shida, hana uhuru tena na maisha yake kwa ujumla, hata kama hili litaisha, atabaki na kovu moyoni make milele.
Na kwa jinsi sheria zilivyo kandamizi hapo ni lazima mwanamke ashinde kesi.
Kataa ndoa, ndoa ni utapeli ndio maana inawezekana kuzaa hata bila ndoa.
Ni kwel usemalo, nimeakuja kuukubal huu ukwel late, mwanzo nilikua naona "noo hawez kuwa serious 4 kids after 15yrs??? Zitakua hasura tu"..aaah ila sasa naona kabisa huyu mama kapania kunimalizaMwamba anakwama wapi sijui? Act as a man, usiwe rege rege iyo tayari ni vita mkuu jipange na ubebe siraha zote maana upande wa pili ushajipanga hayupo tayari kurud nyuma mkuu
Nadhani anaogopa mahakama alafu wenda ana uwelewa mdogo wa sheria.Mwamba anakwama wapi sijui? Act as a man, usiwe rege rege iyo tayari ni vita mkuu jipange na ubebe siraha zote maana upande wa pili ushajipanga hayupo tayari kurud nyuma mkuu
Yeah na inakuwa imeishaUsipofika, mahakama itatoa uamuzi kama vile ulikuwepo, ukakaa kimya,au ukakubari kila kitu,
Mkuu ww ukifika mahakamani goma kutoa taraka, sheria ya kudai taraka huwa ni ngumu ,kuna watu wana kesi za kudai taraka mpaka sasa wanasota mahakamani miaka 5 na hawajaipata acha uoga.Ni kwel usemalo, nimeakuja kuukubal huu ukwel late, mwanzo nilikua naona "noo hawez kuwa serious 4 kids after 15yrs??? Zitakua hasura tu"..aaah ila sasa naona kabisa huyu mama kapania kunimaliza
Mahakama zipo kwa ajiri ya watu na zinaendeshwa na watu nadhani ni uoga tu,,,na huenda wife wake anajua mwana ni mpole ndio maana amefanya ivyo,,,maana mtu anaksoma kwanza udhaifu wako ili akuingie,,,kuacha mali kilahisi hapana asee labda kama atatumia mahakama za jadi lakini kwenye ulimwengu wa damu na nyama ni big no, fika mahakamani, sidhan km wife anamzidi Mkuu IQ ya kureasoning kuhusu kutaka kudai talakaNadhani anaogopa mahakama alafu wenda ana uwelewa mdogo wa sheria.
Sheria ya kutoa taraka ni ngumu sana na sio rahisi kama wengi wanavyo fikiri.
La msingi akifika mahakamani agome kutoa taraka na aseme kuwa bado ana mpenda mke wake,nakuambia mwanamke atasota mahakama mpaka achakae.
DahUshapigwa
Watz wengi tuna angamia kwa kutojua sheria.Mahakama zipo kwa ajiri ya watu na zinaendeshwa na watu nadhani ni uoga tu,,,na huenda wife wake anajua mwana ni mpole ndio maana amefanya ivyo,,,maana mtu anaksoma kwanza udhaifu wako ili akuingie,,,kuacha mali kilahisi hapana asee labda kama atatumia mahakama za jadi lakini kwenye ulimwengu wa damu na nyama ni big no, fika mahakamani, sidhan km wife anamzidi Mkuu IQ ya kureasoning kuhusu kutaka kudai talaka
Mkuu unakimbia nini? Kama uko Sahihi na hujakosa nenda na hakuna kitakachogawanywa, ila kama una makosa pia nenda hata kama ikigawanywa utaupata mgao kuliko kutokwenda, kumbuka shauri litasomwa na hukumu itatolewa kama ni mnada nyumba itapigwa, nakushaur nenda usiseme eti sitaki kugombania Mali itakula kwako. Wazee wa kataa ndoa msilete zengwe kwani mleta mada hajaleta kisa Cha mgogoro pia mahakamani hataki kwenda hii inaonyesha yeye huenda ndiye mkosaji msimlaumu mke wake, la sivyo alete kisa chote tujue nani mkosefu, kuweni wakweli na waadilifu.Wakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
Nenda katembeze misimbazi michache tu timka.Wakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
Nimeshahudhuria mashauri mengi ya namna hii sio kuww nimejiandikia tuu.. Sasa hao watoto ni wa nani?Hao watoto mali wamezitafuta lini ilhali bado wadogo,mnashauri vitu ambavyo hamvijui mkuu, mali lazima mgawane na jukumu la mume ni kulea watoto,
Wanawake nuksi sana
Nadhani kuna kipengele cha kuwapa watoto haki yao. Case study ni ile kesi ya Mzee MengiPower of attorney mkuu itapingwa kwa sababu atakuwa amewaandikia kukiwa na mgogoro tayari! Hiyo MAWAKILI watasema ni janja ya mwanaume! Kikubwa wagawane mbao tu!
Tatizo mkuu ni timing ya hiyo power of attorney. Jamaa atakuwa anawaandikia kukiwa na mgogoro tayari na moja wa mashahidi katika hiyo power of attorney atatakiwa awe mke wake! Hapo ndipo kuna mkwamo! Kiufupi jamaa yetu ameyakanyaga!Nadhani kuna kipengele cha kuwapa watoto haki yao. Case study ni ile kesi ya Mzee Mengi
Hucheki na wowote😀😀Dadadaaake Kataa kuoa Kataa Ndoa, Tafuta mganga konki acha uzembe, kama kayataka yeye mfanye chizi kwa mwaka mmoja uone kama ataendelea na huo ujinga. Mwanamke sio wa kumuonea huruma hasa akifika hatua ya mahakama au police, au alogwe aumwe hata 6 months bila kutembea na usiende kumuona wala kupiga simu hao Mbwa usiwaonee huruma, unaweza kukodi shangingi wamsute 🤣🤣🤣
Kuna time nawaza haya , na kuna mwamba jamaa yangu kanambia nifanye hii, akasema nitafute mahala alipokanyaga nyayo zakeDadadaaake Kataa kuoa Kataa Ndoa, Tafuta mganga konki acha uzembe, kama kayataka yeye mfanye chizi kwa mwaka mmoja uone kama ataendelea na huo ujinga. Mwanamke sio wa kumuonea huruma hasa akifika hatua ya mahakama au police, au alogwe aumwe hata 6 months bila kutembea na usiende kumuona wala kupiga simu hao Mbwa usiwaonee huruma, unaweza kukodi shangingi wamsute 🤣🤣🤣