Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nenda mahakami mtatengwa kwa miaka miwili mkajitafakari. Kisha baada ya muda huo wa miaka miwili ndo mtarudi tena ikiwa mmeendelea na mpango wenu wa kuachana hapo sasa ndipo mtaachanishwa lakini ikiwa mmeufuta mpango huo mkawa maishi pamoja basi ndoa yenu itaendelea.
Na kama mmeendelea kutengana kwa kipindu hicho itatolewa talaka. Na ndipo ifuate mgawanyo wa mlivyo vichuma bila kujali mme zaa au hamja zaa. Hakuna cha nyumba ya watoto hapo
Kwahiyo una maanisha kwamba talaka mahakama huwa haivunji ndoa instantly huvyo kwenye shauri la kwanza tu??
 
Siku hizi kugawana mali wamefanya fashion.

Kuna hoja humu tulijadiliana na wengi tukakubaliana kuwa heri uoe MKE mama wa nyumbani kuliko hawa wafanyakazi au wachakarikaji wa maisha. Siku zote ukiona mwanamke anasistiza kutafuta pesa eti kwa kigezo cha kusaidiana maisha hapo shutuka, ipo sku utaliwa kichwa mchana kweupe.

Km mkeo angekuwa mama wa nyumbani hata km mlichuma wote, hukumu ingekuwa upande wake kuliko MKE.

Kuoa mfanyakazi kwa lengo la kusaidiana maisha, ni wazo la hovyo sn na hiki kinachokutokea ndo madhara yake.
Nani kamwambia ukioa mke wa nyumbani hamgawani mkuu?
 
Nadhani anaogopa mahakama alafu wenda ana uwelewa mdogo wa sheria.
Hili nakubali ni kweli, sijawah kukumbana na misuko suko ya kisheria maisha yangu yote
Sheria ya kutoa taraka ni ngumu sana na sio rahisi kama wengi wanavyo fikiri.

La msingi akifika mahakamani agome kutoa taraka na aseme kuwa bado ana mpenda mke wake,nakuambia mwanamke atasota mahakama mpaka achakae.
Kwahiyo unamaanisha mmoja akionyesha kuwa bado anataka ndoa isife, mahakama haitavunja ndoa?
Sio kwamba watakua wanamkosea mmoja kwa kutaka kulazimisha aishi na mtu asiyemtaka??
 
Siku ile nilivyokwambia wewe ni mwanaume legelege ukaona natania.

Hutaki kwenda mahakamani kusomewa mashtaka. Hukumu ikitoka utasikilizwa upande mmoja, nyumba atapewa mwanamke alafu uachiwe mzigo wa kutunza watoto wakati umetoka kapa. Si bora muuze nyumba mgawane, au umuachie ila matunzo ya watoto usitoe.

Na gharama za matunzo ya watoto mwanamke atadai labda milioni kwa mwezi na ambavyo haupo itapitishwa. Ukiwepo unatoa hoja za kwanini kiasi kiwe chini.
ushauri wa maana sana huu kwa faida yake.
 
Mkuu ww ukifika mahakamani goma kutoa taraka, sheria ya kudai taraka huwa ni ngumu ,kuna watu wana kesi za kudai taraka mpaka sasa wanasota mahakamani miaka 5 na hawajaipata acha uoga.
Nimekusoma mkuu, ahsante sana
 
Mkuu unakimbia nini? Kama uko Sahihi na hujakosa nenda na hakuna kitakachogawanywa, ila kama una makosa pia nenda hata kama ikigawanywa utaupata mgao kuliko kutokwenda, kumbuka shauri litasomwa na hukumu itatolewa kama ni mnada nyumba itapigwa, nakushaur nenda usiseme eti sitaki kugombania Mali itakula kwako. Wazee wa kataa ndoa msilete zengwe kwani mleta mada hajaleta kisa Cha mgogoro pia mahakamani hataki kwenda hii inaonyesha yeye huenda ndiye mkosaji msimlaumu mke wake, la sivyo alete kisa chote tujue nani mkosefu, kuweni wakweli na waadilifu.
Nilishakileta humu kisa na hata kwenye comments humu watu wameukiza na nimewajibu
 
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!
safi sana mkuu
 
Hili nakubali ni kweli, sijawah kukumbana na misuko suko ya kisheria maisha yangu yote

Kwahiyo unamaanisha mmoja akionyesha kuwa bado anataka ndoa isife, mahakama haitavunja ndoa?
Sio kwamba watakua wanamkosea mmoja kwa kutaka kulazimisha aishi na mtu asiyemtaka??
Usigomee kutoa talaka hiyo ni sawa na kukumbatia transfoma we malizana nae chap. siku akizidiwa huko anakopewa kiburi atarudi kwa sababu hukumpa talaka na wewe hutaweza kusonga mbele iwe ni kuoa tena maana akikukuta mahali na demu anafanya fumanizi itakusumbua sana au kutafuta mali zingine.
 
Wakuu heshima kwenu.

Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).

Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.

Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.

Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.

Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
  • talaka
  • mgawanyo wa mali
  • matunzo ya watoto
  • kuishi na watoto

Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.

Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.

Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.

Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.

Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??

Naomba kusaidowa ufafanuzi.

Ahsanten
Mke anagaiwa mali zote
 
Hili nakubali ni kweli, sijawah kukumbana na misuko suko ya kisheria maisha yangu yote

Kwahiyo unamaanisha mmoja akionyesha kuwa bado anataka ndoa isife, mahakama haitavunja ndoa?
Sio kwamba watakua wanamkosea mmoja kwa kutaka kulazimisha aishi na mtu asiyemtaka??
Inapo tokea mmoja wao akakataa taraka mantiki ya kesi husika ina badilika kabisa.
Ukisha gomea kutoa talaka mtoa mashitaka ambaye ni mkeo atalazimika kuiomba mahakama ikulazimishe ww kutoa taraka hapo ndo kimbembe kilipo.

Ili mahakama ikulazimishe umpe taraka anatakiwa atoe sababu nzito na za msingi tena ziwe na ushahidi usio kuwa na shaka kudai taraka hiyo, tofauti na hapo sio rahisi kuvunja ndoa.
 
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!

Kuna condition mnaweza kugawana Kama tu utamshirikisha uwepo wa hiyo Mali...pia mnaweza msigawane Kama hutamshirikisha uwepo wa hivyo vitu.
Mkuu fafanua zaidi..
Mfano nyumba,it's obvious hata bila kumshirikisha inajulikana wazi.

Tuchukulie mfano huo,Je kama kaingia ndoani nikiwa nimekwishajenga itahusika kwenye kugawana?
 
Back
Top Bottom