Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Hao wajinga watawasumbua sana ila ukiwa mtu wakujua ubongo wako unataka nini na furaha yako ipo wapo hautasumbuka.
Once again,, one man down we endelea kukaza fuvu ivo ivo 😂
 
Tafuta mwanasheria, japo haitabadili kitu ili walau akusaidie kujibu maswali mengine.

Hawa wanawake watawaua.

Pole mwanangu.

Kwa kweli ni huzuni @ Madam,
Wanaume siku hizi wanateswa sana na wake zao jamani hii jamii itakwaje ??
Wanawake wamekuwa wakatili, visasi , wabishi wanataka kuhakikisha wanakomoa wanaume zao jamani.
Wanawake wamekuwa si watu wakutaka suluhu.
Utasema wapagani ?!
Hawaheshimu wala kusikiliza wazazi wao wala watu wazima wala Viongozi wa dini.
Ni shida kwa kweli
 
Once again,, one man down we endelea kukaza fuvu ivo ivo 😂
Mimi ni kidume , tena sihitaji kujieleza zaidi kwa sababu huku moshi kwetu nikifika wanasema kidume cha mbegu kimefika🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Raha ya ndoa mwanamke utawaliwe na mumeo ndivyo Maandiko yasemavyo na masuje atajisikia fahari kwa mkewe lakini mke unataka wewe ndie umtawake mumeo ?
Ndie unataka ulitakale liwe ?
Jamani ??’ ! 🤔🤔🤣
 
Siku hizi kugawana mali wamefanya fashion.

Kuna hoja humu tulijadiliana na wengi tukakubaliana kuwa heri uoe MKE mama wa nyumbani kuliko hawa wafanyakazi au wachakarikaji wa maisha. Siku zote ukiona mwanamke anasistiza kutafuta pesa eti kwa kigezo cha kusaidiana maisha hapo shutuka, ipo sku utaliwa kichwa mchana kweupe.

Km mkeo angekuwa mama wa nyumbani hata km mlichuma wote, hukumu ingekuwa upande wake kuliko MKE.

Kuoa mfanyakazi kwa lengo la kusaidiana maisha, ni wazo la hovyo sn na hiki kinachokutokea ndo madhara yake.
 
Tafuta mwanasheria, japo haitabadili kitu ili walau akusaidie kujibu maswali mengine.

Hawa wanawake watawaua.

Pole mwanangu.
Haitabadili kitu ki vipi madam?
Na je hayo maswali naulizwa na hakimu au wife, maana isije ikawa ubishani, na hakuna kitu sipend kama kujibizana na mwanamke!.
 
Ukioa ficha mali mbele ya mkeo. Ukishindwa kuficha mali usioe.

Ushauri: Kabla hujaoa kama wewe ni mfanya biashara, tafuta kampuni ufungue kabla hujaoa. Usimuweke mkep huko wala kumpa hisa, wala kumpa kazi, wala kuhusika kivyovyote na Kampuni.

Biashara na mishe zote ziweke chini ya kampuni hiyo na iwe ya watu wawili au zaidi.
Faida: Ikitokea taraka Mwanamke hatahusika na mali hizo kivyovyote. Kikitokea kifo watoto wadogo mirathi "Will" itaamua watoto wako wawe wanufaika wa mali hizo. Ukiishi sana utawarithisha mwenyewe watoto mali hizo. Hii mimi iliniepushia mali kupigwa "pasu" wakati tunatarikiana na mke wangu back in the days.

Mwisho: Marriage is biggest risk a man can take to his whole life. Divorce is theft from a man.
 
Acha tu kuna kipindi tulinunua kiwanja mm nilikuwa naishi mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine sasa kutokana na kumuamini sikuwahi kumuuliza kuhusu document za hicho kiwanja. Hivi karibuni nikauliza nimepigwa kalenda miez kadhaa sasa juz juz ananionyesha hizo document nakuta kajiandika yeye tu
Ushapigwa
 
Hivi kwa nia ya kujifunza.
Kama umeoa mfano mwanamke akakuta una nyumba,gari na assets zingine.

Mbele ya safari likija swala la talaka hizi mali alizokuta zinamhusu kwenye kugawana?
Hazimuhusu,,,,zitamuhusu tu zile ambazo mlipata mkiwa wote kwenye ndoa
 
Dahh..yan mkuu siku hiz nasoma soma sana hiz sheria za ndoa na scennarios za kesi zake.. huyu mama kajua kuninyoosha vibaya mnooo
Mkuu acha kuwa dhaifu linapo kuja kwenye suala la taraka mwanaume ana nguvu ya kuigomea, na ww mwanaume ukisha gomea taraka mwanamke atalazimika atoe sababu za msingi za kuivunja iyo ndoa tena ziwe na ushahidi wa kutosha asipo toa sababu zenye mashiko mahakama haiwezi kuivunja iyo ndoa.
 
Tafuta mwanasheria, japo haitabadili kitu ili walau akusaidie kujibu maswali mengine.

Hawa wanawake watawaua.

Pole mwanangu.
Ili kumkomesha anatakiwa akifika mahakamani agomee taraka.
 
Wakuu heshima kwenu.

Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).

Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.

Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.

Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.

Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
  • talaka
  • mgawanyo wa mali
  • matunzo ya watoto
  • kuishi na watoto

Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.

Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.

Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.

Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.

Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??

Naomba kusaidowa ufafanuzi.

Ahsanten
Mkuu cheki na Bashir Yakub huyu jamaa ni mjuvi sana wa hizi kesi na huwa anaandika mpaka magazetini na pia ni member humu
 
Mkuu acha kuwa dhaifu linapo kuja kwenye suala la taraka mwanaume ana nguvu ya kuigomea, na ww mwanaume ukisha gomea taraka mwanamke atalazimika atoe sababu za msingi za kuivunja iyo ndoa tena ziwe na ushahidi wa kutosha asipo toa sababu zenye mashiko mahakama haiwezi kuivunja iyo ndoa.
Mwamba anakwama wapi sijui? Act as a man, usiwe rege rege iyo tayari ni vita mkuu jipange na ubebe siraha zote maana upande wa pili ushajipanga hayupo tayari kurud nyuma mkuu
 
Back
Top Bottom