Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
enheee kimbilia jukwaa la siasa huku utaangukia tope🤣🤣Jinsia yako tafadhali 😁 naoa wanawake tu ndugu mheshimiwa 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
enheee kimbilia jukwaa la siasa huku utaangukia tope🤣🤣Jinsia yako tafadhali 😁 naoa wanawake tu ndugu mheshimiwa 🤣🤣🤣
Na tena katika miaka yetu 15, nimempiga mara hiyo 1 tu, na sikumtoa hata ngeu wala damu wala kumvunja popote.Yani ndo kilichomkimbiza mahakamani hiki😳,,nenda mahakamani naamini huwa haitoi maamuzi hapo hapo,kuna muda mtapewa wa kujitafakari huku mkiendelea kuishi pamoja,,,,,, nasema ivi coz nna ushuhuda wa wazazi wangu.
Pole sana ndiyo maana mimi nimeshtuka mapema eti kanunua kiwanja chake kimya halafu kwenye kujenga eti tujenge wote sijachangia hata mia naogopa baadae kunyanyaswaWakuu heshima kwenu.
Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).
Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.
Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.
Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.
Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
- talaka
- mgawanyo wa mali
- matunzo ya watoto
- kuishi na watoto
Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.
Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.
Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.
Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.
Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??
Naomba kusaidowa ufafanuzi.
Ahsanten
Hivi kwa nia ya kujifunza.Mkuu kwanini useme kitu chako wakati unasema mlianza wote sifuri?
ushawahi kuwa na kesi kama hii au tu kuhudhuria mahakamani kwenye shauri kama hili? unajua tofauti kuhusu income/property earned and income/property received?Nyumba andikia watoto sepa mbele hata usipofika mahakamani
Mimi kama kidume na wanawake damu kwa damu kulefti mtasubiri sana panya Road nyie😆😆enheee kimbilia jukwaa la siasa huku utaangukia tope🤣🤣
Yaan hiyo tayar ni red flag mkuu. Hapo kuaminiana kabisaa unaona ni shida maana full mtego.Pole sana ndiyo maana mimi nimeshtuka mapema eti kanunua kiwanja chake kimya halafu kwenye kujenga eti tujenge wote sijachangia hata mia naogopa baadae kunyanyaswa
Ni hasira tu uyo, sasa nawewe usitumie hasira kususia mahakama,nenda mpewe muda hasira zitaisha mengine yataendelea,na muda wenyewe ni zaidi ya mwezi sasa hadi apo mtakua shwariiiiiiNa tena katika miaka yetu 15, nimempiga mara hiyo 1 tu, na sikumtoa hata ngeu wala damu wala kumvunja popote.
we jitie ugumu ivo ivo watu wamevurugwa bwan 🤣Mimi kama kidume na wanawake damu kwa damu kulefti mtasubiri sana panya Road nyie😆😆
Wqtakuja wenyewe wataalam, ila uwezekano upo kama suala la kuendelezwa kwa mali hizo kutamhusisha.Hivi kwa nia ya kujifunza.
Kama umeoa mfano mwanamke akakuta una nyumba,gari na assets zingine.
Mbele ya safari likija swala la talaka hizi mali alizokuta zinamhusu kwenye kugawana?
Mali zilizo patikana kabla ya ndoa huwa hazi orodheshwi kwenye mgao wa mali baada ya talaka.Hivi kwa nia ya kujifunza.
Kama umeoa mfano mwanamke akakuta una nyumba,gari na assets zingine.
Mbele ya safari likija swala la talaka hizi mali alizokuta zinamhusu kwenye kugawana?
Sasa akataka amfunge mpaka mwanae ?? Hiz familia kiukwel za kuangalia sana kabla ya hujachukua uamuzi wa kuoaSio wewe tu imekutokea, hayo huwa yanatokea, stahamili, muombe Mungu akupe subira na uvumilivu yatapita salama.
Kuna jamaa mwezi ulopita alipelekwa polisi kisha mahakani yeye na mwanae ambae wamezaa na mkewe huyo sababu wameenda home toka Safari bila kumtaarifu wakati kulikuwa na kutoelewana , akasema wanemwibia n.k
Ebwanaa ilikuwa almanusra wafungwe wakati mtoto ni mwanafunzi wa sekondari.
Jamani ambao bado hamjaoa Ombeni na kufunga na wazazi wenu Mungu awaongoze kuchaguaa sahihi wanawake wa sasa wengi wamekuwa na mioyo mikatili mno.
Hizi empowerments zimę Haribo na mioyo migumu na ushirikina.
Familia nyingine sio za kuoa.
Kuna condition mnaweza kugawana Kama tu utamshirikisha uwepo wa hiyo Mali...pia mnaweza msigawane Kama hutamshirikisha uwepo wa hivyo vitu.Hivi kwa nia ya kujifunza.
Kama umeoa mfano mwanamke akakuta una nyumba,gari na assets zingine.
Mbele ya safari likija swala la talaka hizi mali alizokuta zinamhusu kwenye kugawana?
Binafsi hakuna mwanamke wakuniyumbisha mpka mimi niamue kuyumba mwenyewe 😊we jitie ugumu ivo ivo watu wamevurugwa bwana
Hongera kwa kujiamini mkuu👏🏾😌Binafsi hakuna mwanamke wakuniyumbisha mpka mimi niamue kuyumba mwenyewe 😊
Hivyo ndivyo ilivyo nimemjibu piaWqtakuja wenyewe wataalam, ila uwezekano upo kama suala la kuendelezwa kwa mali hizo kutamhusisha.
Mfano, kakukuta na nyumba ila bada ya kuoana mkajenga fensi na yeye akichangia, hiyo bana ishakula kwako. Nafikiri hata akinunua balbu tubakaweka 😂😂😂😂.
Akikupikia uwe na nguvu ili uendeahe hilo gar barabarani, tayar na yeye anahusika..
NB
Nimesoma mahala
Dahh..yan mkuu siku hiz nasoma soma sana hiz sheria za ndoa na scennarios za kesi zake.. huyu mama kajua kuninyoosha vibaya mnoooHivyo ndivyo ilivyo nimemjibu pia
Legal representatives...mawakili wanaanzia mahakama za wilaya japo to some incidents wanaweza kuwepo piaAhsante. Mwakilishi una maana ya wakili si ndio mkuu?
Acha tu kuna kipindi tulinunua kiwanja mm nilikuwa naishi mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine sasa kutokana na kumuamini sikuwahi kumuuliza kuhusu document za hicho kiwanja. Hivi karibuni nikauliza nimepigwa kalenda miez kadhaa sasa juz juz ananionyesha hizo document nakuta kajiandika yeye tuYaan hiyo tayar ni red flag mkuu. Hapo kuaminiana kabisaa unaona ni shida maana full mtego.
Yan ndoa za siku hiz ni tabu sanaa