Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

NDOA KWA MWANAUME NI UPUUZI USHAMBA USENGEREMA USHENZI USHETANI UTAPELI NA KUPOTEZA MUDA...
Kijana usimuache mpumbavu akudhulumu mali kwa kigezo cha talaka na sheria... Akikushinda mahakamani mtoe roho maana anachofanya kwako ni kukutoa roho huku unaishi...
Halafu hiyo kesi unashinda kitendo cha yeye kuchukua watoto na kukimbia kwenda kupanga maana yake amevunja ndoa bila taratibu, wewe hujamfukuza... Hiyo case naona ina gaps nyingi za wewe kushinda...
Ila akitumia njia za dhuluma kukushinda mpeleke mortuary...
 
Mkuu what if kama mlishawah kuchukua mkopo na moja kati ya mali zilizo kwenye mgawanyo ( nyumba au kiwanja) mlichukulia mkopo kama dhamana, je mahakama itaamuru kuuza hivyo au mliyemkopa anaweza akazuia kwa kuweka stop order kisa dhamana????

Nisaidieni hapa pia
Sasa ndiye uwende mahakamani ukatoa hayo maelezo ili ukajipiganie!
 
Nenda tu maliza hii topic uendelee na Maisha yako, mivutano ya kijinga Kama hii ni mikosi tu kwenye utafutaji; Kama una nguvu weka wakili aende Usizime mbele kisanii, na weka mikakati na wahusika!

Kutokwenda na kupuuza wito bila kutuma uwakilishi ni utoto!
Thanks chief. Kwahiyo kumbe wakili anaweza enda kwa niaba yako ?
 
Kwakwel ukiwa na moyo dhaifu unaweza fanya kitu kibaya sana.
Nilipopokea samansi ,siku nzima ikawa mbaya mnooo, hisia za chuki, hasira na uchungu nikiona nimesalitiwa pakubwa mnooo na mtu ambaye sikutegemea, nilietoka nae mbaalii toka 0 hatuna kitu tukiwa tumekutana kama form 6 leavers 2010 Feb..

Hizi hisia unaweza ua au ukajiua kama utakosa watu wa kukusaidia.
Kuna jamaa yangu mmoja kila napozidiwa na mawazo huwa nampigia simu najieleezaaaa, atanisiklizaaaaa bila kuchoka na kunishauri tena na tena na tena ,haijalishi ni mara ngapi kwa siku, he has been so welcomming na hii ndio imekua ikinisaidoa kuondoa uchungu na hisia mbaya
Pole kamanda. Piga moyo Konde. Kisha songa Mbele
 
NDOA KWA MWANAUME NI UPUUZI USHAMBA USENGEREMA USHENZI USHETANI UTAPELI NA KUPOTEZA MUDA...
Kijana usimuache mpumbavu akudhulumu mali kwa kigezo cha talaka na sheria... Akikushinda mahakamani mtoe roho maana anachofanya kwako ni kukutoa roho huku unaishi...
Halafu hiyo kesi unashinda kitendo cha yeye kuchukua watoto na kukimbia kwenda kupanga maana yake amevunja ndoa bila taratibu, wewe hujamfukuza... Hiyo case naona ina gaps nyingi za wewe kushinda...
Ila akitumia njia za dhuluma kukushinda mpeleke mortuary...
Ni sahihi unachokisema. Ningekua mshirikina ningemroga
 
Kwanini Unafanya Uamuzi wa kuacha Kila kitu?.

Kwanini wanaume wajinga huwa mnaamini Maisha ni kufumba na Kufumbua umetoboa?.

Kwanini wanaume wajinga ,Huwa mnafanya maamuzi ya ajabu sana?.


Unahisi huko ulikoenda kuanza Upya, Utafanikiwa?.

Kwamba Unahisi ukimuachia Kila kitu, Nawewe ukaenda kuanza Upya, siku ukifulia atakupokea?

Kama ambavyo Hana kitu lkn kaamua kutaka nusu ya Mali, vivovivo utakapofulia utakua Hauna Thaman yoyote kwako.

Wewe huwajui Wanawake, Wanawake hawajawah kupenda na hawatokaa wapende, WANAWAKE SIKU ZOTE HUMHESHIMU MWANAUME YOYOTE atakayepita machoni mwao na kuwafanyia wajihisi comfotaboooo.

Hapo upo ??


Jambo ambalo ulitakiwa kulipigania ni kuhakikisha JASHO LAKO HALIPOTEI BURE

Ona mtego ulipo, Anachukia Kila kitu, wewe ndo umeenda kujitafuta Upya, alafu bado UTAWAJIBIKA KWEMYE MATUNZO BILA KUJALI UNAJITAFUTA AU LAH!!.



NADHAN UMEROGWA, WALA USIDHAN NDIO UANAUME.

Mimi Sina Undugu na mwanamke, Undugu wangu ni watoto tu .
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!
 
Ila uende sasa ili kuclear the air...huyo wifi yangu huenda hajasema kuhusu hayo ya mkopo..nenda ama lah weka mwakilishi mahakama za mwanzo sasa hivi Sheria inaruhusu kuweka mwakilishi,Fanya hivyo Kama ratiba yako inakubana...
Ahsante. Mwakilishi una maana ya wakili si ndio mkuu?
 
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)

Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!

Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!

Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!
Anapata wapi ujasiri wa kurudi tena?
 
Kama ulivyosoma kwenye samansi, mahakama inaweza kusikiliza kesi bila wewe kuwepo. Hii inamaanisha kuwa maamuzi yote yatafanywa kwa kuzingatia ushahidi uliotolewa na mke wako tu. Ikiwa mahakama itaamua kuwa mke wako ameshinda kesi, unaweza kuhukumiwa kulipa gharama za kesi.
 
Back
Top Bottom