Kwanini Unafanya Uamuzi wa kuacha Kila kitu?.
Kwanini wanaume wajinga huwa mnaamini Maisha ni kufumba na Kufumbua umetoboa?.
Kwanini wanaume wajinga ,Huwa mnafanya maamuzi ya ajabu sana?.
Unahisi huko ulikoenda kuanza Upya, Utafanikiwa?.
Kwamba Unahisi ukimuachia Kila kitu, Nawewe ukaenda kuanza Upya, siku ukifulia atakupokea?
Kama ambavyo Hana kitu lkn kaamua kutaka nusu ya Mali, vivovivo utakapofulia utakua Hauna Thaman yoyote kwako.
Wewe huwajui Wanawake, Wanawake hawajawah kupenda na hawatokaa wapende, WANAWAKE SIKU ZOTE HUMHESHIMU MWANAUME YOYOTE atakayepita machoni mwao na kuwafanyia wajihisi comfotaboooo.
Hapo upo ??
Jambo ambalo ulitakiwa kulipigania ni kuhakikisha JASHO LAKO HALIPOTEI BURE
Ona mtego ulipo, Anachukia Kila kitu, wewe ndo umeenda kujitafuta Upya, alafu bado UTAWAJIBIKA KWEMYE MATUNZO BILA KUJALI UNAJITAFUTA AU LAH!!.
NADHAN UMEROGWA, WALA USIDHAN NDIO UANAUME.
Mimi Sina Undugu na mwanamke, Undugu wangu ni watoto tu .
Umenikumbusha mbali sana, nilizaa na mwanamke, nikaamua kuishi naye bila kufunga ndoa, (sukutaka kufunga ndoa haraka haraka) nilimtambulisha kwetu na Kwao nilienda kujitambulisha nikaishia hapo.
Miaka kadhaa baadaye nikagundua Ana-date x wake, nikathibitisha pasiposhaka kwamba ameliwa siku tatu mfululizo! (Aliniaga anakwenda kusalimia Msiba wa shangazi yake, kumbe anaenda kuliwa na jamaa yake wa zamani)
Nilimuuliza baada ya kujiridhisha na ushenzi aliofanya, akawa mbogo hataki kuulizwa chochote, nikaamua kufanya maamuzi magumu, nikamwambia NITALEA MTOTO na wewe uendelee na mahusiano yako, akanijibu sheets za maana! Nikalazimika kujizuia kumpiga ili nisiingie kwenye kesi isiyo na ulazima!
Nilipomuacha cha kwanza akakimbilia mahakamani, alipoulizwa anataka nini akasema anataka tugawane mali ili akaendelee na maisha yake, nilipoitwa nilienda, nikawaambia sijawahi kumuoa huyo mwanamke zaidi ya Kazaa naye, hivyo nitawajibika kmtunza mtoto tu.
Alipotakiwa kuthibitisha mimi kuwa mume wake akasema tumeishi pamoja zaidi ya miaka 2, nikwaambia sijawahi kuishi naye kwa hata miezi Sita Kwani nilikuwa nafanya kazi mahali tofauti na palipokuwa na makazi!
Baada ya purukushani nyingi na matusi juu, hatimaye nikapewa jukumu la kutunza mtoto!
Kwa kuwa Ali kuwa jeuri, mtoto alikuwa na miaka 9 nikaiomba mahakama inipe idhini ya kuishi na mtoto, nikakubaliwa!
Ameridi mwaka Jana December, kuniomba msamaha na kutaka turudiane, nikamwambia asithubutu kuniletea ushenzi, nisijeondoka na shingo yake! Anajiliza liza mpaka leo kutaka turudiane!