Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Sheria zetu ni za ovyo sana,zina wapendelea wanawake, halafu mitoto yenyewe ikikuwa inaegemea kwa mama yao ilhali umetumia ghalama kubwa kuilea na kushtakiwa umeshtakiwa, mkuu jitaidi ufike mahakamani kutetea haki yako,usipoenda huyo shetani atapewa mali zote yeye.
Nimekusoma kamanda
 
Mkuu what if kama mlishawah kuchukua mkopo na moja kati ya mali zilizo kwenye mgawanyo ( nyumba au kiwanja) mlichukulia mkopo kama dhamana, je mahakama itaamuru kuuza hivyo au mliyemkopa anaweza akazuia kwa kuweka stop order kisa dhamana????

Nisaidieni hapa pia
Kuhusu mkopo sema mahakamani! Usikubali kulipa mkopo peke yako.
 
Ahahahah.
Kwahiyo kumbe usipopeleka matumiz ni kssi??
Kudadekii.. hapo sasa mwanamke sinanaweza kukunyanyasa sana kama utatoa matumiz bila kuweka proper records ,akisema hujatoa!!?
Kabisa hapo ndo mtego ulipo ndo maana ni muhimu kwenda mahakamani ili kama unachochote cha kusema mahakama itapima uzito wa hoja zako au itakupa utaratibu mzuri wa hukumu itakayotoka na utakua unaelewa nini kinaendelea , kutokwenda mahakamani siyo uamuzi mzuri sana mwanamke anaweza kutumia hilo gape vibaya
 
Wakuu heshima kwenu.

Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).

Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.

Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.

Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.

Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
  • talaka
  • mgawanyo wa mali
  • matunzo ya watoto
  • kuishi na watoto

Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.

Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.

Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.

Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.

Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??

Naomba kusaidowa ufafanuzi.

Ahsanten
usipofika mahajamani maana yake maombi yake yatapokelewa na kukubaliwa na mahakama kwahiyo hujui Kamba nini humo usikute kaomba nyumba iuzwe mgawane sawa kwa sawa mwisho wa siku unakuta dalali wa mahakama anapiga mnada nyumba yako, usiache kwenda, unakumbuka kilichomkuta mwenye nyumba wa kunduchi aliyekuwa anadaiana na mpangaji wake?
 
Ikifika mahakamani igiza kua Bado unaempenda sn mkeo na hauko tayar mtengane, kesi itaahirishwa.

Mtarudishwa Baraza la usuluhishi la kata, uko mtatenga kesi, na huko hamnaga kuachana na hakitauzwa kitu
HUko koote alishanipeleka ila akagomea suluhu ndio maana kafika mahakamani.
Na huko koote hoja zangu mimi zilikua na nguvu
 
Wakuu heshima kwenu.

Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).

Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.

Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.

Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.

Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
  • talaka
  • mgawanyo wa mali
  • matunzo ya watoto
  • kuishi na watoto

Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.

Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.

Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.

Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.

Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??

Naomba kusaidowa ufafanuzi.

Ahsanten
Pole sana Mkuu. Inaonyesha mke ndo alikuwa mtafutaji mkuu wa mkate na maendeleo mengine ya familia. Kama ni hivi, mie naona uko sawa.
 
Wakuu heshima kwenu.

Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).

Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.

Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.

Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.

Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
  • talaka
  • mgawanyo wa mali
  • matunzo ya watoto
  • kuishi na watoto

Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.

Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.

Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.

Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.

Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??

Naomba kusaidowa ufafanuzi.

Ahsanten

Nenda tu maliza hii topic uendelee na Maisha yako, mivutano ya kijinga Kama hii ni mikosi tu kwenye utafutaji; Kama una nguvu weka wakili aende Usizime mbele kisanii, na weka mikakati na wahusika!

Kutokwenda na kupuuza wito bila kutuma uwakilishi ni utoto!
 
Kabisa hapo ndo mtego ulipo ndo maana ni muhimu kwenda mahakamani ili kama unachochote cha kusema mahakama itapima uzito wa hoja zako au itakupa utaratibu mzuri wa hukumu itakayotoka na utakua unaelewa nini kinaendelea , kutokwenda mahakamani siyo uamuzi mzuri sana mwanamke anaweza kutumia hilo gape vibaya
Nimekuelewa vizuri sana
 
Back
Top Bottom