Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Inaonekana mkeo amerubuniwa huko nje na watu kama vile marafiki,ndugu au jamaa,kaza mkuu utavuka tu hili,na huyo mkeo atakuja kujuta huko mbeleni ila usimpe nafasi tena,

Muhimu jali wanao kwa hukumu yeyote ile itakayo tokea,weka makaratasi yote yakimahakama pamoja ili huko mbeleni uje uwaonyeshe wanao waujue ukweli,

All the best Mkuu.
 
Inaonekana mkeo amerubuniwa huko nje na watu kama vile marafiki,ndugu au jamaa,kaza mkuu utavuka tu hili,na huyo mkeo atakuja kujuta huko mbeleni ila usimpe nafasi tena,

Muhimu jali wanao kwa hukumu yeyote ile itakayo tokea,weka makaratasi yote yakimahakama pamoja ili huko mbeleni uje uwaonyeshe wanao waujue ukweli,

All the best Mkuu.
Ahsante kwa ushauri mkuu, karatas zoote kuanzia samansi ya polisi aliponilaza ndani na hii ya mahaka vyoote hivi vile well stored for future uses
 
Wakuu heshima kwenu.

Habari za jioni, poleni na majukumu (kwa wale wenye majukukumu).

Naomba kufahamishwa KISHERIA kama kichwa cha uzi kimavyojieleza.

Mi hivi, baada ya mgogoro wa ghafla sana (only 2 months now) na vurugu zilizofuata hapo, hatimae mke wangu ame file kesi mahakama ya mwanzo jii ya dai la talaka.

Nimepogiwa simu siku kadhaa zimepita sasa kitaarifiwa pia kitakiwa kuchukua wito "samansi" wa mahakama juu ya kesi husika na kweli nikachukua.

Charges ambazo nimekuta zimeainishwa ni kama 4 hivi ikiwemo
  • talaka
  • mgawanyo wa mali
  • matunzo ya watoto
  • kuishi na watoto

Sasa katika maisha yetu tulifanikiwa kijenga nyumba , kuwa na kiwanja pia usafiri ndio angalau kwa uchache vitu vya kueleweka.

Wazo langu mimi ni kwamba, sitaki habar za kugombania kitu na huyu mama ambaye mpaka sasa alishachukua watoto na kwenda kupanga mtaani.

Na mi pia nikaamua kuhamisha harakati zangu mkoani kulingana na nature ya shughul zangu.
Hivyo sina mpango wa kugombania mali wala chochote katika vyote tulivyo navyo.

Moja ya vipengele nimesoma kwenye hii samansi ya mahakama inasema "endapo mdaiwa /mlalamikiwa (mimi yani ) hatafika mahakamani , shauri litasomwa na kusikilizwa upande mmoja bila mimi kuwepo.

Sasa naomba kufahamu, kisheria kama nitaamua KUTOONEKANA mahakamani siku hiyo, je ,nitakua nimetemda UHALIFU ambao unaweza kunigharimu??

Naomba kusaidowa ufafanuzi.

Ahsanten
Siku ile nilivyokwambia wewe ni mwanaume legelege ukaona natania.

Hutaki kwenda mahakamani kusomewa mashtaka. Hukumu ikitoka utasikilizwa upande mmoja, nyumba atapewa mwanamke alafu uachiwe mzigo wa kutunza watoto wakati umetoka kapa. Si bora muuze nyumba mgawane, au umuachie ila matunzo ya watoto usitoe.

Na gharama za matunzo ya watoto mwanamke atadai labda milioni kwa mwezi na ambavyo haupo itapitishwa. Ukiwepo unatoa hoja za kwanini kiasi kiwe chini.
 
Pole sana aisee, ngoja wajuvi waje, ila hawa wanawake hawa ndio maana wengine wanaamua kuwakia kiberiti
Kwakwel ukiwa na moyo dhaifu unaweza fanya kitu kibaya sana.
Nilipopokea samansi ,siku nzima ikawa mbaya mnooo, hisia za chuki, hasira na uchungu nikiona nimesalitiwa pakubwa mnooo na mtu ambaye sikutegemea, nilietoka nae mbaalii toka 0 hatuna kitu tukiwa tumekutana kama form 6 leavers 2010 Feb..

Hizi hisia unaweza ua au ukajiua kama utakosa watu wa kukusaidia.
Kuna jamaa yangu mmoja kila napozidiwa na mawazo huwa nampigia simu najieleezaaaa, atanisiklizaaaaa bila kuchoka na kunishauri tena na tena na tena ,haijalishi ni mara ngapi kwa siku, he has been so welcomming na hii ndio imekua ikinisaidoa kuondoa uchungu na hisia mbaya
 
Ndoa ni hasara sana.

Hebu tazama mwanaume mwenzetu anavyopata shida, hana uhuru tena na maisha yake kwa ujumla.

Na kwa jinsi sheria zilivyo kandamizi hapo ni lazima mwanamke ashinde kesi.

Kataa ndoa, ndoa ni utapeli ndio maana inawezekana kuzaa hata bila ndoa.
Ni hasara mwanangu, ndoa?? Ndoa sio kabisaa mazee
 
𝙳𝚊𝚑 𝚜𝚒𝚔𝚞 𝚒𝚣𝚒 𝚗𝚍𝚘𝚊 𝚣𝚒𝚖𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚌𝚑𝚊𝚗𝚐𝚊𝚖𝚘𝚝𝚘, 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚔𝚞 𝚒𝚣𝚒 𝚒𝚔𝚒𝚝𝚘𝚔𝚎𝚊 𝚟𝚞𝚛𝚞𝚐𝚞 𝚝𝚞 ,𝚖𝚊𝚑𝚊𝚔𝚊𝚖𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚝𝚊𝚕𝚊𝚔𝚊 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚐𝚊𝚠𝚊𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚕𝚒
 
Back
Top Bottom