umevunja kifungu cha ibaraanasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.π
Hilo swal la mwisho sio vzur kulijadili,linaweza leta mpasukoKadri mnavyomshawishi kusema tatizo ni nini ndio mnazidi kumuweka mbali na familia yake..
Muacheni atulize kichwa chake kwa sababu suluhu la tatizo la familia yake/mke wake yeye mwenyewe ndio anajua.. kwaiyo muacheni yeye ataamua.
Mshauri mke wa jamaa asiache kumsalimia na kumtakia afya njema kila wakati..
Je umechunguza hao watoto wao wanafanana na nani?
Ibara ya ngapi?Nahisi kakimbia makelele
Pia ki historia wanaume na wanawake ambao ni mke na mume walikuwa hawaishi nyumba moja.
Eneo ni moja ila nyumba inakuwa tofauti
Wanawake wanashaurianaga vibaya sana.Ilaa wanawake bhanaa ss mtu kakuambia mwache Kwanzaa akili ikae sawa atarudii nyumbani ,na umefatilia umemkuta Hana michepuko ,ww unaanza Tena kumvurugaa kwenda Hadi ustawi wa jamii unazidi kumfukuza zaidi Kwa kumchanganyaaaππ
KIUKWELI Hata shemej nilimwambia kumpeleka ustawi WA jamii alipuyanga.Ilaa wanawake bhanaa ss mtu kakuambia mwache Kwanzaa akili ikae sawa atarudii nyumbani ,na umefatilia umemkuta Hana michepuko ,ww unaanza Tena kumvurugaa kwenda Hadi ustawi wa jamii unazidi kumfukuza zaidi Kwa kumchanganyaaaππ
Duh! Wee jamaa,mkeo anawezaje kua nuksi kwako?π€Wanawake wanashaurianaga vibaya sana.
Halaf kuna sababu zingine ni very intangible kiasi kwqmba hakuna namna jnaweza mwambia mtu akakuelewa.
Mfano, unagundua mkeo mwanga, utaanzaje kusema na huwez eleza umejuaje??
Au unakuja tu kugundua mkeo ni kiwingu na chamzo cha nuksi kwenye mishe zako, unatumia nguvu nyingi sana kupiga hatua chanzo ni yeye, haya utakuja eleza vipi hili suala watu wakakuelewa??
Acheni watu wapige kimya tu
Na yawezekana huyo mjomba wako hakuwa na muda na kwahiyo mke upwiru ukamzidia kaamua atafute huko wanaume hujifanya wao ndiyo wamuhimu sana hawajui kama na wanawake na wao huwa hitaji sana ila huvumilia tu!Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana na mengi ni yale ya kutisha na kuogofya......
Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi kufanya maamuzi magumu kama hayo bila sababu na kwa kuwa yeye mwenyewe ameamua kutokukuambia hebu jaribu kumuacha na jambo lake....maana hujui kimemkuta nini kwenye huo muunganiko.....maana wanawake huwa wanapenda Sana kuplay victims......
Nakusihi tena ndugu achana na hizo habari.....heshimu privacy ya jamaa na mke wake....usijihusishe na masuala yao......
Mjomba wangu aliwahi kukimbia nyumbani kwake karibia miaka mitatu....siku inakuja kujulikana kumbe aliwahi kurudi kazini isivyo kawaida akamkuta mkewe analiwa na muuza samaki anayetembeza kwenye kikapu.....alianza kukonda baadae akashindwa kuvumilia akaikimbia nyumba.....imekuja kujulikana baada ya mwanamke kubanwa sana na wazee wa kanisa na wazazi wake ndipo akakiri kilichotokea akiamini mumewe atamsamehe.........
Majumba haya yanaficha mengi.......
π― Na jamii yetu ilivyongumu kuelewa sasaa zaidi yakuambiwa unakimbia familia au umelogwa au umechanganyikiwaa π€..kumbe mtu unapitishwa kipindi kigumu kuliko maelezo.Wanawake wanashaurianaga vibaya sana.
Halaf kuna sababu zingine ni very intangible kiasi kwqmba hakuna namna jnaweza mwambia mtu akakuelewa.
Mfano, unagundua mkeo mwanga, utaanzaje kusema na huwez eleza umejuaje??
Au unakuja tu kugundua mkeo ni kiwingu na chamzo cha nuksi kwenye mishe zako, unatumia nguvu nyingi sana kupiga hatua chanzo ni yeye, haya utakuja eleza vipi hili suala watu wakakuelewa??
Acheni watu wapige kimya tu
Duh! Hatari Sana hii, Kumbe unaweza mlaumu jamaa Kumbe mke Kuna vitu anafichaKwenye ndoa kuna mambo mengi sana na mengi ni yale ya kutisha na kuogofya......
Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi kufanya maamuzi magumu kama hayo bila sababu na kwa kuwa yeye mwenyewe ameamua kutokukuambia hebu jaribu kumuacha na jambo lake....maana hujui kimemkuta nini kwenye huo muunganiko.....maana wanawake huwa wanapenda Sana kuplay victims......
Nakusihi tena ndugu achana na hizo habari.....heshimu privacy ya jamaa na mke wake....usijihusishe na masuala yao......
Mjomba wangu aliwahi kukimbia nyumbani kwake karibia miaka mitatu....siku inakuja kujulikana kumbe aliwahi kurudi kazini isivyo kawaida akamkuta mkewe analiwa na muuza samaki anayetembeza kwenye kikapu.....alianza kukonda baadae akashindwa kuvumilia akaikimbia nyumba.....imekuja kujulikana baada ya mwanamke kubanwa sana na wazee wa kanisa na wazazi wake ndipo akakiri kilichotokea akiamini mumewe atamsamehe.........
Majumba haya yanaficha mengi.......
Mambo ni mengi mkuu mda n machache π..Dunia Ina mambo htrDuh! Wee jamaa,mkeo anawezaje kua nuksi kwako?π€
Aisee Kuna point hapa, japo jamaa namuona Yuko normal Sana, sio Kama ana stress Wala niniπ― Na jamii yetu ilivyongumu kuelewa sasaa zaidi yakuambiwa unakimbia familia au umelogwa au umechanganyikiwaa π€..kumbe mtu unapitishwa kipindi kigumu kuliko maelezo.