KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Huwezi kujua kuwa dunia mambo mpaka likukute jamboAisee, umeandika vitu vinatisha Sana mkuuš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kujua kuwa dunia mambo mpaka likukute jamboAisee, umeandika vitu vinatisha Sana mkuuš¤
Achaa afanye kile kwake anachoona ni sahihi Kwa wakatii huu ,mpk pale atakapokaa sawaa šKuna point hapo, kiukweli jamaa ni mkavu Kama Hana kilichotokea, juz TU hapa katoka kuwalipia wanae wote ada bila wasiwasi kabisa.
Uzuri wa mkakasi ndani kipande Cha mtiMkewe mbona anaonekana sio mwongeaji kabisa
Huwezi linganisha ndoa na tabia za watoto, ndoa zina mambo magumu sana mtu akiongea utashangaa huyu si huwa yupo happy muda wote , kumbe huko ndani kwake ni sarakasi za kutoshaHayo mambo Yao ya ndani mimi siyajui.....lakini tambua kuwa nje ya vifungo vya kiimani na kuiogopa hukumu ya mola wake..... mwanadamu hawezi kuishinda tamaa na vishawishi...... unaweza ukampikia mwanao pilau ili afaidi akakataa alafu unamkuta anagombania ugali na dagaa la chuku chuku nyumba ya jirani
Pigia mstar pale alipopigiwa simu na askofu akamtukana!!!Duh! Hatari Sana hii, Kumbe unaweza mlaumu jamaa Kumbe mke Kuna vitu anaficha
Ujue umenifumbua kitu flani hivi, na mchepuko wangu mmoja hivi, kipind nnachokua nmegombana nae Kila mtu kivyake, ndo kipind Ile miradi viporo niliyoitelekeza napata Ela na akili ya kuifufua. Na kweli Huwa inafufuka.Mzee sio kila wakat na sio kwa kila mtu. Tunakutana na kuoana na watu ambao background check zao hatuna kiundani.
Kwakifupi kuna mambo mengi sana ,japo huwa tunayaona ila tunayapuuzia mpaka pale yatutokee puani ndio tunaanzaga kuunga unga dots, sasa bora ushtuke mapema. Saa zngine unashtuka too late
Binadamu tumeumbwa tofauti, huyo jamaa ndo Mimi wa zamani.Kama Kuna shida Si aseme, mi mbona sometimes tukivurugana na wife, anatusuluisha ndoa inaenda fresh?
Akili mtu wangu. Haya mambo haya bwana we acha tuUjue umenifumbua kitu flani hivi, na mchepuko wangu mmoja hivi, kipind nnachokua nmegombana nae Kila mtu kivyake, ndo kipind Ile miradi viporo niliyoitelekeza napata Ela na akili ya kuifufua. Na kweli Huwa inafufuka.
Tukirudiana TU, naanza upya kutelekeza miradi
Nimeweka mfano wa watoto alama ya nafsi isiyoridhika baada ya kukosa udhibiti.......Huwezi linganisha ndoa na tabia za watoto, ndoa zina mambo magumu sana mtu akiongea utashangaa huyu si huwa yupo happy muda wote , kumbe huko ndani kwake ni sarakasi za kutosha
Baadae nikaacha alishaona mimi ni mshenzi zaidi yakeš¤£š¤£š¤£šššššš
Ushamfira mamilo mara ngapi?
Cc: Extrovert kawombe ChoiceVariable
Hao hao wanaojiheshimu behind the scene utakimbiaKwamba askofu kamla mkewe, mbn Kama haiingii akilini mkuu, MKE WA jamaa mlokole na anajiheshim Sana yule.
Sure kabisaaaHao hao wanaojiheshimu behind the scene utakimbia
Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.
Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.
Ameamua kujipa likizo kwa muda ila nadhani mkewe atakua anajua ndio maana anapata presha presha za hapa na pale, kama alichat na akasahau kufuta now kimemramba... Wengine hawana muda na drama za mapenzi.Wakuu,
Huyu jamaa ni jirani yangu haswa, yaani tunashare upande mmoja WA ukuta wa fensi,shughuli nyingi za kifamilia Huwa anashiriki vizuri Sana, migogoro pia anakuja kusuluhisa na kunishauri pia.
Japo Kwa ndoa yake niliamini Ni ndoa iliyokamilika haswa maana tangu miaka yote tuishi hapa sijawahi kusikia kagombana na mkewe Hata siku moja, hivyo Huwa nawaheshimu sn.
Kuna siku mkewe alileta malalamiko kwangu kua mmewe kahama nyumbani kwake ghafla,
Anasema siku ya mwisho kuonekana NYUMBANI, aliaga Kama kawaida anaenda kazini kwake asbh na MAPEMA na ndo hakurudi mazima mpaka Leo hii.
Anadai hakubeba chochote kile nyumbani, Kila kitu Kiko Kama kilivyo kua, hawajagombana na wala hajaambiwa kipi kamkosea.
Anadai Mume wake tangu ahame matumizi ya Kila siku anatoa vzur Ila haifiki kabisa nyumbani. anapewa boda ndo apeleke.
Anasema mumewe akipigiwa simu anapokea anadai atarudi TU Ila kavumilia Sana anaona haioni dalili yoyote ya mumewe kurudi nyumbani.
Anasema alishapeleleza Sana hadi kujua anapoishi, kaenda Sana pale (Hadi mida ya usiku sn) labda Kuna mwanamke anaishi nae pale Ila kathibitisha mumewe anaishi peke yake TU na haijawai kuleta mwanamke yeyote pale Hata siku moja.
Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.
Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.
Anasema ilivyofika miezi 3 haoni dalili yoyote akajaribu kwenda ustawi WA jamii kumfungulia kesi ya kutelekeza familia (labda atapata hofu ya serikali), mumewe alivotoka uko ndo kamchukia kabisa na kamblock kwenye mawasiliano yake yote na pesa za matumizi ya familia Kwa Sasa anachukulia ustawi WA jamii.
Jamaa nimejaribu kumdadisi tatzo Nini,hataki kabisa kufunguka, anadai hana tatzo lolote na mkewe, Kuna mambo yake kadhaa anayaweka sawa, punde tu atarejea home nisijali.
Kila mara nimejaribu kumkubushia mkewe anavoteseka kuukosa uwepo wake nyumbani, jamaa Wala haoneshi kujali, miezi 6 sasa inakatika, jamaa hana mahusiano yoyote nje, kuoa mke mwingine Wala Hana mpango wowote WA kurejea nyumbani kwake.
Watoto wao wote sahv wamerejea mashuleni, mkewe juzi kati kaumwa sn mpk kalazwa, jamaa kataarifiwa Ila katuma pesa TU Hata hajakanyaga hospital Wala kumpiga simu kumjulia hali.
Aliporuhusiwa ikabd ahamie kwangu mpk atakapokaa sawa maana watoto wao wote wamesharud mashuleni, jamaa nilimtaarifu Hilo ili atoe ruksa mkewe augulie kwangu, kasema sawa Haina shida. Ni Mwezi Sasa mkewe anashinda,kula na kulala nyumbani kwangu. Jamaa Hana Hata wasiwasi.
Juzi kati kanunua kiwanja nje ya mji, kaniita nimsainie Kama shahidi na kashaanza msingi anasema hapa ndo anajenga makazi yake mapya.
Namuuliza hii inamaanisha Nini khs hatma ya familia yake, anasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.
Hebu wakuu,
Huenda mi sio nzur kwny mambo kusuluhisha migogoro ya ndoa za watu.
Najua humu mna mawazo mazur sn na wataalam tele WA ishu hizi za ndoa.
Hebu nipeni mawazo mawili matatu niweze kuinusuru hii ndoa ya Hawa jirani zangu.
Mkewe tangu jamaa ahame, saivi Kawa Kama kuchanganyikiwa , simuelewi elewi kabisa. Hata anachoumwa Hata hakieleweki, nahisi ni stress za ndoa zake.
Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.
Nawasilisha wakuuš
Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.