Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Wanawake wana siri kubwa. Mm nipo kwenye ndoa 20 years mkewangu akigusia suala la

1. uwezo wangu kule 6 x6 napata mshtuko kwamba labda siwajibiki

2. Wanaume waliomtaka..nahisi jambo.

3. Watoto wangu kama ni wangu kweli.

Hayo maeneo yako very sensitive mno.
Kwa sabab wanaume hatupendi dharau tunaamua kukaa kando.

Mke akikataa ushauri wako inauma sana na madhara yakitokea, utajisikia kama amekuona kum.a mwenzie.

Kuna wakati tunaamua kuwafira wanawake zetu ila kwa sababu ya karaha nadharau zao.

Nikimzibua mku.ndu basi hapo hata akifanya ujinga. Actually ufiraji dharU zaidi.

My take.
Huwez kusolve suala la ndoa, muache Samuel mwenyewe mme.

Mke..muulize amuambie siri labd ana siri na mumewe ameijua. Na kwa hakika hata thubutu kuitoa.
Hitimisho

Wanawake wanasiri nyingi hatuzijui,ukiojua unaweza umue.

Kuhusu kukimbia jamaa hajakimbia.
Niliwahi kubisi kuondoka kwa sababu ya uume,umwanaume wangu ndani ya nyumba uliporwa na mke wangu. Ila nikakomaa.
 
Na yawezekana huyo mjomba wako hakuwa na muda na kwahiyo mke upwiru ukamzidia kaamua atafute huko wanaume hujifanya wao ndiyo wamuhimu sana hawajui kama na wanawake na wao huwa hitaji sana ila huvumilia tu!
Hayo mambo Yao ya ndani mimi siyajui.....lakini tambua kuwa nje ya vifungo vya kiimani na kuiogopa hukumu ya mola wake..... mwanadamu hawezi kuishinda tamaa na vishawishi...... unaweza ukampikia mwanao pilau ili afaidi akakataa alafu unamkuta anagombania ugali na dagaa la chuku chuku nyumba ya jirani
 
Wanawake wana siri kubwa. Mm nipo kwenye ndoa 20 years mkewangu akigusia suala la

1. uwezo wangu kule 6 x6 napata mshtuko kwamba labda siwajibiki

2. Wanaume waliomtaka..nahisi jambo.

3. Watoto wangu kama ni wangu kweli.

Hayo maeneo yako very sensitive mno.
Kwa sabab wanaume hatupendi dharau tunaamua kukaa kando.

Mke akikataa ushauri wako inauma sana na madhara yakitokea, utajisikia kama amekuona kum.a mwenzie.

Kuna wakati tunaamua kuwafira wanawake zetu ila kwa sababu ya karaha nadharau zao.

Nikimzibua mku.ndu basi hapo hata akifanya ujinga. Actually ufiraji dharU zaidi.

My take.
Huwez kusolve suala la ndoa, muache Samuel mwenyewe mme.

Mke..muulize amuambie siri labd ana siri na mumewe ameijua. Na kwa hakika hata thubutu kuitoa.
Hitimisho

Wanawake wanasiri nyingi hatuzijui,ukiojua unaweza umue
Huenda pia maelezo ya mke yakawa na walakiñi
 
Duh! Wee jamaa,mkeo anawezaje kua nuksi kwako?🤔
Mzee, huwa tunajitia moyo tu, ila binafsi wife hayupo nyumbani mwezi wa 3 huu na kesi ya talaka iko mahakamani tar 12 mwezi huu(nimeshaleta uzi hapa), mzee toka wifw anyanyue mguu home, ofisini sales zimepanda hatari sana, mwez january huu nimejikuta nimefungua mradi wangu mwingine ambao hapo nyuma ukikua unakwama kwama sana, now unaenda vizuriiiii.
KWakifupi naishi maisha flan yenye wepesi mnoo tofauti kabusa na hapo mwanzo.
Japo kuna muda nam miss sana ila kuondoka kwake naona waz kabisa kuna milango inafunguka kwq kasi sanaa
 
Kuna baadhi ya maovu yanachukua muda kupona na kuna mengine uponyaji wake unakutaka uwe mbali na aliyekusababishia.......na mengine suluhisho lake ni kutengana moja Kwa moja.....
Aisee, umeandika vitu vinatisha Sana mkuu🤔
 
Mzee, huwa tunajitia moyo tu, ila binafsi wife hayupo nyumbani mwezi wa 3 huu na kesi ya talaka iko mahakamani tar 12 mwezi huu(nimeshaleta uzi hapa), mzee toka wifw anyanyue mguu home, ofisini sales zimepanda hatari sana, mwez january huu nimejikuta nimefungua mradi wangu mwingine ambao hapo nyuma ukikua unakwama kwama sana, now unaenda vizuriiiii.
KWakifupi naishi maisha flan yenye wepesi mnoo tofauti kabusa na hapo mwanzo.
Japo kuna muda nam miss sana ila kuondoka kwake naona waz kabisa kuna milango inafunguka kwq kasi sanaa
Duh! Kwaiyo ule msemo WA ndoa Ni baraka, Kuna MDA hauna maana🤔
 
Aisee Kuna point hapa, japo jamaa namuona Yuko normal Sana, sio Kama ana stress Wala nini
Kuna wanaume wameumbwa wakavu mkuu kutia huruma n mwiko au kuonyesha huzuni au kufunguka mambo Yao Kwa wat ambao wanajua hawawezi msaidia kitu zaidi yakwenda kuyatangaza tu...hata ww itakuwa ameona Haina maana kukueleza coz anasababu zake labda....kamwambia shemeji awe mpolee na atulize kiherehere vinginevyo mjubaa atasepaa mazimaaa 😄😄😄😄
 
Mzee, huwa tunajitia moyo tu, ila binafsi wife hayupo nyumbani mwezi wa 3 huu na kesi ya talaka iko mahakamani tar 12 mwezi huu(nimeshaleta uzi hapa), mzee toka wifw anyanyue mguu home, ofisini sales zimepanda hatari sana, mwez january huu nimejikuta nimefungua mradi wangu mwingine ambao hapo nyuma ukikua unakwama kwama sana, now unaenda vizuriiiii.
KWakifupi naishi maisha flan yenye wepesi mnoo tofauti kabusa na hapo mwanzo.
Japo kuna muda nam miss sana ila kuondoka kwake naona waz kabisa kuna milango inafunguka kwq kasi sanaa
Kuna watu ni gundu maishani mkuu, mkiachana unakuta quarrels zinaisha au kupungua
 
Kuna wanaume wameumbwa wakavu mkuu kutia huruma n mwiko au kuonyesha huzuni au kufunguka mambo Yao Kwa wat ambao wanajua hawawezi msaidia kitu zaidi yakwenda kuyatangaza tu...hata ww itakuwa ameona Haina maana kukueleza coz anasababu zake labda....kamwambia shemeji awe mpolee na atulize kiherehere vinginevyo mjubaa atasepaa mazimaaa 😄😄😄😄
Kuna point hapo, kiukweli jamaa ni mkavu Kama Hana kilichotokea, juz TU hapa katoka kuwalipia wanae wote ada bila wasiwasi kabisa.
 
Duh! Kwaiyo ule msemo WA ndoa Ni baraka, Kuna MDA hauna maana🤔
Mzee sio kila wakat na sio kwa kila mtu. Tunakutana na kuoana na watu ambao background check zao hatuna kiundani.
Kwakifupi kuna mambo mengi sana ,japo huwa tunayaona ila tunayapuuzia mpaka pale yatutokee puani ndio tunaanzaga kuunga unga dots, sasa bora ushtuke mapema. Saa zngine unashtuka too late
 
Back
Top Bottom